• HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU

    1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU

    "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga".

    "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work".

    "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi".

    2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM

    "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba;

    "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana".

    3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA

    "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata".

    "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM"

    4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI

    "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba;

    "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki".

    "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki".

    5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO

    "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani".

    Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari".

    6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU

    "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo".

    "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale".

    Tundu A. Lissu,
    Mgombea Uenyekiti CHADEMA,
    Live Clubhouse Usiku.
    23 Desemba, 2024.
    HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU 1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga". "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work". "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi". 2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba; "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana". 3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata". "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM" 4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba; "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki". "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki". 5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani". Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari". 6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo". "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale". Tundu A. Lissu, Mgombea Uenyekiti CHADEMA, Live Clubhouse Usiku. 23 Desemba, 2024.
    Love
    Like
    5
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Love
    Like
    3
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·226 Visualizações ·60
  • Mbape wa kongo ni mmoja tu kwenye nchi hii ya fulaa na amani haikuwai kutokea dunian kote
    Mbape wa kongo ni mmoja tu kwenye nchi hii ya fulaa na amani haikuwai kutokea dunian kote 👑👏👏💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💚💛💚
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·663 Visualizações
  • Aheli ukosee kujenga nyumba unaweza ukaibomoa lakin usikosee kuoa maana ukikosea kuoa basi itakufanya uanze mwanzo kimaisha so akili kichwani mwako
    Aheli ukosee kujenga nyumba unaweza ukaibomoa lakin usikosee kuoa maana ukikosea kuoa basi itakufanya uanze mwanzo kimaisha so akili kichwani mwako 😀😀😀
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·356 Visualizações
  • Tapeli mwingine huyu mchezaji wa show game ndiyo maana alifeli Belgium timu inashinda magoli 5 hana mchango wa goli hata moja ndiyo hapo nilijua hamna kitu
    Tapeli mwingine huyu mchezaji wa show game ndiyo maana alifeli Belgium timu inashinda magoli 5 hana mchango wa goli hata moja ndiyo hapo nilijua hamna kitu
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·463 Visualizações
  • Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·308 Visualizações
  • KUMBE BILA REFA HAWASHINDI BHANA.
    🚨KUMBE BILA REFA HAWASHINDI BHANA.🤣😀
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·302 Visualizações
  • Haji Manara aomba radhi kwa Jeshi la Polisi la Magereza baada ya Haji kumfokea na kumkejeli (na kumdharau) mmoja wa Askari wake baada ya mchezo wa klabu ya Yanga SC dhidi ya klabu ya Tanzania Prisons. Haji Manara alitaka kufanya mahojiano na Waandishi wa habari lakini Askari huyo wa Magereza akamtata Haji Manara asifanye mahojiano hayo sehemu ambayo alitaka kufanya kwa sababu ilikuwa sio mahali sahihi kwa ajili ya kufanya mahojiano.

    Mara baada ya Askari huyo kumkata Haji Manara asifanye mahojiano eneo lile, Haji aligoma na kutoa maneno yasiofaa kwa Askari huyo huku akimvimbua na kumwambia kuwa yeye ni Askari Magereza tu, hawezi kumfanya chochote kile.

    "Kwa heshma na Unyenyekevu mkubwa naomba nirudie tena kwa maandishi kuliomba radhi Jeshi la Magereza,Askari na Wote waliotharika na Sakata la Juzi,,,
    Hakuna Maneno yanayotosha kuzidi neno samahani,ukizingatia hapo awali tulikuwa tunaongea maneno ya kishabiki,,,
    Heshma yangu kwa Taasisi hii na nyingine za Dola haiwezi kuwa na mbadala wa kuomba sana Taaaisi hii muhimu Radhi kwa Viongozi wa Jeshi na Askari wake wote,,

    Asanteni sana " - Haji Manara, Shabiki wa klabu ya Yanga SC.
    Haji Manara aomba radhi kwa Jeshi la Polisi la Magereza baada ya Haji kumfokea na kumkejeli (na kumdharau) mmoja wa Askari wake baada ya mchezo wa klabu ya Yanga SC dhidi ya klabu ya Tanzania Prisons. Haji Manara alitaka kufanya mahojiano na Waandishi wa habari lakini Askari huyo wa Magereza akamtata Haji Manara asifanye mahojiano hayo sehemu ambayo alitaka kufanya kwa sababu ilikuwa sio mahali sahihi kwa ajili ya kufanya mahojiano. Mara baada ya Askari huyo kumkata Haji Manara asifanye mahojiano eneo lile, Haji aligoma na kutoa maneno yasiofaa kwa Askari huyo huku akimvimbua na kumwambia kuwa yeye ni Askari Magereza tu, hawezi kumfanya chochote kile. "Kwa heshma na Unyenyekevu mkubwa naomba nirudie tena kwa maandishi kuliomba radhi Jeshi la Magereza,Askari na Wote waliotharika na Sakata la Juzi,,, Hakuna Maneno yanayotosha kuzidi neno samahani,ukizingatia hapo awali tulikuwa tunaongea maneno ya kishabiki,,, Heshma yangu kwa Taasisi hii na nyingine za Dola haiwezi kuwa na mbadala wa kuomba sana Taaaisi hii muhimu Radhi kwa Viongozi wa Jeshi na Askari wake wote,, Asanteni sana 🙏🙏🙏" - Haji Manara, Shabiki wa klabu ya Yanga SC.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·522 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·115 Visualizações
  • Kumbe mtambo "ulitestiwa" kabla ya mchezo, sikuiona jamani
    Kumbe mtambo "ulitestiwa" kabla ya mchezo, sikuiona jamani 😂😆😂
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·122 Visualizações