• Match Day | SEMI FINAL

    ⚪️ UEFA Nations League

    Ⓜ  Germany Portugal
      Midnight
    EAT | 22:00 PM
    EAT | 22:00 PM
      IND | 12:30 AM
      UAE | 11:00 PM
    ZIM | 09:00 PM
      Live Link
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match


    𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀:
      https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match

    #Share
    ⚡ Match Day | SEMI FINAL ✨ ⚪️🟢 UEFA Nations League Ⓜ  Germany 🆚 Portugal 📅  Midnight 🇹🇿 EAT | 22:00 PM 🇰🇪 EAT | 22:00 PM 🇮🇳  IND | 12:30 AM 🇦🇪  UAE | 11:00 PM 🇿🇼 ZIM | 09:00 PM 📺  Live Link 👉 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 🔴🔴 𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀: 👉  https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match #Share ⚽🔜
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·46 Views
  • UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL MATCH

    Psg Vs Inter milan 22:00 EAT
    🏟 Allianz Arena

    Live at
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL MATCH Psg Vs Inter milan 22:00 EAT 🏟 Allianz Arena Live at 👇👇 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·110 Views
  • OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA.

    UEFA Europa Conference
    UEFA Champions League
    UEFA Europa League
    UEFA Cup Winner's Cup

    #SportsElite
    🏆💣 OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA. 🏆 UEFA Europa Conference 🏆🏆 UEFA Champions League 🏆🏆 UEFA Europa League 🏆🏆 UEFA Cup Winner's Cup #SportsElite
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·111 Views
  • Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (𝗦𝗮𝗻𝘁𝗶𝗮𝗴𝗼 𝗕𝗲𝗿𝗻𝗮𝗯𝗲́𝘂) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3).

    Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.

    Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (𝗦𝗮𝗻𝘁𝗶𝗮𝗴𝗼 𝗕𝗲𝗿𝗻𝗮𝗯𝗲́𝘂) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3). Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·604 Views
  • #SportsElite
    #UEFAConferenceligue
    #SportsElite #UEFAConferenceligue
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·901 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    0 Reacties ·0 aandelen ·884 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    Wow
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·878 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue Round 16
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue Round 16
    Wow
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·881 Views
  • #SportsElite
    #UEFAEUROPALigue Round 16
    #SportsElite #UEFAEUROPALigue Round 16
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·947 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue FT
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue FT
    Sad
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·963 Views
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • #SportsElite 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    #SportsElite🇪🇸 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    Yay
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·722 Views
  • #SportsElite
    #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·471 Views
  • #SprtsElite
    #UEFA FT
    #SprtsElite #UEFA FT
    Sad
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·647 Views
  • #SportsElite #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·394 Views
  • #SportsElite #UEFA...Manchester City itamenyana na Real Madrid katika nusu fainali ya kombe la Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne Uwanjani Etihad.

    City ilifikia kiwango hiki baada ya kumaliza nafasi ya 22 kwenye jedwali lililopangwa upya la kombe la Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu huu.

    Real Madrid, ambao walishinda Ligi ya Mabingwa mara ya 15 kwa jumla msimu uliopita, walimaliza katika nafasi ya 11 kwenye jedwali, wakiwa wameshinda mechi tano kati ya nane na kupoteza tatu.

    Hii itakuwa mara ya tano kwa City na Real kukutana katika misimu sita iliyopita.
    #SportsElite #UEFA...Manchester City itamenyana na Real Madrid katika nusu fainali ya kombe la Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne Uwanjani Etihad. City ilifikia kiwango hiki baada ya kumaliza nafasi ya 22 kwenye jedwali lililopangwa upya la kombe la Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu huu. Real Madrid, ambao walishinda Ligi ya Mabingwa mara ya 15 kwa jumla msimu uliopita, walimaliza katika nafasi ya 11 kwenye jedwali, wakiwa wameshinda mechi tano kati ya nane na kupoteza tatu. Hii itakuwa mara ya tano kwa City na Real kukutana katika misimu sita iliyopita.
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·570 Views
  • Ila UEFA
    Ila UEFA 🤣
    Haha
    1
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·443 Views
  • Msimamo wa UEFA Champions League hadi sasa
    Msimamo wa UEFA Champions League hadi sasa👐
    Like
    1
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·538 Views
  • Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)?

