
-
-
Haji Manara aomba radhi kwa Jeshi la Polisi la Magereza baada ya Haji kumfokea na kumkejeli (na kumdharau) mmoja wa Askari wake baada ya mchezo wa klabu ya Yanga SC dhidi ya klabu ya Tanzania Prisons. Haji Manara alitaka kufanya mahojiano na Waandishi wa habari lakini Askari huyo wa Magereza akamtata Haji Manara asifanye mahojiano hayo sehemu ambayo alitaka kufanya kwa sababu ilikuwa sio mahali sahihi kwa ajili ya kufanya mahojiano.
Mara baada ya Askari huyo kumkata Haji Manara asifanye mahojiano eneo lile, Haji aligoma na kutoa maneno yasiofaa kwa Askari huyo huku akimvimbua na kumwambia kuwa yeye ni Askari Magereza tu, hawezi kumfanya chochote kile.
"Kwa heshma na Unyenyekevu mkubwa naomba nirudie tena kwa maandishi kuliomba radhi Jeshi la Magereza,Askari na Wote waliotharika na Sakata la Juzi,,,
Hakuna Maneno yanayotosha kuzidi neno samahani,ukizingatia hapo awali tulikuwa tunaongea maneno ya kishabiki,,,
Heshma yangu kwa Taasisi hii na nyingine za Dola haiwezi kuwa na mbadala wa kuomba sana Taaaisi hii muhimu Radhi kwa Viongozi wa Jeshi na Askari wake wote,,
Asanteni sana " - Haji Manara, Shabiki wa klabu ya Yanga SC.
Haji Manara aomba radhi kwa Jeshi la Polisi la Magereza baada ya Haji kumfokea na kumkejeli (na kumdharau) mmoja wa Askari wake baada ya mchezo wa klabu ya Yanga SC dhidi ya klabu ya Tanzania Prisons. Haji Manara alitaka kufanya mahojiano na Waandishi wa habari lakini Askari huyo wa Magereza akamtata Haji Manara asifanye mahojiano hayo sehemu ambayo alitaka kufanya kwa sababu ilikuwa sio mahali sahihi kwa ajili ya kufanya mahojiano. Mara baada ya Askari huyo kumkata Haji Manara asifanye mahojiano eneo lile, Haji aligoma na kutoa maneno yasiofaa kwa Askari huyo huku akimvimbua na kumwambia kuwa yeye ni Askari Magereza tu, hawezi kumfanya chochote kile. "Kwa heshma na Unyenyekevu mkubwa naomba nirudie tena kwa maandishi kuliomba radhi Jeshi la Magereza,Askari na Wote waliotharika na Sakata la Juzi,,, Hakuna Maneno yanayotosha kuzidi neno samahani,ukizingatia hapo awali tulikuwa tunaongea maneno ya kishabiki,,, Heshma yangu kwa Taasisi hii na nyingine za Dola haiwezi kuwa na mbadala wa kuomba sana Taaaisi hii muhimu Radhi kwa Viongozi wa Jeshi na Askari wake wote,, Asanteni sana 🙏🙏🙏" - Haji Manara, Shabiki wa klabu ya Yanga SC.0 Commentarios ·0 Acciones ·627 Views -
-
0 Commentarios ·0 Acciones ·128 Views
-
Simba SC ndiyo klabu iliyofunga mabao mengi ya penati katika Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa ambapo imefunga mabao sita (6) dhidi ya klabu zifuatazo:
- Coastal Union
- Dodoma Jiji Fc
- KMC FC
- Pamba Jiji
- Kengold Fc
- JKT Tanzania
Simba SC ndiyo klabu iliyofunga mabao mengi ya penati katika Ligi Kuu Tanzania Bara hadi sasa ambapo imefunga mabao sita (6) dhidi ya klabu zifuatazo: - Coastal Union - Dodoma Jiji Fc - KMC FC - Pamba Jiji - Kengold Fc - JKT Tanzania0 Commentarios ·0 Acciones ·596 Views -
0 Commentarios ·0 Acciones ·147 Views
-
Mtandao wa YouTube imeanza harakati ya kupambana na video ambazo zinatumia picha (cover) na kicha cha habari (tittle) ambacho hakiendani na uhalisia wa video (kwa jina la kitaalam zinaitwa 'clickbait').
YouTube imeanzisha sera hiyo mpya ya kuondoa video zenye vichwa vya habari au picha (thumbnail) za kudanganya ambazo haziendani na uhalisia wa video. Sera hii mpya inaanza kutekelezwa Nchini India kabla ya kusambaa Duniani kote katika miezi ijayo.
Hatua hii inalenga “clickbait” mbaya zaidi, hasa kwenye video zinazohusu habari za dharura, siasa au matukio ya sasa. Wazalishaji wa video (Creators) wengi wamekuwa wakitumia picha (cover) na vichwa cha habari (tittle) vya uongo ili kuvutia Watu kufungua video lakini video inakuwa haiendani na vile wanavyoviona kwenye picha au kichwa cha habari.
Kuanzia mwakani, YouTube itaanza kukagua "cover" na vichwa vya habari kwa kutumia mfumo mpya ambao utagundua "tittle" au "cover" ambazo haziendani na uhalisia wa video.
Mtandao wa YouTube imeanza harakati ya kupambana na video ambazo zinatumia picha (cover) na kicha cha habari (tittle) ambacho hakiendani na uhalisia wa video (kwa jina la kitaalam zinaitwa 'clickbait'). YouTube imeanzisha sera hiyo mpya ya kuondoa video zenye vichwa vya habari au picha (thumbnail) za kudanganya ambazo haziendani na uhalisia wa video. Sera hii mpya inaanza kutekelezwa Nchini India kabla ya kusambaa Duniani kote katika miezi ijayo. Hatua hii inalenga “clickbait” mbaya zaidi, hasa kwenye video zinazohusu habari za dharura, siasa au matukio ya sasa. Wazalishaji wa video (Creators) wengi wamekuwa wakitumia picha (cover) na vichwa cha habari (tittle) vya uongo ili kuvutia Watu kufungua video lakini video inakuwa haiendani na vile wanavyoviona kwenye picha au kichwa cha habari. Kuanzia mwakani, YouTube itaanza kukagua "cover" na vichwa vya habari kwa kutumia mfumo mpya ambao utagundua "tittle" au "cover" ambazo haziendani na uhalisia wa video.0 Commentarios ·0 Acciones ·643 Views -
-
TAARIFA KWA UMMA
Ukisalamiwa" MAMBO VIPI"
Wewe Jibu ..
"GUSA ACHIA TWENDE KWAO"
Credit Vego ze maestroTAARIFA KWA UMMA Ukisalamiwa" MAMBO VIPI" Wewe Jibu .. "GUSA ACHIA TWENDE KWAO" Credit Vego ze maestro -