• Mood
    Mood
    Love
    2
    0 Comments 1 Shares 878 Views 85
  • Watu wenye kutoa sana misaada ni wale ambao walikuwa hawana kitu, Wanapenda sana kutoa kwa sababu wanayajua maumivu anayopitia yule aliyekosa kitu
    Watu wenye kutoa sana misaada ni wale ambao walikuwa hawana kitu, Wanapenda sana kutoa kwa sababu wanayajua maumivu anayopitia yule aliyekosa kitu
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 81 Views
  • Ukinunua line unalipa mtandao unakatwa ushuru. Ukinunua vocha unakatwa, ukituma hela unakatwa, ukitoa hela unakatwa, ukinunua umeme unakatwa ya umeme na nyingine, tozo unakatwa….. unakatwa unakatwa unakatwa “UNAKATWA”.
    Ukinunua line unalipa mtandao unakatwa ushuru. Ukinunua vocha unakatwa, ukituma hela unakatwa, ukitoa hela unakatwa, ukinunua umeme unakatwa ya umeme na nyingine, tozo unakatwa….. unakatwa unakatwa unakatwa “UNAKATWA”.
    Like
    Angry
    Love
    5
    3 Comments 0 Shares 149 Views
  • Ukweli ni kwamba kuna watu watakuja maishani mwako kukupa furaha ya muda tu Halafu wataondoka.
    Ukweli ni kwamba kuna watu watakuja maishani mwako kukupa furaha ya muda tu Halafu wataondoka.
    Like
    Love
    Yay
    8
    112 Comments 0 Shares 441 Views
  • Hisia za mwanadamu ni laini sana. Inafikia hatua siku yake yote inaweza kuharibika kwa sababu tu ya kupewa neno lenye kuumiza, au kufokewa, au hata kuangaliwa kwa jicho baya.
    Hisia za mwanadamu ni laini sana. Inafikia hatua siku yake yote inaweza kuharibika kwa sababu tu ya kupewa neno lenye kuumiza, au kufokewa, au hata kuangaliwa kwa jicho baya.
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 71 Views
  • Ni wimbo ipi yangu imeshika mtaa yenu

    #Zuchu #diamondplatnumz
    #still
    Ni wimbo ipi yangu imeshika mtaa yenu 🥰 🥰 #Zuchu #diamondplatnumz #still
    Like
    Love
    13
    7 Comments 0 Shares 3K Views
  • Hata kama haukushinda vita yako, inatosha kwamba wewe umemjua adui yako.
    Hata kama haukushinda vita yako, inatosha kwamba wewe umemjua adui yako.
    Love
    2
    1 Comments 0 Shares 81 Views
  • MWAMBA WAO ANAREJEA RASMI MSIMU UJAO SIMBA Nyota wa klabu ya Simba Aubin Kramo amethibitisha kurejea Uwanjani na kuitumikia klabu yake hiyo msimu ujao wa 2024\2025, hii ni baada ya msimu uliopita wote kuwa nje ya uwanja kwa sababu ya majeraha yaliyokuwa yakimsumbua. "Nimejiandaa vizuri kwaajili ya msimu ujao kwahiyo wana Simba watarajie mazuri kutoka kwangu, nimekuja Simba nikitarajia ushindani mkubwa ila nitapambana ili tuwe mabingwa msimu ujao" Kramo Nyota huyo wa kimataifa wa Ivory Coast alisajiliwa na Simba akitokea timu ya Asec Mimosas ya nchini kwao, ambapo katika msimu wa mwaka 2022\23 alicheza michezo mitano na kufunga mabao sita.
    MWAMBA WAO ANAREJEA RASMI MSIMU UJAO SIMBA Nyota wa klabu ya Simba Aubin Kramo amethibitisha kurejea Uwanjani na kuitumikia klabu yake hiyo msimu ujao wa 2024\2025, hii ni baada ya msimu uliopita wote kuwa nje ya uwanja kwa sababu ya majeraha yaliyokuwa yakimsumbua. "Nimejiandaa vizuri kwaajili ya msimu ujao kwahiyo wana Simba watarajie mazuri kutoka kwangu, nimekuja Simba nikitarajia ushindani mkubwa ila nitapambana ili tuwe mabingwa msimu ujao" Kramo Nyota huyo wa kimataifa wa Ivory Coast alisajiliwa na Simba akitokea timu ya Asec Mimosas ya nchini kwao, ambapo katika msimu wa mwaka 2022\23 alicheza michezo mitano na kufunga mabao sita.
    Love
    Like
    3
    2 Comments 0 Shares 551 Views
  • Love
    1
    1 Comments 0 Shares 224 Views
  • Love
    1
    1 Comments 0 Shares 244 Views