Recent Updates
  • Kama Hakuna KITU unachopeleka Nyumbani basi usipeleke Matatizo

    SITAWAFUNDISHA KILA KITU
    NB:
    Hakikisha kila siku hausahau kutenga dakika 2 za kuwaogopa Wanawake
    #SautiChakavu
    ⚠️Kama Hakuna KITU unachopeleka Nyumbani basi usipeleke Matatizo✍️📌 SITAWAFUNDISHA KILA KITU🙏 NB: Hakikisha kila siku hausahau kutenga dakika 2 za kuwaogopa Wanawake #SautiChakavu
    Like
    5
    3 Comments 0 Shares 155 Views
  • Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake
    ⚠️Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake✍️📌
    Like
    Love
    6
    0 Comments 0 Shares 81 Views
  • Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake
    ⚠️Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake✍️📌
    Like
    Love
    4
    0 Comments 0 Shares 72 Views
  • Kuna wakati tunatakiwa kukubali kwamba kna watu wanaweza kubaki kwenye MIOYO yëtu lakini sio kwenye Maisha yetu hivyo mwache aende Anza upya

    NB:
    Eid Mubarak
    #_SautiChakavu
    ⚠️Kuna wakati tunatakiwa kukubali kwamba kna watu wanaweza kubaki kwenye MIOYO yëtu lakini sio kwenye Maisha yetu hivyo mwache aende Anza upya✍️📌 NB: Eid Mubarak #_SautiChakavu
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 79 Views
  • How to reffer a friend guys anyone can help me.
    How to reffer a friend guys anyone can help me.
    Like
    Love
    5
    0 Comments 0 Shares 95 Views
  • Good morning Ladies and Gentlemen
    ⚠️Good morning Ladies and Gentlemen📌
    Like
    Love
    5
    3 Comments 0 Shares 88 Views
  • Keep on moving and never give up guys
    NB:
    Them want war them got war
    #_RaggedVoice
    Keep on moving and never give up guys NB: Them want war them got war #_RaggedVoice
    Like
    Love
    5
    4 Comments 0 Shares 244 Views
  • Like
    Love
    4
    4 Comments 0 Shares 104 Views
  • Wakati mwingine mioyo iliyoumizwa inakutana, inaponyana na kupendana sana.

    Yawezekana uwaonao wanapendana sana leo hii kuna mahala UPENDO wao ulipuuzwa na kukinaiwa.

    Mapito yenye maumivu hayaondoi thamani ya mtu sahihi. Hata kama umeumizwa sana wewe, endelea kuwa mtu sahihi na mwenye thamani.

    NB:
    Utakutana na mtu wa aina yako na utafurahia matamanio yako ya muda mrefu. Furaha, amani na kila nzuri ulilotamani litakuwa sehemu maisha yako.
    #_Raggedvoice
    Wakati mwingine mioyo iliyoumizwa inakutana, inaponyana na kupendana sana. Yawezekana uwaonao wanapendana sana leo hii kuna mahala UPENDO wao ulipuuzwa na kukinaiwa. Mapito yenye maumivu hayaondoi thamani ya mtu sahihi. Hata kama umeumizwa sana wewe, endelea kuwa mtu sahihi na mwenye thamani. NB: Utakutana na mtu wa aina yako na utafurahia matamanio yako ya muda mrefu. Furaha, amani na kila nzuri ulilotamani litakuwa sehemu maisha yako. #_Raggedvoice
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 311 Views
  • Mwanaume anapopata Pesa anawaza kumtunza mke wake na watoto wake na Familia kwa ujumla lakini Mwanamke anapopata Pesa anahisi hakuna umuhimu wa kuwa na Mwanaume

    NB:
    Hii ni kwa Wanaume na ustawi wa kipato chako kamwe usidate na Mwanamke ambaye anakuzidi Matatizo
    #_raggedvoice
    ⚠️Mwanaume anapopata Pesa anawaza kumtunza mke wake na watoto wake na Familia kwa ujumla lakini Mwanamke anapopata Pesa anahisi hakuna umuhimu wa kuwa na Mwanaume✍️📌 NB: Hii ni kwa Wanaume na ustawi wa kipato chako kamwe usidate na Mwanamke ambaye anakuzidi Matatizo🙏 #_raggedvoice
    Like
    Love
    5
    4 Comments 0 Shares 287 Views
  • Mtu pekee anayekuombea mema katika hatua zako ni Mama na Baba yako tu,hao wengine hawana msimamo na sala zao juu yako
    Ukifa unadhani nani atakaa kwenye Kaburi lako kwa muda mrefu...

    NB:
    Hivi ukifanya mapenzi na Mwanamke mmesimama bado itahesabika kuwa ulilala nae..?
    #_raggedvoice
    ⚠️Mtu pekee anayekuombea mema katika hatua zako ni Mama na Baba yako tu,hao wengine hawana msimamo na sala zao juu yako📌 Ukifa unadhani nani atakaa kwenye Kaburi lako kwa muda mrefu...✍️ NB: Hivi ukifanya mapenzi na Mwanamke mmesimama bado itahesabika kuwa ulilala nae..🤔? #_raggedvoice
    Like
    Love
    3
    5 Comments 0 Shares 294 Views
  • Tafuta kwanza furaha shida huwa zinakuja zenyewe tu

    NB:
    Kufumba macho sio kulala na kufumbua macho sio kuamka
    #_SautiChakavu
    ⚠️Tafuta kwanza furaha shida huwa zinakuja zenyewe tu✍️📌 NB: Kufumba macho sio kulala na kufumbua macho sio kuamka #_SautiChakavu
    Like
    Love
    3
    5 Comments 0 Shares 194 Views
  • Like
    Love
    2
    1 Comments 0 Shares 91 Views
More Stories