• Adm akamatwe kwanza, apishe uchunguzi
    Adm akamatwe kwanza, apishe uchunguzi 😂
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·120 Views
  • Maneno ya Dube baada ya kufunga hat-trick
    Maneno ya Dube baada ya kufunga hat-trick ⚽⚽⚽
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·177 Views ·6
  • Like
    2
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·142 Views ·18
  • Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·145 Views
  • MSIKILIZE KIBWANA
    MSIKILIZE KIBWANA
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·434 Views
  • HESHIMA KWAKE KIBWANA. UTADHANI HAKUWA NJE YA GAME KWA MUDA MREFU
    HESHIMA KWAKE KIBWANA. UTADHANI HAKUWA NJE YA GAME KWA MUDA MREFU
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·452 Views
  • HAT TRICK YA KWANZA LIGI KUU MSIMU HUU NA TANGU UWANJA WA KMC UANZE
    HAT TRICK YA KWANZA LIGI KUU MSIMU HUU NA TANGU UWANJA WA KMC UANZE
    Like
    Love
    Yay
    4
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·177 Views
  • Haha
    Love
    4
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·180 Views
  • TANGAZO TANGAZO.

    Kwa wale *mnaokuja* kula *christmas vijijini* zingatia yafuatayo:

    1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia.

    2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako.

    3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe.

    4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga.

    5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas.

    6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo.

    7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa.

    8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza.

    9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu.

    10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi.

    11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu.

    12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti.

    Ahsanteni na karibuni sana
    🇹🇿TANGAZO TANGAZO.🇹🇿 Kwa wale *mnaokuja* kula *christmas vijijini* zingatia yafuatayo: 1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia. 2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako. 3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe. 4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga. 5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas. 6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo. 7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa. 8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza. 9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu. 10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi. 11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu. 12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti. Ahsanteni na karibuni sana 🙏🙏😂
    Haha
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·846 Views
  • Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube
    #timuyawananchi
    #yangasc
    #daimambelenyumamwiko
    Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube 😂😀💪 #timuyawananchi #yangasc #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·916 Views