Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-17 10:38:26 ·
    Awesu Awesu.

    #paulswai
    🎙️ Awesu Awesu. #paulswai
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·167 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 10:52:59 ·
    Hapa ni kabla hajalogwa


    #paulswai
    Hapa ni kabla hajalogwa #paulswai
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·315 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 10:54:46 ·

    Kesho tunarudi ligi kuu NBCPREMIERLEAGUE

    #paulswai
    Kesho tunarudi ligi kuu NBCPREMIERLEAGUE #paulswai
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 10:57:33 ·

    FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC.

    #paulswai
    FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC. #paulswai
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·603 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 10:58:56 ·

    AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC.

    #paulswai
    AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·636 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 11:10:47 ·

    Furaha iendelee wanasimba

    #paulswai
    Furaha iendelee wanasimba 🎺🎺 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·414 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 11:25:42 ·

    TAARIFA KWA UMMA

    #paulswai
    TAARIFA KWA UMMA #paulswai
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·386 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-12-17 11:44:48 ·

    Hawa Sfaxien walichokifanya kwa Mwamuzi

    #paulswai
    Hawa Sfaxien walichokifanya kwa Mwamuzi 🙌🙌 #paulswai
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·379 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Shamcy Karata @Karatajnr97 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-17 12:01:00 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·327 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-12-17 14:42:08 ·
    Majibu ya Privaldinho.

    Mata nyingi tunapokosoa hawa waandishi na wachambuzi unaweza kuhisi tunawachukia. Lakini hapana. Ukweli ni kwamba tasnia ya habari za michezo imenajisiwa sana.

    Mfano hii post inatumika sana na madunduka. Sijawahi kuwajibu maana najua wanajifurahisha. Kwa sababu Rage aliwahi kusema hawa ni mambumbumbu hivyo sina sababy ya kuwajibu

    Ila kwa amepost mchambuzi lazima nimkumbushe wajibu wake.

    Wenzako wengi wanalipiwa kodi na mambo mengine.
    Wameshauza akili wanatumia tumbo kufanya kazi ilimradi kuhakikisha taarifa mbaya za Yanga zinasambaa kwa kasi.

    Wewe ni bendera fuata upepo kwa sababu taarifa nzuri ni kuigusa Yanga kwenye eneo hasi. Unapoteza mwelekeo kama ambavyo wenzio wanazidi kuhaha.

    Unapokuwa mwandishi, huwezi kupost kila takataka ya mitandaoni. Unaonesha ni kwa jinsi gani hufany utafiti unaokota okota.

    Hiyo post sio Yangu, huo ukurasa umeandika privadinhoo ambao sio wangu. Ukurasa wangu uko verified kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Kwa akili zako timamu unadhani nilipokuwa mchambuzi nilikuwa punguani? NEVER.

    Nilifanya kazi kwa weledi mkubwa licha ya uwepo wa dosari za hapa na pale. Niliwasifia na niliwakosoa. Wakati Haji anaongea kuhusu mimi kwenye Press hukuwa umekuja mjini?

    Wakati Magori ananipiga spana kuwa nawachafua Simba kwenye ishu za Mabadiliko na Ishu ya Mkude ulikuwa Simiyu au Ushirombo?

    Sijawahi kushabikia hiyo timu brother, hata waliopo ndani ya uongozi wa Makolo wanajua sijawahi kuwa sehemu yao ndio maana safari ya Afrika Kusini wanakufa 4 walikataa nisisafiri ni timu kisa mimi ni Yanga.

    Makolo walikuwa wabovu, kichaka chao ni kusema mimi ni kolo ikiwa wanajua fika nilivaa jezi mbalimbali. Sikuwahi kupoteza muda kujibu huo UPUMBAVU kwa sababu nilijua wanajifariji.

    Mwisho ukiwa na post ujiridhishe na unachopost acha kuokota okota matakataka mitandaoni ambayo yanakudhalilisha.

    Shalom

    Majibu ya Privaldinho. Mata nyingi tunapokosoa hawa waandishi na wachambuzi unaweza kuhisi tunawachukia. Lakini hapana. Ukweli ni kwamba tasnia ya habari za michezo imenajisiwa sana. Mfano hii post inatumika sana na madunduka. Sijawahi kuwajibu maana najua wanajifurahisha. Kwa sababu Rage aliwahi kusema hawa ni mambumbumbu hivyo sina sababy ya kuwajibu Ila kwa amepost mchambuzi lazima nimkumbushe wajibu wake. Wenzako wengi wanalipiwa kodi na mambo mengine. Wameshauza akili wanatumia tumbo kufanya kazi ilimradi kuhakikisha taarifa mbaya za Yanga zinasambaa kwa kasi. Wewe ni bendera fuata upepo kwa sababu taarifa nzuri ni kuigusa Yanga kwenye eneo hasi. Unapoteza mwelekeo kama ambavyo wenzio wanazidi kuhaha. Unapokuwa mwandishi, huwezi kupost kila takataka ya mitandaoni. Unaonesha ni kwa jinsi gani hufany utafiti unaokota okota. Hiyo post sio Yangu, huo ukurasa umeandika privadinhoo ambao sio wangu. Ukurasa wangu uko verified kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Kwa akili zako timamu unadhani nilipokuwa mchambuzi nilikuwa punguani? NEVER. Nilifanya kazi kwa weledi mkubwa licha ya uwepo wa dosari za hapa na pale. Niliwasifia na niliwakosoa. Wakati Haji anaongea kuhusu mimi kwenye Press hukuwa umekuja mjini? Wakati Magori ananipiga spana kuwa nawachafua Simba kwenye ishu za Mabadiliko na Ishu ya Mkude ulikuwa Simiyu au Ushirombo? Sijawahi kushabikia hiyo timu brother, hata waliopo ndani ya uongozi wa Makolo wanajua sijawahi kuwa sehemu yao ndio maana safari ya Afrika Kusini wanakufa 4 walikataa nisisafiri ni timu kisa mimi ni Yanga. Makolo walikuwa wabovu, kichaka chao ni kusema mimi ni kolo ikiwa wanajua fika nilivaa jezi mbalimbali. Sikuwahi kupoteza muda kujibu huo UPUMBAVU kwa sababu nilijua wanajifariji. Mwisho ukiwa na post ujiridhishe na unachopost acha kuokota okota matakataka mitandaoni ambayo yanakudhalilisha. Shalom
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·850 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (19651-19660 από 25730)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 1964
  • 1965
  • 1966
  • 1967
  • 1968
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers