نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Abdulfattah Burhani @Mfatila تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-12-29 17:55:43 ·
    Yay
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·299 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Salum Mpochi @Mpochi_25 تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-12-29 17:59:20 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·253 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia أضاف صورة
    2024-12-29 18:19:14 ·
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·318 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Peter Makenzi @Makenzi12 تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-12-29 18:20:53 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·319 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia أضاف صورة
    2024-12-29 18:21:45 ·
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·312 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Peter Makenzi @Makenzi12 تحديث صورة الغلاف
    2024-12-29 18:29:24 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·318 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-29 18:36:24 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·117 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-29 18:36:43 ·
    Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga.

    Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing).

    -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga

    -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana

    -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo

    JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING?

    Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo

    Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa.

    FT Yanga 5-0 Fountain Gate.

    Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga. Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing). -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga✍️ -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana✍️ -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo✍️ JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING? Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo✍️ Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa. FT Yanga 5-0 Fountain Gate.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·579 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-29 18:37:23 ·
    Maombi na Dua kwa Jose Chameleone yanaendelea kama kawaida
    Maombi na Dua kwa Jose Chameleone yanaendelea kama kawaida 🙌
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·403 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 أضاف صورة
    2024-12-29 18:37:36 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·119 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (20131-20140 من 26029)
  • «
  • السابق
  • 2012
  • 2013
  • 2014
  • 2015
  • 2016
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين