• 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolverhampton Wanderers imetuma ofa ya €20m kwa Getafe ikimuhitaji Christantus Uche, na uhamisho huo unaweza ukakamilika siku za hivi usoni.


    #SportsElite
    🚨🇳🇬💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolverhampton Wanderers imetuma ofa ya €20m kwa Getafe ikimuhitaji Christantus Uche, na uhamisho huo unaweza ukakamilika siku za hivi usoni. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·10 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tariq Lamptey amejiunga na Fiorentina hadi 2030, baada ya mkataba wake kutamatika Brighton.
    🚨🇬🇭💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tariq Lamptey amejiunga na Fiorentina hadi 2030, baada ya mkataba wake kutamatika Brighton.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Man City bado inafikiria RODRYGO… iwapo Savinho ataondoka

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Man City bado inafikiria RODRYGO… iwapo Savinho ataondoka 👀🇧🇷 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·7 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham imetuma ofa ya €70M kwaajili ya Nico Paz lakini mchezaji amegoma kuondoka.

    “Paz anatarajia kujiunga na REAL MADRID 2026”, says Fabrizio on YouTube.

    #SportsElite
    🚨🚨😳 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham imetuma ofa ya €70M kwaajili ya Nico Paz lakini mchezaji amegoma kuondoka. “Paz anatarajia kujiunga na REAL MADRID 2026”, says Fabrizio on YouTube. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·13 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Piero Hincapié ameamua kuondoka BAYERN LEVERKUSEN

    #SportsElite
    🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Piero Hincapié ameamua kuondoka BAYERN LEVERKUSEN 🤯💣👀 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·11 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Bologna sign Jonathan Rowe (22) imekamilisha uhamisho wa winga kutoka Marseille!

    Ada ya uhamisho ni €17m
    reports @Gazzetta_it.

    #SportsElite
    🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Bologna sign Jonathan Rowe (22) imekamilisha uhamisho wa winga kutoka Marseille! 🔴🔵 Ada ya uhamisho ni €17m reports @Gazzetta_it. 💰✨ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·14 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dili la Victor Boniface (24) kwenda Milan! rasmi limekufa baada ya straika huyo kufeli vipimo vya afya
    🚨🇳🇬 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dili la Victor Boniface (24) kwenda Milan! rasmi limekufa baada ya straika huyo kufeli vipimo vya afya ❌
    0 Kommentare ·0 Anteile ·24 Ansichten
  • Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza

    RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.

    Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni

    Source Ben Jacobs


    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.🔴 Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·187 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester United sasa wanatarajia kuwasilisha ada ya £69.1m kukamilisha Usajili wa kiunga wa kati wa Real Madrid Edward Camavinga.

    Source The Touchline

    #SportsElite
    🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester United sasa wanatarajia kuwasilisha ada ya £69.1m kukamilisha Usajili wa kiunga wa kati wa Real Madrid Edward Camavinga.💰 Source The Touchline #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·147 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United inahitaji huduma ya kiungo wa Stuttgart Angelo Stiller kabla ya dirisha kufungwa .

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United inahitaji huduma ya kiungo wa Stuttgart Angelo Stiller kabla ya dirisha kufungwa . #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·125 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolves iko karibu kukamilisha uhamisho wa Ladislav Krejčí (26) kutoka Girona.

    Ada ya uhamisho €30m,

    reports @MatteMoretto.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolves iko karibu kukamilisha uhamisho wa Ladislav Krejčí (26) kutoka Girona. Ada ya uhamisho €30m, reports @MatteMoretto. 🐺 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·132 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Leeds imethibitisha kukamilisha usajili wa Noah Okafor kutoka Milan, kwa kandarasi ya miaka 4

    Ada ya uhamisho £18m.⚪️

    #SportsElite

    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Leeds imethibitisha kukamilisha usajili wa Noah Okafor kutoka Milan, kwa kandarasi ya miaka 4 Ada ya uhamisho £18m.⚪️ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·147 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham's new bid for Savinho is around €80 million (£69.2m).

    Manchester City will accept an offer of at least £70 million for the winger.
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham's new bid for Savinho is around €80 million (£69.2m). Manchester City will accept an offer of at least £70 million for the winger.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·68 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imefanya mazungumzo na Chelsea kumsajili Carney Chukwuemeka.

    Blues wanahitaji uhamisho wa jumla na sio mkopo.

    (Source: x/JacobsBen)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imefanya mazungumzo na Chelsea kumsajili Carney Chukwuemeka. Blues wanahitaji uhamisho wa jumla na sio mkopo. (Source: x/JacobsBen) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·164 Ansichten
  • Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League

    🎙"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu"

    Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani.

    Hii inaonyesha tu kujitolea kwake."

    Humble N'golo


    #SportsElite
    😄📱🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League 🎙"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu" Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani. Hii inaonyesha tu kujitolea kwake." Humble N'golo #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·133 Ansichten
  • BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand..

    Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨 BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand.. Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·158 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe.

    Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena

    Source Mike Keagan

    #SportsElite
    🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Baada ya mvutano wa muda mrefu hatimaye klabu ya Man United imerudishwa Sokoni na sasa Glazers wako tayari kuiuza klabu hiyo na hakuna mtu yoyote anaweza kuwazuia akiwepo Jim Ratcliffe. Manchester United inauzwa kwa sasa ipo sokoni tena Source Mike Keagan #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·102 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Douglas Luiz atafanyiwa vipimo vya afya Leo ili kukamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest hadi 2030 na atakuwa analipwa €5M/mwaka pamoja na bonasi zote

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Douglas Luiz atafanyiwa vipimo vya afya Leo ili kukamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest hadi 2030 na atakuwa analipwa €5M/mwaka pamoja na bonasi zote #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·71 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea imekamilisha usajiri wa Julio Enciso kutoka Brighton kwa ada ya €18.5M na nyongeza ya €2.5M, na atatolewa kwa mkopo wa mwaka 1 kwenda Racing Strasbourg.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Chelsea imekamilisha usajiri wa Julio Enciso kutoka Brighton kwa ada ya €18.5M na nyongeza ya €2.5M, na atatolewa kwa mkopo wa mwaka 1 kwenda Racing Strasbourg. ⚪🔵⌛ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·103 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Richarlison amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki Premier League 1.
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Richarlison amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki Premier League 1.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·37 Ansichten
Suchergebnis