• Matokeo ya mchezo wa fainali.

    FT' : Uhispania 2-1 ENGLAND
    ⚽️ 47" Williams ⚽️ 73" Palmer
    ⚽️ 86" Oyarzabal

    NB : Timu ya Taifa ya Uhispania ndio bingwa mpya wa UEFA EURO mwaka 2024.

    Matokeo ya mchezo wa fainali. FT' : Uhispania 🇪🇸 2-1 ENGLAND 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 ⚽️ 47" Williams ⚽️ 73" Palmer ⚽️ 86" Oyarzabal NB : Timu ya Taifa ya Uhispania 🇪🇸 ndio bingwa mpya wa UEFA EURO mwaka 2024.
    0 Comments 0 Shares 158 Views

  • Uefa yatoa viwango vya ubora wa vilabu vyake, Manchester Utd nafasi 14 wakati Arsenal ipo nafasi ya 19.

    NB: Upo hapo?
    Uefa yatoa viwango vya ubora wa vilabu vyake, Manchester Utd nafasi 14 wakati Arsenal ipo nafasi ya 19. NB: Upo hapo?
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 204 Views

  • Uefa yatoa viwango vya ubora wa vilabu vyake, Manchester Utd nafasi 14 wakati Arsenal ipo nafasi ya 19.

    NB: Upo hapo?
    Uefa yatoa viwango vya ubora wa vilabu vyake, Manchester Utd nafasi 14 wakati Arsenal ipo nafasi ya 19. NB: Upo hapo?
    Like
    Haha
    2
    1 Comments 0 Shares 199 Views
  • Goli la dakika ya 90 likiwekwa wavuni na Ollie Watkins limeiwezesha England kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Uholanzi, ambao unaifanya timu hiyo kuingia Fainali ya Michuano ya UEFA Euro 2024

    Uholanzi ilikuwa ya kwanza kufunga kupitia kwa Xavi Simons dakika ya 7, England ikasawazisha mfungaji akiwa Harry Kane dakika ya 18 kwa njia ya penati, hivyo Fainali itapigwa Julai 14, 2024 itakuwa ni dhidi ya Hispania Jijini Berlin Nchini Ujerumani

    Uhispania inawania kubeba taji hilo kwa mara ya nne wakati England inawania kwa mara ya kwanza
    #cktvtanzania
    Goli la dakika ya 90 likiwekwa wavuni na Ollie Watkins limeiwezesha England kupata ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Uholanzi, ambao unaifanya timu hiyo kuingia Fainali ya Michuano ya UEFA Euro 2024 Uholanzi ilikuwa ya kwanza kufunga kupitia kwa Xavi Simons dakika ya 7, England ikasawazisha mfungaji akiwa Harry Kane dakika ya 18 kwa njia ya penati, hivyo Fainali itapigwa Julai 14, 2024 itakuwa ni dhidi ya Hispania Jijini Berlin Nchini Ujerumani Uhispania inawania kubeba taji hilo kwa mara ya nne wakati England inawania kwa mara ya kwanza #cktvtanzania
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 179 Views
  • #UEFA Unadhani ni kitu gani kimewaponza Dortmund leo?
    #UEFA Unadhani ni kitu gani kimewaponza Dortmund leo😃🤷?
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 153 Views
  • Michuano mikubwa ya Uefa Champions hii leo kinapigwa Fainali la kibabe. Je unamtabiria nani Bingwa?
    Michuano mikubwa ya Uefa Champions hii leo kinapigwa Fainali la kibabe. Je unamtabiria nani Bingwa?
    Like
    Love
    Haha
    32
    11 Comments 0 Shares 473 Views
  • NANI ATASHINDA UEFA CHAMPIONS LEO..??
    NANI ATASHINDA UEFA CHAMPIONS LEO..??
    1
    2
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 217 Views
  • UEFA Europe conference cup final. Tukutane Bombo Arena tupo Chamazi njia panda ya machimbo kuanzia saa 3 usiku
    UEFA Europe conference cup final. Tukutane Bombo Arena tupo Chamazi njia panda ya machimbo kuanzia saa 3 usiku
    Like
    Love
    2
    2 Comments 0 Shares 233 Views
  • #dox #realmadrid #uefa #ucl
    #dox #realmadrid #uefa #ucl
    Like
    Love
    6
    5 Comments 0 Shares 406 Views
  • NANI ATASHINDA UEFA CHAMPIONS LEAGUE..??
    NANI ATASHINDA UEFA CHAMPIONS LEAGUE..??
    1
    1
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 171 Views
More Results