نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Paul Swai @paulswai أضاف صورة
    2024-12-17 10:38:26 ·
    Awesu Awesu.

    #paulswai
    🎙️ Awesu Awesu. #paulswai
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·167 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 10:52:59 ·
    Hapa ni kabla hajalogwa


    #paulswai
    Hapa ni kabla hajalogwa #paulswai
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·315 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 10:54:46 ·

    Kesho tunarudi ligi kuu NBCPREMIERLEAGUE

    #paulswai
    Kesho tunarudi ligi kuu NBCPREMIERLEAGUE #paulswai
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 10:57:33 ·

    FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC.

    #paulswai
    FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC. #paulswai
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·603 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 10:58:56 ·

    AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC.

    #paulswai
    AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC. #paulswai
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·636 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 11:10:47 ·

    Furaha iendelee wanasimba

    #paulswai
    Furaha iendelee wanasimba 🎺🎺 #paulswai
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·414 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 11:25:42 ·

    TAARIFA KWA UMMA

    #paulswai
    TAARIFA KWA UMMA #paulswai
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·386 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai @paulswai أضاف عرض جديد
    2024-12-17 11:44:48 ·

    Hawa Sfaxien walichokifanya kwa Mwamuzi

    #paulswai
    Hawa Sfaxien walichokifanya kwa Mwamuzi 🙌🙌 #paulswai
    Like
    1
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·379 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Shamcy Karata @Karatajnr97 أضاف صورة
    2024-12-17 12:01:00 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·327 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-17 14:42:08 ·
    Majibu ya Privaldinho.

    Mata nyingi tunapokosoa hawa waandishi na wachambuzi unaweza kuhisi tunawachukia. Lakini hapana. Ukweli ni kwamba tasnia ya habari za michezo imenajisiwa sana.

    Mfano hii post inatumika sana na madunduka. Sijawahi kuwajibu maana najua wanajifurahisha. Kwa sababu Rage aliwahi kusema hawa ni mambumbumbu hivyo sina sababy ya kuwajibu

    Ila kwa amepost mchambuzi lazima nimkumbushe wajibu wake.

    Wenzako wengi wanalipiwa kodi na mambo mengine.
    Wameshauza akili wanatumia tumbo kufanya kazi ilimradi kuhakikisha taarifa mbaya za Yanga zinasambaa kwa kasi.

    Wewe ni bendera fuata upepo kwa sababu taarifa nzuri ni kuigusa Yanga kwenye eneo hasi. Unapoteza mwelekeo kama ambavyo wenzio wanazidi kuhaha.

    Unapokuwa mwandishi, huwezi kupost kila takataka ya mitandaoni. Unaonesha ni kwa jinsi gani hufany utafiti unaokota okota.

    Hiyo post sio Yangu, huo ukurasa umeandika privadinhoo ambao sio wangu. Ukurasa wangu uko verified kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Kwa akili zako timamu unadhani nilipokuwa mchambuzi nilikuwa punguani? NEVER.

    Nilifanya kazi kwa weledi mkubwa licha ya uwepo wa dosari za hapa na pale. Niliwasifia na niliwakosoa. Wakati Haji anaongea kuhusu mimi kwenye Press hukuwa umekuja mjini?

    Wakati Magori ananipiga spana kuwa nawachafua Simba kwenye ishu za Mabadiliko na Ishu ya Mkude ulikuwa Simiyu au Ushirombo?

    Sijawahi kushabikia hiyo timu brother, hata waliopo ndani ya uongozi wa Makolo wanajua sijawahi kuwa sehemu yao ndio maana safari ya Afrika Kusini wanakufa 4 walikataa nisisafiri ni timu kisa mimi ni Yanga.

    Makolo walikuwa wabovu, kichaka chao ni kusema mimi ni kolo ikiwa wanajua fika nilivaa jezi mbalimbali. Sikuwahi kupoteza muda kujibu huo UPUMBAVU kwa sababu nilijua wanajifariji.

    Mwisho ukiwa na post ujiridhishe na unachopost acha kuokota okota matakataka mitandaoni ambayo yanakudhalilisha.

    Shalom

    Majibu ya Privaldinho. Mata nyingi tunapokosoa hawa waandishi na wachambuzi unaweza kuhisi tunawachukia. Lakini hapana. Ukweli ni kwamba tasnia ya habari za michezo imenajisiwa sana. Mfano hii post inatumika sana na madunduka. Sijawahi kuwajibu maana najua wanajifurahisha. Kwa sababu Rage aliwahi kusema hawa ni mambumbumbu hivyo sina sababy ya kuwajibu Ila kwa amepost mchambuzi lazima nimkumbushe wajibu wake. Wenzako wengi wanalipiwa kodi na mambo mengine. Wameshauza akili wanatumia tumbo kufanya kazi ilimradi kuhakikisha taarifa mbaya za Yanga zinasambaa kwa kasi. Wewe ni bendera fuata upepo kwa sababu taarifa nzuri ni kuigusa Yanga kwenye eneo hasi. Unapoteza mwelekeo kama ambavyo wenzio wanazidi kuhaha. Unapokuwa mwandishi, huwezi kupost kila takataka ya mitandaoni. Unaonesha ni kwa jinsi gani hufany utafiti unaokota okota. Hiyo post sio Yangu, huo ukurasa umeandika privadinhoo ambao sio wangu. Ukurasa wangu uko verified kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Kwa akili zako timamu unadhani nilipokuwa mchambuzi nilikuwa punguani? NEVER. Nilifanya kazi kwa weledi mkubwa licha ya uwepo wa dosari za hapa na pale. Niliwasifia na niliwakosoa. Wakati Haji anaongea kuhusu mimi kwenye Press hukuwa umekuja mjini? Wakati Magori ananipiga spana kuwa nawachafua Simba kwenye ishu za Mabadiliko na Ishu ya Mkude ulikuwa Simiyu au Ushirombo? Sijawahi kushabikia hiyo timu brother, hata waliopo ndani ya uongozi wa Makolo wanajua sijawahi kuwa sehemu yao ndio maana safari ya Afrika Kusini wanakufa 4 walikataa nisisafiri ni timu kisa mimi ni Yanga. Makolo walikuwa wabovu, kichaka chao ni kusema mimi ni kolo ikiwa wanajua fika nilivaa jezi mbalimbali. Sikuwahi kupoteza muda kujibu huo UPUMBAVU kwa sababu nilijua wanajifariji. Mwisho ukiwa na post ujiridhishe na unachopost acha kuokota okota matakataka mitandaoni ambayo yanakudhalilisha. Shalom
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·850 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (19651-19660 من 25730)
  • «
  • السابق
  • 1964
  • 1965
  • 1966
  • 1967
  • 1968
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين