• Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·297 Visualizações
  • KUTOKA KWA RAISI WA TP MAZEMBE ..

    "Hatutakubali Yanga itufunge mara mbili kwani mara ya mwisho walitufunga hapa.Japo ni mpira wa miguu, lakini ushindi wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika lazima uwe dhidi ya Yanga."

    Moise Katumbi, Rais wa klabu ya TP Mazembe
    #socialpop
    David Atto
    🚨 KUTOKA KWA RAISI WA TP MAZEMBE 🇨🇩.. "Hatutakubali Yanga itufunge mara mbili kwani mara ya mwisho walitufunga hapa.Japo ni mpira wa miguu, lakini ushindi wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika lazima uwe dhidi ya Yanga." 🎙️Moise Katumbi, Rais wa klabu ya TP Mazembe #socialpop [Mefa]
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·502 Visualizações
  • Katika Kombe la Dunia la 1970, Mexico Anamfunga Ubelgiji na Kusonga Mbele Makundi. Akiwa Amelewa kwa Furaha Mlinzi wa Gereza la Chilpancing Mexico Akiwa na Bastola Akajikuta Anafungua Mageti na Kuwaachilia Wafungwa 142 Bila Kutarajia. Alisamehewa Kwakua Alikuwa Anashangilia Nchi Yake.

    Visit David Atto
    #socialpop
    Katika Kombe la Dunia la 1970, Mexico Anamfunga Ubelgiji na Kusonga Mbele Makundi. Akiwa Amelewa kwa Furaha Mlinzi wa Gereza la Chilpancing Mexico Akiwa na Bastola Akajikuta Anafungua Mageti na Kuwaachilia Wafungwa 142 Bila Kutarajia. Alisamehewa Kwakua Alikuwa Anashangilia Nchi Yake. Visit [Mefa] #socialpop
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·504 Visualizações
  • 𝗠𝗔𝗧𝗨𝗞𝗜𝗢 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗡𝗢 (5) 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗦𝗨𝗣𝗘𝗥 𝗠𝗔𝗥𝗜𝗢 𝗕𝗔𝗟𝗢𝗧𝗘𝗟𝗟𝗜

    haya ni matukio matano yaliyowafanya watu wamwone Mario ni kichaa

    Kwanza, akiwa na umri wa miaka 15 alienda kufanya majaribi katika klabunya Barcelona na alifuzu majaribio, shida ilikuja kwenye malipo, Super Balotelli alikuwa akihitaji malipo makubwa yaliyowashanganza Barcelona wakamwacha aende na akarudi kwao Italia.

    Pili, Balotelli alishawahi kuchoma nyumba anayoishi kisha akaenda kumwomba rafiki ya Richard waishi wote kwake, lakini Richard aligoma. Hata ungekuwa wewe ungekubali?

    Tatu, Wakati fulani Jose Morinho alikuwa kuwa akimsubiri Balotelli ili azungumze naye alipompigia simu Balotelli akamjibu nipo kuangalia mashindano ya FORMULA ONE ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka lakini wewe kila siku naiona sura yako.

    Nne, wakati akiwa anacheza Inter Milan wakiwa mazoezi alipewa jezi ya Ac Milan alivaa na akaingia mazoezi, wakati mazoezi yanaendelea alimfanyia rafu mchezaji mwenzake, kocha akamwambia aondoke lakini akagoma na mwisho mazoezi yenyewe yakaahirishwa.

    tano, Ni story za Manchini na Balotelli, kama kuna kitu watengeneza filamu wanafeli basi ni kutengeneza filamu ya Balotelli na mzee wake Manchini. Manchini alipofika Manchester City alimkataa kabisa Balotelli kwasababu ya tabia za ujuaji pia alikuwa hachukulii serious mechi za kirafiki.
    𝗠𝗔𝗧𝗨𝗞𝗜𝗢 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗡𝗢 (5) 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗨𝗛𝗨𝗦𝗨 𝗦𝗨𝗣𝗘𝗥 𝗠𝗔𝗥𝗜𝗢 𝗕𝗔𝗟𝗢𝗧𝗘𝗟𝗟𝗜 haya ni matukio matano yaliyowafanya watu wamwone Mario ni kichaa Kwanza, akiwa na umri wa miaka 15 alienda kufanya majaribi katika klabunya Barcelona na alifuzu majaribio, shida ilikuja kwenye malipo, Super Balotelli alikuwa akihitaji malipo makubwa yaliyowashanganza Barcelona wakamwacha aende na akarudi kwao Italia. Pili, Balotelli alishawahi kuchoma nyumba anayoishi kisha akaenda kumwomba rafiki ya Richard waishi wote kwake, lakini Richard aligoma. Hata ungekuwa wewe ungekubali? Tatu, Wakati fulani Jose Morinho alikuwa kuwa akimsubiri Balotelli ili azungumze naye alipompigia simu Balotelli akamjibu nipo kuangalia mashindano ya FORMULA ONE ambayo hufanyika mara moja kwa mwaka lakini wewe kila siku naiona sura yako. Nne, wakati akiwa anacheza Inter Milan wakiwa mazoezi alipewa jezi ya Ac Milan alivaa na akaingia mazoezi, wakati mazoezi yanaendelea alimfanyia rafu mchezaji mwenzake, kocha akamwambia aondoke lakini akagoma na mwisho mazoezi yenyewe yakaahirishwa. tano, Ni story za Manchini na Balotelli, kama kuna kitu watengeneza filamu wanafeli basi ni kutengeneza filamu ya Balotelli na mzee wake Manchini. Manchini alipofika Manchester City alimkataa kabisa Balotelli kwasababu ya tabia za ujuaji pia alikuwa hachukulii serious mechi za kirafiki.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • Unaweza kumdanganya mwanamke akajua na bado akakusamehe, sio ujinga ni upendo.

    Mwanaume anaweza kutatua shida yako ilihali ana hali mbaya, sio msaada ni mapenzi.

    Kuna atakayejua huna la kumsaidia na bado hatokutenga, sio unafiki ni ubinadamu.

    Kuna atakayekupa nusu ya alichobakiwa nacho, sio utajiri ni moyo.

    Kuna atakayekufariji ilihali hata yeye anapitia maumivu, sio faraja ni utu.

    Kuna utakayemkosea na atakuomba yeye msamaha, sio ujinga ni ukomavu.

    Kuna atakayekesha kwaajili ya wengine walale, sio utumwa ni uthubutu.

    Upendo umefanya watu wengi sana wenye majeraha ya moyo, watabasamu mbele yetu ili kutibu huzuni zetu.

    Ni maisha.
    Unaweza kumdanganya mwanamke akajua na bado akakusamehe, sio ujinga ni upendo. Mwanaume anaweza kutatua shida yako ilihali ana hali mbaya, sio msaada ni mapenzi. Kuna atakayejua huna la kumsaidia na bado hatokutenga, sio unafiki ni ubinadamu. Kuna atakayekupa nusu ya alichobakiwa nacho, sio utajiri ni moyo. Kuna atakayekufariji ilihali hata yeye anapitia maumivu, sio faraja ni utu. Kuna utakayemkosea na atakuomba yeye msamaha, sio ujinga ni ukomavu. Kuna atakayekesha kwaajili ya wengine walale, sio utumwa ni uthubutu. Upendo umefanya watu wengi sana wenye majeraha ya moyo, watabasamu mbele yetu ili kutibu huzuni zetu. Ni maisha.
    Like
    Love
    3
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·578 Visualizações
  • Klabu ya Real Madrid C.F. imepanga kuingilia kati dili la kumsajili wao mchezaji wa klabu ya Sunderland Jobe Bellingham.

    Lakini ugumu unakuja kuwa klabu ya Borussia Dortmund ilishamaliza mazungumzo kamili na wazazi wa kijana huyo na Jobe mwenyewe ameonesha kuvutiwa na Borussia Dortmund kuliko Real Madrid.

    FOLLOW ME @david davoo
    🚨 Klabu ya Real Madrid C.F. imepanga kuingilia kati dili la kumsajili wao mchezaji wa klabu ya Sunderland Jobe Bellingham. Lakini ugumu unakuja kuwa klabu ya Borussia Dortmund ilishamaliza mazungumzo kamili na wazazi wa kijana huyo na Jobe mwenyewe ameonesha kuvutiwa na Borussia Dortmund kuliko Real Madrid. FOLLOW ME @david davoo
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·484 Visualizações
  • Ivi ipo sawa hii ???
    Ivi ipo sawa hii ???🙄🙄🙄
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·329 Visualizações
  • “Tunamshukuru Mungu tumefika Salama, tupo hapa Lubumbashi kwaajili ya kupambana, ni kweli hatujashinda mechi zetu za Mwanzo lakini haimaanishi tukae vichwa chini, huu ni muda wa kurudi juu na kuwapa furaha wananchi, tunatambua Ukubwa wa Mazembe lakini tutapambana kwaajili ya kushinda kesho” @maxinzengeli

    #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko

    “Tunamshukuru Mungu tumefika Salama, tupo hapa Lubumbashi kwaajili ya kupambana, ni kweli hatujashinda mechi zetu za Mwanzo lakini haimaanishi tukae vichwa chini, huu ni muda wa kurudi juu na kuwapa furaha wananchi, tunatambua Ukubwa wa Mazembe lakini tutapambana kwaajili ya kushinda kesho” @maxinzengeli #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·577 Visualizações
  • “Ni jambo kubwa sana ambalo Mashabiki wa Yanga wamelifanya, kusafiri kwa Bus kutoka Dar Es Salaam mpaka hapa Lubumbashi siyo rahisi, ni faraja kwetu na inatupa Motisha ya kuwa tuna watu wanaotupa moyo na kutufanya tusiyumbe, kwakweli nachoweza kusema ni kwamba tupo hapa kwaajili ya kuwapa furaha, timu nzima inatambua umuhimu wa mashabiki wetu, panapo majaaliwa kesho tutapambana kuhakikisha tunawafurahisha Wananchi” @seadramovic79
    “Ni jambo kubwa sana ambalo Mashabiki wa Yanga wamelifanya, kusafiri kwa Bus kutoka Dar Es Salaam mpaka hapa Lubumbashi siyo rahisi, ni faraja kwetu na inatupa Motisha ya kuwa tuna watu wanaotupa moyo na kutufanya tusiyumbe, kwakweli nachoweza kusema ni kwamba tupo hapa kwaajili ya kuwapa furaha, timu nzima inatambua umuhimu wa mashabiki wetu, panapo majaaliwa kesho tutapambana kuhakikisha tunawafurahisha Wananchi” @seadramovic79
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·286 Visualizações
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Malengo yetu ni kuonyesha uwezo wetu na kufanya vizuri kesho, Haijalishi wapinzani wetu wakoje, sisi tunafahamu TP Mazembe ni timu kubwa na ina Wachezaji wazuri hivyo kesho tutashuhudia mechi nzuri sana, nafahamu kuwa mchezo wa mwisho hapa Congo Young Africans ilishinda lakini hatuwezi kuzungumzia yaliyopita, tunautazama mchezo wa kesho kama mchezo mpya na tupo tayari kwa Changamoto hii" Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Malengo yetu ni kuonyesha uwezo wetu na kufanya vizuri kesho, Haijalishi wapinzani wetu wakoje, sisi tunafahamu TP Mazembe ni timu kubwa na ina Wachezaji wazuri hivyo kesho tutashuhudia mechi nzuri sana, nafahamu kuwa mchezo wa mwisho hapa Congo Young Africans ilishinda lakini hatuwezi kuzungumzia yaliyopita, tunautazama mchezo wa kesho kama mchezo mpya na tupo tayari kwa Changamoto hii" Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 2 Comentários ·0 Compartilhamentos ·529 Visualizações