Lucas Hosea
Lucas Hosea

@Hosea255

I'm a Dr love with more care of other I like to be liked and watching movies
13 Beiträge
13 Fotos
0 Videos
Lebt in Dar es salaam
Von Dar es salaam
Male
Single
16/10/1990
Jüngste Beiträge
  • Kama Hakuna KITU unachopeleka Nyumbani basi usipeleke Matatizo

    SITAWAFUNDISHA KILA KITU
    NB:
    Hakikisha kila siku hausahau kutenga dakika 2 za kuwaogopa Wanawake
    #SautiChakavu
    ⚠️Kama Hakuna KITU unachopeleka Nyumbani basi usipeleke Matatizo✍️📌 SITAWAFUNDISHA KILA KITU🙏 NB: Hakikisha kila siku hausahau kutenga dakika 2 za kuwaogopa Wanawake #SautiChakavu
    Like
    5
    · 3 Kommentare ·0 Anteile ·699 Ansichten
  • Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake
    ⚠️Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake✍️📌
    Like
    Love
    6
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·365 Ansichten
  • Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake
    ⚠️Kila siku hakikisha unatenga dakika 2 za kuwaogopa wanawake✍️📌
    Like
    Love
    4
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·350 Ansichten
  • Adult
    Kuna wakati tunatakiwa kukubali kwamba kna watu wanaweza kubaki kwenye MIOYO yëtu lakini sio kwenye Maisha yetu hivyo mwache aende Anza upya

    NB:
    Eid Mubarak
    #_SautiChakavu
    ⚠️Kuna wakati tunatakiwa kukubali kwamba kna watu wanaweza kubaki kwenye MIOYO yëtu lakini sio kwenye Maisha yetu hivyo mwache aende Anza upya✍️📌 NB: Eid Mubarak #_SautiChakavu
    Like
    Love
    4
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·600 Ansichten
  • How to reffer a friend guys anyone can help me.
    How to reffer a friend guys anyone can help me.
    Like
    Love
    5
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·571 Ansichten
  • Good morning Ladies and Gentlemen
    ⚠️Good morning Ladies and Gentlemen📌
    Like
    Love
    5
    · 3 Kommentare ·0 Anteile ·361 Ansichten
  • Keep on moving and never give up guys
    NB:
    Them want war them got war
    #_RaggedVoice
    Keep on moving and never give up guys NB: Them want war them got war #_RaggedVoice
    Like
    Love
    5
    · 4 Kommentare ·0 Anteile ·882 Ansichten
  • Like
    Love
    4
    · 4 Kommentare ·0 Anteile ·371 Ansichten
  • Wakati mwingine mioyo iliyoumizwa inakutana, inaponyana na kupendana sana.

    Yawezekana uwaonao wanapendana sana leo hii kuna mahala UPENDO wao ulipuuzwa na kukinaiwa.

    Mapito yenye maumivu hayaondoi thamani ya mtu sahihi. Hata kama umeumizwa sana wewe, endelea kuwa mtu sahihi na mwenye thamani.

    NB:
    Utakutana na mtu wa aina yako na utafurahia matamanio yako ya muda mrefu. Furaha, amani na kila nzuri ulilotamani litakuwa sehemu maisha yako.
    #_Raggedvoice
    Wakati mwingine mioyo iliyoumizwa inakutana, inaponyana na kupendana sana. Yawezekana uwaonao wanapendana sana leo hii kuna mahala UPENDO wao ulipuuzwa na kukinaiwa. Mapito yenye maumivu hayaondoi thamani ya mtu sahihi. Hata kama umeumizwa sana wewe, endelea kuwa mtu sahihi na mwenye thamani. NB: Utakutana na mtu wa aina yako na utafurahia matamanio yako ya muda mrefu. Furaha, amani na kila nzuri ulilotamani litakuwa sehemu maisha yako. #_Raggedvoice
    Like
    Love
    4
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·987 Ansichten
  • Mwanaume anapopata Pesa anawaza kumtunza mke wake na watoto wake na Familia kwa ujumla lakini Mwanamke anapopata Pesa anahisi hakuna umuhimu wa kuwa na Mwanaume

    NB:
    Hii ni kwa Wanaume na ustawi wa kipato chako kamwe usidate na Mwanamke ambaye anakuzidi Matatizo
    #_raggedvoice
    ⚠️Mwanaume anapopata Pesa anawaza kumtunza mke wake na watoto wake na Familia kwa ujumla lakini Mwanamke anapopata Pesa anahisi hakuna umuhimu wa kuwa na Mwanaume✍️📌 NB: Hii ni kwa Wanaume na ustawi wa kipato chako kamwe usidate na Mwanamke ambaye anakuzidi Matatizo🙏 #_raggedvoice
    Like
    Love
    5
    · 4 Kommentare ·0 Anteile ·942 Ansichten
  • Mtu pekee anayekuombea mema katika hatua zako ni Mama na Baba yako tu,hao wengine hawana msimamo na sala zao juu yako
    Ukifa unadhani nani atakaa kwenye Kaburi lako kwa muda mrefu...

    NB:
    Hivi ukifanya mapenzi na Mwanamke mmesimama bado itahesabika kuwa ulilala nae..?
    #_raggedvoice
    ⚠️Mtu pekee anayekuombea mema katika hatua zako ni Mama na Baba yako tu,hao wengine hawana msimamo na sala zao juu yako📌 Ukifa unadhani nani atakaa kwenye Kaburi lako kwa muda mrefu...✍️ NB: Hivi ukifanya mapenzi na Mwanamke mmesimama bado itahesabika kuwa ulilala nae..🤔? #_raggedvoice
    Like
    Love
    3
    · 5 Kommentare ·0 Anteile ·960 Ansichten
  • Tafuta kwanza furaha shida huwa zinakuja zenyewe tu

    NB:
    Kufumba macho sio kulala na kufumbua macho sio kuamka
    #_SautiChakavu
    ⚠️Tafuta kwanza furaha shida huwa zinakuja zenyewe tu✍️📌 NB: Kufumba macho sio kulala na kufumbua macho sio kuamka #_SautiChakavu
    Like
    Love
    3
    · 5 Kommentare ·0 Anteile ·722 Ansichten
  • Like
    Love
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·380 Ansichten
Mehr Artikel