• "Hii ya kupiga pass tatu goli hii sio nzuri Wananchi wala sio uungwana huu, hii ya kutamanisha Mpinzani unamwachia mpira anakushambulia halafu unamrudisha kwa counter wala sio ustaarabu Wananchi, hata hii ya kufunga mabao yanafuatana sio afya sana mnawchanganya Mashabiki hawajui washangilie lipi.

    Hii ya Clement Mzize kufunga ama kuassist sio nzuri sana maana hatuelewi yeye ni Striker ama Kiungo? Hii ya Pacome na Stephen Aziz Ki kucheza kama hawataki, kufunga kwa starehe na kuassist wanapojisikia sio njema sana, Yanga kama kiwanja cha mgogoro tu, utakataa kununua ila utatamani kukimiliki.

    Hii habari ya tano tano wala sio ngeni ndani ya NBC Premier League, labda kama wewe ni Mgeni wa Ligi, hii ishataka kuanza kuwa mbaya itaanza sasa hivi habari ya Udhamini hii" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Hii ya kupiga pass tatu goli hii sio nzuri Wananchi wala sio uungwana huu, hii ya kutamanisha Mpinzani unamwachia mpira anakushambulia halafu unamrudisha kwa counter wala sio ustaarabu Wananchi, hata hii ya kufunga mabao yanafuatana sio afya sana mnawchanganya Mashabiki hawajui washangilie lipi. Hii ya Clement Mzize kufunga ama kuassist sio nzuri sana maana hatuelewi yeye ni Striker ama Kiungo? Hii ya Pacome na Stephen Aziz Ki kucheza kama hawataki, kufunga kwa starehe na kuassist wanapojisikia sio njema sana, Yanga kama kiwanja cha mgogoro tu, utakataa kununua ila utatamani kukimiliki. Hii habari ya tano tano wala sio ngeni ndani ya NBC Premier League, labda kama wewe ni Mgeni wa Ligi, hii ishataka kuanza kuwa mbaya itaanza sasa hivi habari ya Udhamini hii😀" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·489 Views
  • Ndani ya kikosi cha klabu ya Yanga SC kuna Watu wafuatao:

    - Pacome ana mabao 5 na "Assists" 4
    - Mzize ana mabao 6 na "Assists" 4
    - Dube ana mabao 5 na "Assists" 2
    - Aziz Ki ana mabao 2 na "Assists" 4.

    NB : Kama kuna niliyemsahau, muongeze.

    Ndani ya kikosi cha klabu ya Yanga SC kuna Watu wafuatao: - Pacome ana mabao 5 na "Assists" 4 - Mzize ana mabao 6 na "Assists" 4 - Dube ana mabao 5 na "Assists" 2 - Aziz Ki ana mabao 2 na "Assists" 4. NB : Kama kuna niliyemsahau, muongeze.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·130 Views
  • Sio Afrika Mashariki na kati bali ni Nchini Zimbabwe.
    Sio Afrika Mashariki na kati bali ni Nchini Zimbabwe.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·131 Views
  • Bwana YESU amenifanyia nafasi
    Bwana YESU amenifanyia nafasi
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·493 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·239 Views
  • 🤓🤓😀😁😁
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·255 Views
  • Like
    Haha
    Love
    9
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·301 Views ·177
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·244 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·259 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·256 Views