Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Abdulfattah Burhani @Mfatila updated the profile picture
    2024-12-29 17:55:43 ·
    Yay
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·299 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Salum Mpochi @Mpochi_25 updated the profile picture
    2024-12-29 17:59:20 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·253 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia a adăugat o fotografie
    2024-12-29 18:19:14 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·318 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Peter Makenzi @Makenzi12 updated the profile picture
    2024-12-29 18:20:53 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·319 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Gaudesia Ibrahim @Gaudesia a adăugat o fotografie
    2024-12-29 18:21:45 ·
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·312 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Peter Makenzi @Makenzi12 updated the cover photo
    2024-12-29 18:29:24 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·318 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-29 18:36:24 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·117 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-29 18:36:43 ·
    Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga.

    Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing).

    -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga

    -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana

    -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo

    JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING?

    Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo

    Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa.

    FT Yanga 5-0 Fountain Gate.

    Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga. Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing). -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga✍️ -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana✍️ -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo✍️ JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING? Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo✍️ Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa. FT Yanga 5-0 Fountain Gate.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·579 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-29 18:37:23 ·
    Maombi na Dua kwa Jose Chameleone yanaendelea kama kawaida
    Maombi na Dua kwa Jose Chameleone yanaendelea kama kawaida 🙌
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·403 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2024-12-29 18:37:36 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·119 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (20131-20140 de 26029)
  • «
  • Anterior
  • 2012
  • 2013
  • 2014
  • 2015
  • 2016
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers