• Wewe
    Wewe 😂😂
    Like
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·145 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·362 Views
  • Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·383 Views
  • Dunia imetufunza adabu, kupitia kwa wale ambao ni favourite kwetu.

    Somo la maumivu, sisi tulifundishwa na wale tuliojua wanatupenda sana..

    Ili kuelewa moyo unaumaje, tulielekezwa na wale tusiowadhania hata kidogo..

    Ni kama wafiwa tuliofutwa machozi, kwa kutumia kanga ya marehemu.

    Huzuni zetu hazikutoka mbali, wala kilio chetu hakikusababishwa na wageni.

    Ni wale wale tuliowahadithia yanayotukabili, tukijua
    wana dawa ya upweke wetu..

    Msiite ni ugonjwa wa kujitakia, imani yetu ilikuwa kubwa kuliko matarajio..

    Msituite wabinafsi, kwa sababu tumechagua kujitibuwenyewe vidonda vyetu..

    Kwenye maisha yenu mmetupoteza vibaya sana,mtuelewe..
    NINJA..


    Dunia imetufunza adabu, kupitia kwa wale ambao ni favourite kwetu. Somo la maumivu, sisi tulifundishwa na wale tuliojua wanatupenda sana.. Ili kuelewa moyo unaumaje, tulielekezwa na wale tusiowadhania hata kidogo.. Ni kama wafiwa tuliofutwa machozi, kwa kutumia kanga ya marehemu. Huzuni zetu hazikutoka mbali, wala kilio chetu hakikusababishwa na wageni. Ni wale wale tuliowahadithia yanayotukabili, tukijua wana dawa ya upweke wetu.. Msiite ni ugonjwa wa kujitakia, imani yetu ilikuwa kubwa kuliko matarajio.. Msituite wabinafsi, kwa sababu tumechagua kujitibuwenyewe vidonda vyetu.. Kwenye maisha yenu mmetupoteza vibaya sana,mtuelewe.. NINJA..
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·731 Views
  • Karibu kwenye huu usiku, wewe unaeamini kukosa
    kwako ni bahati mbaya, njoo ukutane na kundi kubwa la
    wenzio nyakati hizi.

    Wale waliorudi kama walivyoenda, hawana chochote
    zaidi ya tabasamu, Iinalomaanisha kesho wataenda
    tena..

    Njoo kwenye huu usiku wetu, usife moyo, kesho
    haiwezi kuwa kama leo, be brave..


    Karibu kwenye huu usiku, wewe unaeamini kukosa kwako ni bahati mbaya, njoo ukutane na kundi kubwa la wenzio nyakati hizi. Wale waliorudi kama walivyoenda, hawana chochote zaidi ya tabasamu, Iinalomaanisha kesho wataenda tena.. Njoo kwenye huu usiku wetu, usife moyo, kesho haiwezi kuwa kama leo, be brave..
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·202 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·105 Views
  • Haha
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·120 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·121 Views
  • MOYO SAFI WA SADIO MANÉ NDIO SILAHA YA MAFANIKIO YAKE.

    Sadio Mané amesaidia mambo mengi sana katika Kijiji alichotoka mara Baada ya kupata mafanikio katika soka.

    Sadio Mané amezaliwa katika Kijiji Cha Bambali nchini Senegal,amekulia huko na wanakijiji wengi walimsapoti na kumuombea sana Dua za mafanikio kipindi anaenda rasmi ulaya kujaribu bahati yake katika kazi ya kucheza mpira wa miguu.

    Mungu Si Athumani wala Mzee Nkumilwa kijana akatoboa na maisha yakaanza kuwa safi kwa upande wake,lakini pamoja na yote hakuwasahau watu waliomfanya awe hapo Leo.

    Alianza kukata fungu kwenye Kila mshahara wake wa mwezi kwa ajili ya kusaidia Kijiji chake kutoka kuwa Cha kimasikini mpaka kuwa Cha maisha ya kati kabla ya kuwa Cha kitajiri kabisa.

    Baadae zile pesa alizokuwa anahifadhi kutoka kwenye Kila mshahara wake zilianza kufanya kazi vyema na kufanikisha kukamklisha vitu vifuatavyo:

    1. Alijenga hospital yenye thamani ya €530K sawa na pesa za kitanzania Billion Moja,million mia tatu sabini na mbili,laki tano na Elfu tisini na nne.

    2. Alijenga Shule yenye thamani ya €270K sawa na pesa za kitanzania Million mia sita tisa tisa,laki mbili na Elfu Arobaini na sita.

    3. Pia huwa anatoa kiasi Cha €70 Kwa Kila kaya iliyopo Katika Kijiji hicho kwa mwezi ambayo ni sawa na pesa za kitanzania Laki moja,Elfu themanini na Moja,mia mbili themanini na sita.

    4. Kutoa nguo za bure Kwa watoto wote waliopo ndani ya Kijiji hicho.

    5. Kufanikisha kupeleka internet yenye Kasi ya 4G katika Kijiji hicho.

    6. Kufanikisha kupeleka vituo vya gas katika Kijiji hicho akishirikiana na kampuni ya Oryx.

    7. Kajenga uwanja wa soka pia.

    NDIO MAANA ANAFANIKIWA KILA ANAPOENDA HATA KAMA AKISEMEWA MABAYA KUNA WENGI WAPO NYUMA YAKE WANAMUOMBEA MEMA

    #neliudcosiah
    MOYO SAFI WA SADIO MANÉ NDIO SILAHA YA MAFANIKIO YAKE. Sadio Mané amesaidia mambo mengi sana katika Kijiji alichotoka mara Baada ya kupata mafanikio katika soka. Sadio Mané amezaliwa katika Kijiji Cha Bambali nchini Senegal,amekulia huko na wanakijiji wengi walimsapoti na kumuombea sana Dua za mafanikio kipindi anaenda rasmi ulaya kujaribu bahati yake katika kazi ya kucheza mpira wa miguu. Mungu Si Athumani wala Mzee Nkumilwa kijana akatoboa na maisha yakaanza kuwa safi kwa upande wake,lakini pamoja na yote hakuwasahau watu waliomfanya awe hapo Leo. Alianza kukata fungu kwenye Kila mshahara wake wa mwezi kwa ajili ya kusaidia Kijiji chake kutoka kuwa Cha kimasikini mpaka kuwa Cha maisha ya kati kabla ya kuwa Cha kitajiri kabisa. Baadae zile pesa alizokuwa anahifadhi kutoka kwenye Kila mshahara wake zilianza kufanya kazi vyema na kufanikisha kukamklisha vitu vifuatavyo: 1. Alijenga hospital yenye thamani ya €530K sawa na pesa za kitanzania Billion Moja,million mia tatu sabini na mbili,laki tano na Elfu tisini na nne. 2. Alijenga Shule yenye thamani ya €270K sawa na pesa za kitanzania Million mia sita tisa tisa,laki mbili na Elfu Arobaini na sita. 3. Pia huwa anatoa kiasi Cha €70 Kwa Kila kaya iliyopo Katika Kijiji hicho kwa mwezi ambayo ni sawa na pesa za kitanzania Laki moja,Elfu themanini na Moja,mia mbili themanini na sita. 4. Kutoa nguo za bure Kwa watoto wote waliopo ndani ya Kijiji hicho. 5. Kufanikisha kupeleka internet yenye Kasi ya 4G katika Kijiji hicho. 6. Kufanikisha kupeleka vituo vya gas katika Kijiji hicho akishirikiana na kampuni ya Oryx. 7. Kajenga uwanja wa soka pia. NDIO MAANA ANAFANIKIWA KILA ANAPOENDA HATA KAMA AKISEMEWA MABAYA KUNA WENGI WAPO NYUMA YAKE WANAMUOMBEA MEMA ♥️📌 #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·839 Views
  • Ni kweli Khalid Aucho anaongoza kucheza faulo nyingi but jana kacheza technically faulo ambazo zimesaidia kuibeba Yanga kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal, kwa bahati mbaya umri wake unaenda but kwa miaka mitatu kaonyesha ubora wa hali ya juu

    #neliudcosiah
    Ni kweli Khalid Aucho anaongoza kucheza faulo nyingi but jana kacheza technically faulo ambazo zimesaidia kuibeba Yanga kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal, kwa bahati mbaya umri wake unaenda but kwa miaka mitatu kaonyesha ubora wa hali ya juu #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·803 Views