


@Hosea255
I'm a Dr love with more care of other I like to be liked and watching movies
13 Posts
13 Photos
0 Videos
Lives in Dar es salaam
From Dar es salaam
Male
Single
16/10/1990
-
Kama Hakuna KITU unachopeleka Nyumbani basi usipeleke Matatizo
SITAWAFUNDISHA KILA KITU
NB:
Hakikisha kila siku hausahau kutenga dakika 2 za kuwaogopa Wanawake
#SautiChakavu⚠️Kama Hakuna KITU unachopeleka Nyumbani basi usipeleke Matatizo✍️📌 SITAWAFUNDISHA KILA KITU🙏 NB: Hakikisha kila siku hausahau kutenga dakika 2 za kuwaogopa Wanawake #SautiChakavu -
-
-
AdultKuna wakati tunatakiwa kukubali kwamba kna watu wanaweza kubaki kwenye MIOYO yëtu lakini sio kwenye Maisha yetu hivyo mwache aende Anza upya
NB:
Eid Mubarak
#_SautiChakavu⚠️Kuna wakati tunatakiwa kukubali kwamba kna watu wanaweza kubaki kwenye MIOYO yëtu lakini sio kwenye Maisha yetu hivyo mwache aende Anza upya✍️📌 NB: Eid Mubarak #_SautiChakavu -
-
-
Keep on moving and never give up guys NB: Them want war them got war #_RaggedVoice
-
-
Wakati mwingine mioyo iliyoumizwa inakutana, inaponyana na kupendana sana.
Yawezekana uwaonao wanapendana sana leo hii kuna mahala UPENDO wao ulipuuzwa na kukinaiwa.
Mapito yenye maumivu hayaondoi thamani ya mtu sahihi. Hata kama umeumizwa sana wewe, endelea kuwa mtu sahihi na mwenye thamani.
NB:
Utakutana na mtu wa aina yako na utafurahia matamanio yako ya muda mrefu. Furaha, amani na kila nzuri ulilotamani litakuwa sehemu maisha yako.
#_RaggedvoiceWakati mwingine mioyo iliyoumizwa inakutana, inaponyana na kupendana sana. Yawezekana uwaonao wanapendana sana leo hii kuna mahala UPENDO wao ulipuuzwa na kukinaiwa. Mapito yenye maumivu hayaondoi thamani ya mtu sahihi. Hata kama umeumizwa sana wewe, endelea kuwa mtu sahihi na mwenye thamani. NB: Utakutana na mtu wa aina yako na utafurahia matamanio yako ya muda mrefu. Furaha, amani na kila nzuri ulilotamani litakuwa sehemu maisha yako. #_Raggedvoice -
Mwanaume anapopata Pesa anawaza kumtunza mke wake na watoto wake na Familia kwa ujumla lakini Mwanamke anapopata Pesa anahisi hakuna umuhimu wa kuwa na Mwanaume
NB:
Hii ni kwa Wanaume na ustawi wa kipato chako kamwe usidate na Mwanamke ambaye anakuzidi Matatizo
#_raggedvoice⚠️Mwanaume anapopata Pesa anawaza kumtunza mke wake na watoto wake na Familia kwa ujumla lakini Mwanamke anapopata Pesa anahisi hakuna umuhimu wa kuwa na Mwanaume✍️📌 NB: Hii ni kwa Wanaume na ustawi wa kipato chako kamwe usidate na Mwanamke ambaye anakuzidi Matatizo🙏 #_raggedvoice -
Mtu pekee anayekuombea mema katika hatua zako ni Mama na Baba yako tu,hao wengine hawana msimamo na sala zao juu yako
Ukifa unadhani nani atakaa kwenye Kaburi lako kwa muda mrefu...
NB:
Hivi ukifanya mapenzi na Mwanamke mmesimama bado itahesabika kuwa ulilala nae..?
#_raggedvoice⚠️Mtu pekee anayekuombea mema katika hatua zako ni Mama na Baba yako tu,hao wengine hawana msimamo na sala zao juu yako📌 Ukifa unadhani nani atakaa kwenye Kaburi lako kwa muda mrefu...✍️ NB: Hivi ukifanya mapenzi na Mwanamke mmesimama bado itahesabika kuwa ulilala nae..🤔? #_raggedvoice -
Tafuta kwanza furaha shida huwa zinakuja zenyewe tu
NB:
Kufumba macho sio kulala na kufumbua macho sio kuamka
#_SautiChakavu⚠️Tafuta kwanza furaha shida huwa zinakuja zenyewe tu✍️📌 NB: Kufumba macho sio kulala na kufumbua macho sio kuamka #_SautiChakavu -
More Stories