    1. Liverpool
    2. Barcelona
    3. Inter Milan
    4. Arsenal
    5. Real Madrid
    Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)? 1. Liverpool 2. Barcelona 3. Inter Milan 4. Arsenal 5. Real Madrid
    Like
    1
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·927 Views
  • HIZI NI PICHA TU MWANANGU 2

    Hizi ni Picha Tu mwanangu Picha Ya kwanza inatoka Katika Maktaba Ya Philippe Desmazes.

    Na sio picha iliyotoka kwa Lukamba wa Zamani Wa Nasibu Nyange La hasha

    Ni Ndani Ndani picha za Madrid Wanamtambulisha marcelo Aliyetoka Nchini kwao Fluminense.

    Akiwa na Miaka 15 pekee kwenye soka la kukuza vijana ndani ya klabu ya Madrid.

    Usajili Wa kijana Mdogo Kutoka Kule Rio De Janeiro Nchini Brazil.

    Picha Nyingine Ya Pili Kutoka Katika Maktaba Ya Simon stackpole.

    Marcelo Viera Da silva Junior Alicheza Mechi Ya Kwanza Ndani Ya Uzi Wa Madrid mwaka 2007 Tarehe 7 January.

    Siku Iliyomtambulisha Marcelo Duniani Katika Soka.

    Anacheza mechi Dhidi Ya Deportivo.
    Akitokea Bench Ndani Ya dakika 80.

    Hizi ni picha 2 Mwanangu picha mojawapo za Kumbukumbu kwake marcelo ndani ya madrid.

    Marcelo Ameshinda Makombe 22 Ndani Ya Uzi Madrid.

    4x UCL
    5x La Liga
    2x Copa del Rey
    4x Supercopa
    4x Club World Cup
    3x UEFA Super Cup

    OYA HIZI NI PICHA TU MWANANGU
    #neliudcosiah


    HIZI NI PICHA TU MWANANGU 2 ✍️ Hizi ni Picha Tu mwanangu Picha Ya kwanza inatoka Katika Maktaba Ya Philippe Desmazes. Na sio picha iliyotoka kwa Lukamba wa Zamani Wa Nasibu Nyange La hasha Ni Ndani Ndani picha za Madrid Wanamtambulisha marcelo Aliyetoka Nchini kwao Fluminense. Akiwa na Miaka 15 pekee kwenye soka la kukuza vijana ndani ya klabu ya Madrid. Usajili Wa kijana Mdogo Kutoka Kule Rio De Janeiro Nchini Brazil. Picha Nyingine Ya Pili Kutoka Katika Maktaba Ya Simon stackpole. Marcelo Viera Da silva Junior Alicheza Mechi Ya Kwanza Ndani Ya Uzi Wa Madrid mwaka 2007 Tarehe 7 January. Siku Iliyomtambulisha Marcelo Duniani Katika Soka. Anacheza mechi Dhidi Ya Deportivo. Akitokea Bench Ndani Ya dakika 80. Hizi ni picha 2 Mwanangu picha mojawapo za Kumbukumbu kwake marcelo ndani ya madrid. Marcelo Ameshinda Makombe 22 Ndani Ya Uzi Madrid. 🏆4x UCL 🏆5x La Liga 🏆2x Copa del Rey 🏆4x Supercopa 🏆4x Club World Cup 🏆3x UEFA Super Cup OYA HIZI NI PICHA TU MWANANGU✍️ #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·906 Views
Zoekresultaten