Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Park Joseph @Parkinho πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-02 19:37:22 ·
    Huyu mdada kwenye wrong house alicheza kama mrembo babu kishoka movie nzuri sana ile horror movie
    Huyu mdada kwenye wrong house alicheza kama mrembo babu kishoka movie nzuri sana ile horror movie☠️
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·980 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2025-01-02 20:23:16 ·
    Like
    Love
    Haha
    6
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·314 Views ·120
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-02 21:10:28 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·141 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-02 21:11:15 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·143 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-02 21:11:32 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·140 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-02 21:11:51 ·
    "Kunipata katika picha nimevaa jezi ya Simba SC ni mara chache sana kipindi kile. Lakini leo hata nikiwa nyumbani huwa navaa jezi za Yanga SC. Ikiwa inacheza ndiyo lazima nivae. Siwezi kutazama mechi ya Yanga SC hivi sasa bila kuvaa jezi. Nimejiwekea utamaduni huu na hii ni kama imani kuwa nikivaa jezi tunashinda. Nimetazama mechi ya Tabora United bila kuvaa jezi tukafungwa mabao 3-1" - Haji Manara

    "Kunipata katika picha nimevaa jezi ya Simba SC ni mara chache sana kipindi kile. Lakini leo hata nikiwa nyumbani huwa navaa jezi za Yanga SC. Ikiwa inacheza ndiyo lazima nivae. Siwezi kutazama mechi ya Yanga SC hivi sasa bila kuvaa jezi. Nimejiwekea utamaduni huu na hii ni kama imani kuwa nikivaa jezi tunashinda. Nimetazama mechi ya Tabora United bila kuvaa jezi tukafungwa mabao 3-1" - Haji Manara
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·456 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-02 22:12:53 ·
    Like
    Haha
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·264 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Abdul Mbonde @Abdul_09 μοιράστηκε David Atto 's video
    2025-01-03 05:25:21 ·
    David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-12-30 21:13:26 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·264 Views ·109
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Duduu Mendez @Duduu_mendez μοιράστηκε ένα σύνδεσμο
    2025-01-03 06:34:56 ·
    Become Real MEMBER

    https://mendez-website.vercel.app/
    Become Real MEMBER https://mendez-website.vercel.app/
    mendez-website.vercel.app
    Like
    Haha
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·328 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2025-01-03 07:31:09 ·
    MABADILIKO NI MZIZI WA MAISHA

    "Mabadiliko ni kiini cha maisha; kitu pekee ambacho kinabaki bila kubadilika ni sheria ya mabadiliko" Heraclitus

    Asili ya kila kitu kinabadilika,wale tuliokuwa 2024 sio ambao tutakuwa 2025, kwasababu hata wewe ukikataa kubadilika bado utabadilika kwa namna ya kiasili

    Ulimwengu unapo yaendea mabadiliko ya kiasili unahitaji kujiboresha, unahitaji kuwaonesha watu taswira ya jinsi ya kuufanya uwe sehemu bora ya wengine kuishi, kuna wakati tunabadilika ili kuboresha na pia tuna badilika ili kutengeneza uwili wa maisha

    Maisha yanatuambia ni vigumu kuyagusa maji ya mto mara mbili yalio katika mtiririko hivyo kwakua maji yanasonga nasi tunahitajika kusonga, miaka inaongezeka kuonesha jinsi gani tunahitajika kujiboresha

    Matukio,watu na mawazo katika maisha ni sawa mtiririko wa maji hivyo badala ya kung'ang'ania yaliyopita, ni wakati wa kujifunza jinsi ya kukumbatia mabadiliko yasiyoepukika ambayo maisha hutupa

    Anasema Anatole ""Mtu kamwe asipoteze muda katika kujutia bure yaliyopita au katika kulalamika dhidi ya mabadiliko ambayo yanatuletea usumbufu, kwa maana mabadiliko ndio kiini cha maisha."

    Mwaka umebadilika , kuna mambo ambayo hatutaweza kuyabadilisha lakini kwaye ni sisi tutahitajika kujidhibiti kwa kubadilika namna ya kuyakabili, hatuwezi kubadilisha kwakua ni nje ya uwezo wetu lakini tunaweza kubadilisha namna ya kukabili kwasababu ipo ndani ya uwezo wetu

    Kadiri tunavyokubali mabadiliko yanapotokea, ndivyo tunavyozidi kupunguza woga, na kuwa makini na kufahamu mawazo na hisia zetu tunaongeza hali kujiamini na kusadiki kwamba tutakuwa sawa mambo yanapobadilika. Mabadiliko daima yatakuwa, mara kwa mara katika maisha yetu.

    Sekomba Ngovi
    MABADILIKO NI MZIZI WA MAISHA "Mabadiliko ni kiini cha maisha; kitu pekee ambacho kinabaki bila kubadilika ni sheria ya mabadiliko" Heraclitus Asili ya kila kitu kinabadilika,wale tuliokuwa 2024 sio ambao tutakuwa 2025, kwasababu hata wewe ukikataa kubadilika bado utabadilika kwa namna ya kiasili Ulimwengu unapo yaendea mabadiliko ya kiasili unahitaji kujiboresha, unahitaji kuwaonesha watu taswira ya jinsi ya kuufanya uwe sehemu bora ya wengine kuishi, kuna wakati tunabadilika ili kuboresha na pia tuna badilika ili kutengeneza uwili wa maisha Maisha yanatuambia ni vigumu kuyagusa maji ya mto mara mbili yalio katika mtiririko hivyo kwakua maji yanasonga nasi tunahitajika kusonga, miaka inaongezeka kuonesha jinsi gani tunahitajika kujiboresha Matukio,watu na mawazo katika maisha ni sawa mtiririko wa maji hivyo badala ya kung'ang'ania yaliyopita, ni wakati wa kujifunza jinsi ya kukumbatia mabadiliko yasiyoepukika ambayo maisha hutupa Anasema Anatole ""Mtu kamwe asipoteze muda katika kujutia bure yaliyopita au katika kulalamika dhidi ya mabadiliko ambayo yanatuletea usumbufu, kwa maana mabadiliko ndio kiini cha maisha." Mwaka umebadilika , kuna mambo ambayo hatutaweza kuyabadilisha lakini kwaye ni sisi tutahitajika kujidhibiti kwa kubadilika namna ya kuyakabili, hatuwezi kubadilisha kwakua ni nje ya uwezo wetu lakini tunaweza kubadilisha namna ya kukabili kwasababu ipo ndani ya uwezo wetu Kadiri tunavyokubali mabadiliko yanapotokea, ndivyo tunavyozidi kupunguza woga, na kuwa makini na kufahamu mawazo na hisia zetu tunaongeza hali kujiamini na kusadiki kwamba tutakuwa sawa mambo yanapobadilika. Mabadiliko daima yatakuwa, mara kwa mara katika maisha yetu. Sekomba Ngovi
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·384 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20311-20320 από 28204)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2030
  • 2031
  • 2032
  • 2033
  • 2034
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers