0 التعليقات
·0 المشاركات
·7 مشاهدة
-
0 التعليقات ·0 المشاركات ·11 مشاهدة
-
0 التعليقات ·0 المشاركات ·13 مشاهدة
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ademola Lookman tayari ameshamalizana na Inter mkataba wake kutamatika hadi 2030, na atapokea kiasi cha €4M kwa mwaka.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Ademola Lookman tayari ameshamalizana na Inter mkataba wake kutamatika hadi 2030, na atapokea kiasi cha €4M kwa mwaka. ⚫🔵 #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·17 مشاهدة -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz
Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa.
Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo.
Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa.
(Fabrizio Romano)🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool imekataa pendekezo rasmi la €67.5m kutoka kwa FC Bayern kwa ajili ya Luis Diaz 🚫🇨🇴 Luis Diaz, yuko tayari kuondoka Liverpool msimu huu wa joto huku Bayern na Barcelona wakimtaka lakini klabu inaendelea kukataa. Hakuna makubaliano kuhusu ada ya uhamisho na Liverpool wanaona thamani ya Luis Diaz kuwa juu zaidi ya €67.5m inayotolewa leo. Liverpool walisema hapana, kama ilivyoripotiwa. (Fabrizio Romano)0 التعليقات ·0 المشاركات ·24 مشاهدة -
0 التعليقات ·0 المشاركات ·16 مشاهدة
-
Baada ya kushinda Taji la Klabu Bingwa, Kampuni zifuatazo zimeweka wazi kutaka kuwa wadhamini wa Chelsea.
Shabiki wa Chelsea, ungependa nani awe mbele ya shati yenu?
Qatar Airways
Fly Emirates
Riyadh Air
SAMSUNG
DAMAC💰🏆🏴Baada ya kushinda Taji la Klabu Bingwa, Kampuni zifuatazo zimeweka wazi kutaka kuwa wadhamini wa Chelsea. Shabiki wa Chelsea, ungependa nani awe mbele ya shati yenu? ✅Qatar Airways ✅Fly Emirates ✅Riyadh Air ✅SAMSUNG ✅DAMAC0 التعليقات ·0 المشاركات ·30 مشاهدة -
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Patrick Agyemang amejiunga na Derby County kwa mkataba wa miaka 4
Charlotte FC watapokea kitita cha £5.8M pamoja na bonasi zote kutokana na mauzo hayo..
#SportsElite🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Patrick Agyemang amejiunga na Derby County kwa mkataba wa miaka 4 Charlotte FC watapokea kitita cha £5.8M pamoja na bonasi zote kutokana na mauzo hayo.. #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·23 مشاهدة -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Benfica imetuma ofa ya €25M kwa Palmeiras kuipata huduma ya Richard Ríos, says @Glongari.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Benfica imetuma ofa ya €25M kwa Palmeiras kuipata huduma ya Richard Ríos, says @Glongari. #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·41 مشاهدة -
𝗦𝗧𝗔𝗠𝗣𝗘𝗗 & 𝗦𝗘𝗔𝗟𝗘𝗗!
𝗙𝗿𝗮𝗻𝗰𝗶𝘀𝗰𝗼 𝗖𝗼𝗻𝗰𝗲𝗶𝗰̧𝗮̃ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda 𝗝𝘂𝘃𝗲𝗻𝘁𝘂𝘀 kwa ada €𝟯𝟬𝗠!
Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26.
[@Record_Portugal | @OddAlerts]
#Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV
#SportsElite💣 𝗦𝗧𝗔𝗠𝗣𝗘𝗗 & 𝗦𝗘𝗔𝗟𝗘𝗗! 𝗙𝗿𝗮𝗻𝗰𝗶𝘀𝗰𝗼 𝗖𝗼𝗻𝗰𝗲𝗶𝗰̧𝗮̃ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda 𝗝𝘂𝘃𝗲𝗻𝘁𝘂𝘀 kwa ada €𝟯𝟬𝗠! 🔴⚪🇵🇹 Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26. ✅ 📌 [@Record_Portugal | @OddAlerts] #Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·35 مشاهدة -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Al Hilal imekamilisha mazungumzo na Atalanta kukamilisha uhamisho wa kiungo Ederson.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Al Hilal imekamilisha mazungumzo na Atalanta kukamilisha uhamisho wa kiungo Ederson. #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·39 مشاهدة -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hugo Ekitike yuko karibu kujiunga na Newcastle United kutokea Eintracht Frankfurt kwa ada ya €78 million, na mkataba hadi 2030.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hugo Ekitike yuko karibu kujiunga na Newcastle United kutokea Eintracht Frankfurt kwa ada ya €78 million, na mkataba hadi 2030. ⚪⚫ #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·43 مشاهدة -
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Luka Modrić kwenda AC Milan kwa mkataba wa mwaka 1 na nyongeza hadi June 2027!
Modrić atavaa jezi 1️⃣4️⃣ baada ya kumaliza mkataba Real Madrid .
#SportsElite🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Luka Modrić kwenda AC Milan kwa mkataba wa mwaka 1 na nyongeza hadi June 2027! ❤️🖤🇭🇷 Modrić atavaa jezi 1️⃣4️⃣ baada ya kumaliza mkataba Real Madrid . ✨ #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·42 مشاهدة -
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Real Madrid imethibitisha usajili wa Álvaro Carreras kwa kandarasi hadi 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟐𝟎𝟑𝟏!
Muhispani huyo anarudi tena baada ya kuondoka miaka 6, Benfica atavuna €50m ..
#SportsElite🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Real Madrid imethibitisha usajili wa Álvaro Carreras kwa kandarasi hadi 𝐉𝐮𝐧𝐞 𝟐𝟎𝟑𝟏! 🤍 Muhispani huyo anarudi tena baada ya kuondoka miaka 6, Benfica atavuna €50m .. 🔙🏡 #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·62 مشاهدة -
🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Pablo Torre amejiunga Mallorca kwa mkataba wa kudumu akitokea Barça. ❤️🖤🔐. 🔙🇪🇸 #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·43 مشاهدة
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hakuna makubaliano juu ya Ibrahima Konaté na Liverpool ili kuongeza kandarasi .
Note: Real Madrid bado wako kwenye mbio za kumuwania beki huyo.
#SportsElite🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Hakuna makubaliano juu ya Ibrahima Konaté na Liverpool ili kuongeza kandarasi . 🔴⚠️ Note: Real Madrid bado wako kwenye mbio za kumuwania beki huyo. 👀 #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·65 مشاهدة -
0 التعليقات ·0 المشاركات ·75 مشاهدة
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal iko kwenye majadiliano na Valencia ili kuinasa saini ya beki wa Kati Cristhian Mosquera, tayari mazungumzo na mchezaji yamekamilika..
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal iko kwenye majadiliano na Valencia ili kuinasa saini ya beki wa Kati Cristhian Mosquera, tayari mazungumzo na mchezaji yamekamilika.. #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·107 مشاهدة -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atalanta imeonesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji wanOlympique Lyonnais Georges Mikautadze (Mtoto wa 2000).
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atalanta imeonesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji wanOlympique Lyonnais Georges Mikautadze (Mtoto wa 2000). #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·98 مشاهدة -
🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Dani Ceballos anaweza kuondoka Real Madrid dirisha hili, reports AS. 🤯👀 #SportsElite0 التعليقات ·0 المشاركات ·93 مشاهدة
الصفحات المعززة