Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 14:45:51 ·
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·133 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 14:46:07 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·132 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 14:46:24 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·135 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 16:20:58 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Grace Elias Magembe kuwa Mganga Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Profesa Tumaini Joseph Nagu ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

    Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Magembe alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI.
    Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Grace Elias Magembe kuwa Mganga Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Profesa Tumaini Joseph Nagu ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Magembe alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI.
    Like
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·309 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 17:18:04 ·
    Wabunge wa Marekani wamemtaka Rais wa Nchi hiyo J. Biden kutohufungia mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo ifikapo Jumapili na kutoa tahadhari juu ya mamillioni ya Wabunifu wa mtandao huo wanaweza kuathiriwa na kitendo hicho.

    "Tunaomba iwepo njia ya kujaribu kusuluhisha suala hili kwa busara ili TikTok isijikute katika hali ngumu" amekaririwa akisema Seneta mmoja kutoka Democratic aitwaye Ed Markey

    Hata hivyo Kiongozi wa Democratic katika Baraza la Seneti Chuck Schumer alizungumza na J. Biden na kumtaka kuongeza muda wa mwisho wa siku (90) kwa kampuni inayomiliki TikTok kutoka Nchini China ya ByteDance ili kuuza mali za TikTok kwa Mmarekani na kuzuia marufuku ya mtandao huo unaotumiwa na Wamarekani zaidi millioni (170).

    Ikumbukwe kwamba ugomvi baina ya Nchi ya Marekani na Wamiliki wa TikTok ni kuwa TikTok ilikataa kutoa nafasi kwa Nchi ya Marekani kuingilia ubinafsi (Private) wa Watumiaji wa mtandao huo ambapo Nchi ya Marekani inadai kuwa mtandao huo unatumiwa na Nchi ya China kuingilia mambo ya ndani ya Marekani .

    Ili mtandao huo wa TikTok uruhusiwe Nchini Marekani, Nchi hiyo ilitoa aina mbili za makubaliao. Mosi ni mtandao huo kukubali Nchi ya Marekani kuingia ndani ya mtandao ili ifahamu kinachoendelea au kukubali kuuza hisa (share) kwa Mmarekani.

    Wabunge wa Marekani 🇺🇸 wamemtaka Rais wa Nchi hiyo J. Biden kutohufungia mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo ifikapo Jumapili na kutoa tahadhari juu ya mamillioni ya Wabunifu wa mtandao huo wanaweza kuathiriwa na kitendo hicho. "Tunaomba iwepo njia ya kujaribu kusuluhisha suala hili kwa busara ili TikTok isijikute katika hali ngumu" amekaririwa akisema Seneta mmoja kutoka Democratic aitwaye Ed Markey Hata hivyo Kiongozi wa Democratic katika Baraza la Seneti Chuck Schumer alizungumza na J. Biden na kumtaka kuongeza muda wa mwisho wa siku (90) kwa kampuni inayomiliki TikTok kutoka Nchini China ya ByteDance ili kuuza mali za TikTok kwa Mmarekani na kuzuia marufuku ya mtandao huo unaotumiwa na Wamarekani zaidi millioni (170). Ikumbukwe kwamba ugomvi baina ya Nchi ya Marekani na Wamiliki wa TikTok ni kuwa TikTok ilikataa kutoa nafasi kwa Nchi ya Marekani kuingilia ubinafsi (Private) wa Watumiaji wa mtandao huo ambapo Nchi ya Marekani inadai kuwa mtandao huo unatumiwa na Nchi ya China kuingilia mambo ya ndani ya Marekani . Ili mtandao huo wa TikTok uruhusiwe Nchini Marekani, Nchi hiyo ilitoa aina mbili za makubaliao. Mosi ni mtandao huo kukubali Nchi ya Marekani kuingia ndani ya mtandao ili ifahamu kinachoendelea au kukubali kuuza hisa (share) kwa Mmarekani.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 17:19:05 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·134 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 17:19:30 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·130 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 20:37:32 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·132 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 20:37:45 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·133 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 ha aggiunto una foto
    2025-01-17 20:37:57 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·130 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (20971-20980 di 25997)
  • «
  • Prec.
  • 2096
  • 2097
  • 2098
  • 2099
  • 2100
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers