0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·2 Views
-
🚨 Liverpool FC iko mbioni kukamilisha usajiri wa Marc Guehi (Source: Mirror) #sportselite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·6 Views
-
𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Milos Kerkez akiwa njiani kuelekea Merseyside kutia saini Liverpool
Kwa ada ya uhamisho £40m done… deal , confirmed
#sportselite🚨 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Milos Kerkez akiwa njiani kuelekea Merseyside kutia saini Liverpool Kwa ada ya uhamisho £40m done… deal , confirmed ☑️🇭🇺 #sportselite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·101 Views -
BRAKING: Bayern Munich imeingia kwenye mbio za kuisaka saini ya Mkolombia Luis Diaz (28) Liverpool
#sportseliteBRAKING: Bayern Munich imeingia kwenye mbio za kuisaka saini ya Mkolombia Luis Diaz (28) Liverpool #sportselite -
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bayer Leverkusen imefikia makubaliano ya kumsajiri Jarell Quansah kutoka Liverpool ⚫️
ada ya uhamisho £30m na nyongeza ya £5m
Kandarasi hadi June 2030,vipimo vitafanyika wiki ijayo...
#sportselite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Bayer Leverkusen imefikia makubaliano ya kumsajiri Jarell Quansah kutoka Liverpool 🔴⚫️🏴 ada ya uhamisho £30m na nyongeza ya £5m Kandarasi hadi June 2030,vipimo vitafanyika wiki ijayo... #sportselite -
Miongoni mwa mabeki wanao windwa na vilabu ulaya ni beki za Bournemouth,huwenda tukazikosa msimu ujao ndani ya Bournemouth
Dean Huijsen Madrid (hatua za mwishoni)
Milos Kerkez Liverpool (dili limekamilika)
Illia Zabarnyi PSG (dili liko mbioni kukamilika)
Bournemouth mwendo wa kupiga mpunga tu!🍒🌟 Miongoni mwa mabeki wanao windwa na vilabu ulaya ni beki za Bournemouth,huwenda tukazikosa msimu ujao ndani ya Bournemouth 🇪🇸 Dean Huijsen ➡️ Madrid (hatua za mwishoni) 🇭🇺 Milos Kerkez ➡️ Liverpool (dili limekamilika) 🇺🇦 Illia Zabarnyi ➡️ PSG (dili liko mbioni kukamilika) Bournemouth mwendo wa kupiga mpunga tu!💰 -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool inahitaji huduma ya Victor Osimhen,lakini Napoli inahitaji kiasi cha £64 ili kuipata saini ya Straika huyo
Pamoja na hayo Liverpool imemuweka Federico Chiesa pamoja na Darwin Núñez kama njia ya kumpata Osimhen,lakini raisi wa Napoli wanahitaji nyongeza ya £17 million ili kukamilisha dili hilo....
#sportselite
🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇳🇬 Liverpool inahitaji huduma ya Victor Osimhen,lakini Napoli inahitaji kiasi cha £64 ili kuipata saini ya Straika huyo Pamoja na hayo Liverpool imemuweka Federico Chiesa pamoja na Darwin Núñez kama njia ya kumpata Osimhen,lakini raisi wa Napoli wanahitaji nyongeza ya £17 million ili kukamilisha dili hilo.... #sportselite -
🚨👋🏻 Jarell Quansah huwenda akaondoka Liverpool kujiunga na Bayer Leverkusen 👀✅ #sportselite
-
Usajiri ambao umefanyika Liverpool hadi sasa
Liverpool get Florian Wirtz, Jeremie Frimpong,usajiri huu jumla umegharimu £200m 😮💨
#sportseliteUsajiri ambao umefanyika Liverpool hadi sasa🎯🎯🎯 Liverpool get Florian Wirtz, Jeremie Frimpong,usajiri huu jumla umegharimu £200m 😮💨💸 #sportselite -
-
-
-
#SportsElite
FT: Everton vs Liverpool#SportsElite🏴 FT: Everton vs Liverpool -
#SportsElite TETESIArsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football),
Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks)
Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes)
Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),#SportsElite TETESI🌏Arsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football), Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks) Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes) Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport), -
#SportsElite @FA cup Liverpool ✂️ Chelsea ✂️ Arsenal ✂️ Wababe nje ya FA
-
Mo Salah amebakisha mabao 83 kuivunja rekodi ya ufungaji bora wa muda wote ya ligi kuu ya England inayoshikiliwa na muingereza Alan Shearer.
Kwa sasa Salah yupo nafasi ya 6 akiwa na mabao 178, na anayo nafasi ya kupanda hadi nafasi ya 5 na kumshusha Sergio Kun-Aguero mwenye mabao 184, endapo atafunga mabao 7 katika mechi 15 zilizobaki. Na kama itakuwa hivyo basi atakuwa amebakisha mabao 76 ili kuvunja kabisa ya muda wote.
Kwa rekodi ya ufungaji ya Salah, atahitaji misimu angalau minne kuifikia rekodi hii. Hii ni kwa sababu tangu ajiunge Liverpool 2016/18 amekuwa na wastani wa kufunga mabao 22 kwa msimu.
2024/25 - 21
2023/24 - 18
2022/23 - 19
2021/22 - 23
2020/21 - 22
2019/20 - 19
2018/19 - 22
2017/18 - 32
Mkataba wa Mo Salah utaisha mwishoni mwa msimu huu na mazungumzo ya mkataba mpya yanasuasua. Salah mwenye miaka 32 amesema anatamani kubaki Liverpool, akini apewe mkataba wa miaka mitatu hadi 2028.
Ila wamiliki wa klabu hiyo, kampuni ya FSG, wanasita kutoa mkataba mrefu namna hiyo kwa hofu ya umri wake.
Mo Salah amebakisha mabao 83 kuivunja rekodi ya ufungaji bora wa muda wote ya ligi kuu ya England inayoshikiliwa na muingereza Alan Shearer. Kwa sasa Salah yupo nafasi ya 6 akiwa na mabao 178, na anayo nafasi ya kupanda hadi nafasi ya 5 na kumshusha Sergio Kun-Aguero mwenye mabao 184, endapo atafunga mabao 7 katika mechi 15 zilizobaki. Na kama itakuwa hivyo basi atakuwa amebakisha mabao 76 ili kuvunja kabisa ya muda wote. Kwa rekodi ya ufungaji ya Salah, atahitaji misimu angalau minne kuifikia rekodi hii. Hii ni kwa sababu tangu ajiunge Liverpool 2016/18 amekuwa na wastani wa kufunga mabao 22 kwa msimu. 2024/25 - 21 2023/24 - 18 2022/23 - 19 2021/22 - 23 2020/21 - 22 2019/20 - 19 2018/19 - 22 2017/18 - 32 Mkataba wa Mo Salah utaisha mwishoni mwa msimu huu na mazungumzo ya mkataba mpya yanasuasua. Salah mwenye miaka 32 amesema anatamani kubaki Liverpool, akini apewe mkataba wa miaka mitatu hadi 2028. Ila wamiliki wa klabu hiyo, kampuni ya FSG, wanasita kutoa mkataba mrefu namna hiyo kwa hofu ya umri wake. -
Newcastle win
Liverpool win or draw
Borussia Dotmund win or draw
Odds 2.9Newcastle win Liverpool win or draw Borussia Dotmund win or draw Odds 2.90 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·548 Views -
-
POUL POGBA NDIYE ALIMPAMBANIA AMAD KUREJEA MANCHESTER UNITED
Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Poul Labile Pogba Ndiye aliempambania Winga Amad Dialo kurejea Kwenye Kikosi Cha Manchester United.
AMAD DIALO Alisajiliwa na Manchester United mnamo Januari 2021, alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, akitokea Atalanta ya Nchini Italy.
Kutokana na kiwango alichokua nacho Amad Dialo hakikua kizuri Kocha wa United kipindi hicho Ole Gunnar Solskjær aliuambia Uongozi Amad Atolewee kwa Mkopo kitu Ambacho Marcus Rashford Pamoja na Pogba Waliweka Upingamizi lakini alitolewa kwa Mkopo na Kwenda Rangers .
Michael Carrick alipopewa Nafasi ya kukinoa Kikosi Cha United kwa muda Pogba na Marcus Rashford walimwambia asaidie Amad kurejea Kikosini na Carick kabla hajaondoka alitoa pendekezo hilo na Amad alirejea kama Kipaji na Eric Ten Hag alivyokua Kocha wa Manchester United alikua Hana mamlaka ya kumuondoa Amad licha ya kua alikua akimweka Benchi lakini Amd aliisaidia United hata akitokea Benchi.
Aliwafunga Liverpool robo Fainali kwenda Nusu Fainali ya FA na United wakashinda Kombe hilo mbele ya Manchester City.
Licha ya Marcus Rashford na Pogba kutokua na Maelewano na Makocha wa Manchester United wapya kwakua mara nyingi hupishana Kauli na Namna ya kuendesha timu lakini Amad Dialo aliambiwa akomae apambane na yeye ni Manchester United.
Hata hivyo Amad Dialo tangu akiwa mdogo alikua ni Shabiki Wa Chelsea na Real Madrid
Amezaliwa: July 11, 2002 (age 22 years), Jijini Abidjan, Nchini Côte d’Ivoire mama yake ni Mzungu wa Italian mama yake ni Mwafrica wa Ivorcost 🇨🇮 AMAD DIALO amekulia sana kwao na mama yake kwa Sababu upande wa baba yake walikua hawamtaki kwa kile kilichosemekana kua yeye sio mzungu hivyo mimba ilitokea bahati Mbaya.
Mpaka hapo baadae baba yake alivyomchukua na kumpeleka Kwao Italy na kuanza maisha na Mwanae na ndipo alipompeleka Shule ya Mpira ya Atalanta ambayo ni Klabu anayoishabikia pia baba yake na Amad Diallo ni Mwananchi wa Italy mwenye Asili ya Spain.
AMAD DIALO kutokana na kukulia kwa mama yake Lugha anayoifahamu ni Kifaransa pia ana Uraia wa Nchi ya mama yake kwa Sababu ya mama yake kumpambania licha ya kidogo alichokipata Amad ni kaka wa Mdogo wake wa kike ambaye alimwacha kwa mama yake.
Moja ya Ahadi ambayo Amad Diallo aliwahi kumuahidi mama yake ni kua atarudi kama mtu mkubwa na atarudi kumsaidia na ataichezea Nchi yake mama yake na atajitumaa sana.
Kukubali Kujiunga na Manchester United na kuikata Chelsea ni kwa Sababu mama yake Mzazi anashabikia klabu hiyo ya Manchester United tangu akiwa Binti wa miaka 15 .
Mama yake dini yake ni Muslim hivyo na Amad Diallo alichagua Upande wa mama yake pia aliwahi kusema anacheza kwa bidi kwenye Kila mechi anayopangwa kwa sababu mama yake Mzazi anakua Africa akimtazama ndani ya Klabu yake.
Mara nyingi alikua akionekana na Marcus Rashford kwenye mazoezi binafsi ya Gym na mara Nyingi amekua akipokea ushauri kutoka kwa Pogba ambaye aliondolewa Manchester United.
#JeWajua
POUL POGBA NDIYE ALIMPAMBANIA AMAD KUREJEA MANCHESTER UNITED Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Poul Labile Pogba Ndiye aliempambania Winga Amad Dialo kurejea Kwenye Kikosi Cha Manchester United. AMAD DIALO Alisajiliwa na Manchester United mnamo Januari 2021, alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, akitokea Atalanta ya Nchini Italy. Kutokana na kiwango alichokua nacho Amad Dialo hakikua kizuri Kocha wa United kipindi hicho Ole Gunnar Solskjær aliuambia Uongozi Amad Atolewee kwa Mkopo kitu Ambacho Marcus Rashford Pamoja na Pogba Waliweka Upingamizi lakini alitolewa kwa Mkopo na Kwenda Rangers . Michael Carrick alipopewa Nafasi ya kukinoa Kikosi Cha United kwa muda Pogba na Marcus Rashford walimwambia asaidie Amad kurejea Kikosini na Carick kabla hajaondoka alitoa pendekezo hilo na Amad alirejea kama Kipaji na Eric Ten Hag alivyokua Kocha wa Manchester United alikua Hana mamlaka ya kumuondoa Amad licha ya kua alikua akimweka Benchi lakini Amd aliisaidia United hata akitokea Benchi. Aliwafunga Liverpool robo Fainali kwenda Nusu Fainali ya FA na United wakashinda Kombe hilo mbele ya Manchester City. Licha ya Marcus Rashford na Pogba kutokua na Maelewano na Makocha wa Manchester United wapya kwakua mara nyingi hupishana Kauli na Namna ya kuendesha timu lakini Amad Dialo aliambiwa akomae apambane na yeye ni Manchester United. Hata hivyo Amad Dialo tangu akiwa mdogo alikua ni Shabiki Wa Chelsea na Real Madrid Amezaliwa: July 11, 2002 (age 22 years), Jijini Abidjan, Nchini Côte d’Ivoire mama yake ni Mzungu wa Italian mama yake ni Mwafrica wa Ivorcost 🇨🇮 AMAD DIALO amekulia sana kwao na mama yake kwa Sababu upande wa baba yake walikua hawamtaki kwa kile kilichosemekana kua yeye sio mzungu hivyo mimba ilitokea bahati Mbaya. Mpaka hapo baadae baba yake alivyomchukua na kumpeleka Kwao Italy na kuanza maisha na Mwanae na ndipo alipompeleka Shule ya Mpira ya Atalanta ambayo ni Klabu anayoishabikia pia baba yake na Amad Diallo ni Mwananchi wa Italy mwenye Asili ya Spain. AMAD DIALO kutokana na kukulia kwa mama yake Lugha anayoifahamu ni Kifaransa pia ana Uraia wa Nchi ya mama yake kwa Sababu ya mama yake kumpambania licha ya kidogo alichokipata Amad ni kaka wa Mdogo wake wa kike ambaye alimwacha kwa mama yake. Moja ya Ahadi ambayo Amad Diallo aliwahi kumuahidi mama yake ni kua atarudi kama mtu mkubwa na atarudi kumsaidia na ataichezea Nchi yake mama yake na atajitumaa sana. Kukubali Kujiunga na Manchester United na kuikata Chelsea ni kwa Sababu mama yake Mzazi anashabikia klabu hiyo ya Manchester United tangu akiwa Binti wa miaka 15 . Mama yake dini yake ni Muslim hivyo na Amad Diallo alichagua Upande wa mama yake pia aliwahi kusema anacheza kwa bidi kwenye Kila mechi anayopangwa kwa sababu mama yake Mzazi anakua Africa akimtazama ndani ya Klabu yake. Mara nyingi alikua akionekana na Marcus Rashford kwenye mazoezi binafsi ya Gym na mara Nyingi amekua akipokea ushauri kutoka kwa Pogba ambaye aliondolewa Manchester United. #JeWajua0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views -
Matokeo ya michezo ya Jana.
Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca
EFL CUP
- Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace
- Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford
- Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool
LA LIGA
- Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence
- Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano
COPPA ITALIA
- Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena
- Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria
LIGUE 1
- Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG
KNVB BEKER
- Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente
- AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht
- ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen
- Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣)
- Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣)
- AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue
TACA DE PORTUGAL
- Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣)
PSL
- Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns
UEFA Champions League (Wanawake)
- FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City
- St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby
- Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich
- Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga
SEGUNDA DIVISION
- Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria
- Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense
- Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon
Matokeo ya michezo ya Jana. Real Madrid 3️⃣-0️⃣ Pachuca 🏴 EFL CUP - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Crystal Palace - Newcastle 3️⃣-1️⃣ Brentford - Southampton 1️⃣-2️⃣ Liverpool 🇪🇸 LA LIGA - Espanyol 1️⃣-1️⃣ Valence - Villarreal 1️⃣-1️⃣ Rayo Vallecano 🇮🇹 COPPA ITALIA - Atalanta 6️⃣-1️⃣ Cesena - Roma 4️⃣-1️⃣ Sampdoria 🇫🇷 LIGUE 1 - Monaco 2️⃣-4️⃣ PSG 🇳🇱 KNVB BEKER - Katwijk 2️⃣-3️⃣ Twente - AFC 0️⃣-8️⃣ Utrecht - ASWH 0️⃣-1️⃣ Heerenveen - Heracles Almelo 0️⃣-0️⃣ NEC (AP 1️⃣-0️⃣) - Sparta Rotterdam 1️⃣-1️⃣ Go Ahead Eagles (4️⃣-5️⃣) - AZ 3️⃣-1️⃣ Groningue 🇵🇹 TACA DE PORTUGAL - Sporting 1️⃣-1️⃣ Santa Clara (2️⃣-1️⃣) 🇿🇦 PSL - Stellenbosch 0️⃣-1️⃣ Mamelodi Sundowns 🌍 UEFA Champions League (Wanawake) - FC Barcelona 3️⃣-0️⃣ Manchester City - St.Pölten 1️⃣-2️⃣ Hammarby - Arsenal 3️⃣-2️⃣ Bayern Munich - Juventus 3️⃣-0️⃣ Valerenga 🇪🇸 SEGUNDA DIVISION - Ferrol 1️⃣-4️⃣ Almeria - Malaga 3️⃣-0️⃣ Eldense - Mirandes 1️⃣-1️⃣ Sporting Gijon0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
Αναζήτηση αποτελεσμάτων