Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-19 18:18:01 ·
    Adm akamatwe kwanza, apishe uchunguzi
    Adm akamatwe kwanza, apishe uchunguzi 😂
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·120 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat un videoclip in General
    2024-12-19 20:05:16 ·
    Maneno ya Dube baada ya kufunga hat-trick
    Maneno ya Dube baada ya kufunga hat-trick ⚽⚽⚽
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·177 Views ·6
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat un videoclip in General
    2024-12-19 20:06:16 ·
    Like
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·142 Views ·18
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2024-12-19 20:11:43 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·145 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat o fotografie
    2024-12-19 20:26:55 ·
    MSIKILIZE KIBWANA
    MSIKILIZE KIBWANA
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·434 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat o fotografie
    2024-12-19 20:28:26 ·
    HESHIMA KWAKE KIBWANA. UTADHANI HAKUWA NJE YA GAME KWA MUDA MREFU
    HESHIMA KWAKE KIBWANA. UTADHANI HAKUWA NJE YA GAME KWA MUDA MREFU
    Like
    Love
    3
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·452 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat o fotografie
    2024-12-19 20:29:34 ·
    HAT TRICK YA KWANZA LIGI KUU MSIMU HUU NA TANGU UWANJA WA KMC UANZE
    HAT TRICK YA KWANZA LIGI KUU MSIMU HUU NA TANGU UWANJA WA KMC UANZE
    Like
    Love
    Yay
    4
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·177 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto @Mefa a adăugat o fotografie
    2024-12-19 20:30:07 ·
    Haha
    Love
    4
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·180 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2024-12-20 07:16:44 ·
    TANGAZO TANGAZO.

    Kwa wale *mnaokuja* kula *christmas vijijini* zingatia yafuatayo:

    1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia.

    2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako.

    3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe.

    4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga.

    5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas.

    6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo.

    7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa.

    8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza.

    9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu.

    10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi.

    11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu.

    12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti.

    Ahsanteni na karibuni sana
    🇹🇿TANGAZO TANGAZO.🇹🇿 Kwa wale *mnaokuja* kula *christmas vijijini* zingatia yafuatayo: 1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia. 2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako. 3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe. 4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga. 5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas. 6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo. 7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa. 8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza. 9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu. 10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi. 11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu. 12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti. Ahsanteni na karibuni sana 🙏🙏😂
    Haha
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·846 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2024-12-20 07:24:09 ·
    Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube
    #timuyawananchi
    #yangasc
    #daimambelenyumamwiko
    Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube 😂😀💪 #timuyawananchi #yangasc #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·916 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (19761-19770 de 28397)
  • «
  • Anterior
  • 1975
  • 1976
  • 1977
  • 1978
  • 1979
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers