Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 14:45:51 ·
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·133 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 14:46:07 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·132 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 14:46:24 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·135 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 16:20:58 ·
    Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Grace Elias Magembe kuwa Mganga Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Profesa Tumaini Joseph Nagu ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

    Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Magembe alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI.
    Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Grace Elias Magembe kuwa Mganga Mkuu wa Serikali akichukua nafasi ya Profesa Tumaini Joseph Nagu ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Magembe alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI.
    Like
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·309 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 17:18:04 ·
    Wabunge wa Marekani wamemtaka Rais wa Nchi hiyo J. Biden kutohufungia mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo ifikapo Jumapili na kutoa tahadhari juu ya mamillioni ya Wabunifu wa mtandao huo wanaweza kuathiriwa na kitendo hicho.

    "Tunaomba iwepo njia ya kujaribu kusuluhisha suala hili kwa busara ili TikTok isijikute katika hali ngumu" amekaririwa akisema Seneta mmoja kutoka Democratic aitwaye Ed Markey

    Hata hivyo Kiongozi wa Democratic katika Baraza la Seneti Chuck Schumer alizungumza na J. Biden na kumtaka kuongeza muda wa mwisho wa siku (90) kwa kampuni inayomiliki TikTok kutoka Nchini China ya ByteDance ili kuuza mali za TikTok kwa Mmarekani na kuzuia marufuku ya mtandao huo unaotumiwa na Wamarekani zaidi millioni (170).

    Ikumbukwe kwamba ugomvi baina ya Nchi ya Marekani na Wamiliki wa TikTok ni kuwa TikTok ilikataa kutoa nafasi kwa Nchi ya Marekani kuingilia ubinafsi (Private) wa Watumiaji wa mtandao huo ambapo Nchi ya Marekani inadai kuwa mtandao huo unatumiwa na Nchi ya China kuingilia mambo ya ndani ya Marekani .

    Ili mtandao huo wa TikTok uruhusiwe Nchini Marekani, Nchi hiyo ilitoa aina mbili za makubaliao. Mosi ni mtandao huo kukubali Nchi ya Marekani kuingia ndani ya mtandao ili ifahamu kinachoendelea au kukubali kuuza hisa (share) kwa Mmarekani.

    Wabunge wa Marekani 🇺🇸 wamemtaka Rais wa Nchi hiyo J. Biden kutohufungia mtandao wa kijamii wa TikTok nchini humo ifikapo Jumapili na kutoa tahadhari juu ya mamillioni ya Wabunifu wa mtandao huo wanaweza kuathiriwa na kitendo hicho. "Tunaomba iwepo njia ya kujaribu kusuluhisha suala hili kwa busara ili TikTok isijikute katika hali ngumu" amekaririwa akisema Seneta mmoja kutoka Democratic aitwaye Ed Markey Hata hivyo Kiongozi wa Democratic katika Baraza la Seneti Chuck Schumer alizungumza na J. Biden na kumtaka kuongeza muda wa mwisho wa siku (90) kwa kampuni inayomiliki TikTok kutoka Nchini China ya ByteDance ili kuuza mali za TikTok kwa Mmarekani na kuzuia marufuku ya mtandao huo unaotumiwa na Wamarekani zaidi millioni (170). Ikumbukwe kwamba ugomvi baina ya Nchi ya Marekani na Wamiliki wa TikTok ni kuwa TikTok ilikataa kutoa nafasi kwa Nchi ya Marekani kuingilia ubinafsi (Private) wa Watumiaji wa mtandao huo ambapo Nchi ya Marekani inadai kuwa mtandao huo unatumiwa na Nchi ya China kuingilia mambo ya ndani ya Marekani . Ili mtandao huo wa TikTok uruhusiwe Nchini Marekani, Nchi hiyo ilitoa aina mbili za makubaliao. Mosi ni mtandao huo kukubali Nchi ya Marekani kuingia ndani ya mtandao ili ifahamu kinachoendelea au kukubali kuuza hisa (share) kwa Mmarekani.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 17:19:05 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·134 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 17:19:30 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·130 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 20:37:32 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·132 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 20:37:45 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·133 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 a adăugat o fotografie
    2025-01-17 20:37:57 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·130 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (20971-20980 de 26000)
  • «
  • Anterior
  • 2096
  • 2097
  • 2098
  • 2099
  • 2100
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers