• ISHI NA WATU VIZURI SIO MPAKA UBAKE WAPO WATAKAO KUONEA HURUMA WATAKUPA MZEE TENA FREE KABISA
    ISHI NA WATU VIZURI SIO MPAKA UBAKE WAPO WATAKAO KUONEA HURUMA WATAKUPA MZEE TENA FREE KABISA
    0 Commentarii 0 Distribuiri 116 Views
  • " Hakuna utofauti mkubwa wa ubora wa wachezaji baina ya Simba na Yanga lakini utofauti uliopo tu ni kwamba wao wamekaa muda mrefu na sisi tunamaingizo zaidi ya 10 mapya hiyo inaweza kuwa faida kwao lakini pia kwakuwa nao hawajawahi kutuona pia ni faida kwetu kwakuwa hawajui ni namna gani tutaingia kwenye mchezo hivyo utakuwa mcheo wa wazi. "

    David Fadlu, Kocha Simba SC kuelekea mchezo vs Yanga.
    " Hakuna utofauti mkubwa wa ubora wa wachezaji baina ya Simba na Yanga lakini utofauti uliopo tu ni kwamba wao wamekaa muda mrefu na sisi tunamaingizo zaidi ya 10 mapya hiyo inaweza kuwa faida kwao lakini pia kwakuwa nao hawajawahi kutuona pia ni faida kwetu kwakuwa hawajui ni namna gani tutaingia kwenye mchezo hivyo utakuwa mcheo wa wazi. " David Fadlu, Kocha Simba SC kuelekea mchezo vs Yanga.
    Like
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 372 Views
  • " Tunavipaji vingi kwemye timu na tunaendelea kujenga umoja tunachukua mchezo huu kama michezo mingine na hatuna presha

    Tunaingia kucheza kwa ajili ya kushinda na ni mchezo utaotupa picha ya kuelekea msimu ujao nimi cha kufanya zaidi ?

    Hii ni timu mpya na project mpya mechi tulizocheza zinaendelea kutujenga na taratibu tutaendelea kuimarika

    Hatuwezi kuzuia muda wote wala kushambulia muda wote lakini tutatengeneza mpango ambao tutaweza kushinda "

    - David Fadlu, Kocha Simba SC
    " Tunavipaji vingi kwemye timu na tunaendelea kujenga umoja tunachukua mchezo huu kama michezo mingine na hatuna presha Tunaingia kucheza kwa ajili ya kushinda na ni mchezo utaotupa picha ya kuelekea msimu ujao nimi cha kufanya zaidi ? Hii ni timu mpya na project mpya mechi tulizocheza zinaendelea kutujenga na taratibu tutaendelea kuimarika Hatuwezi kuzuia muda wote wala kushambulia muda wote lakini tutatengeneza mpango ambao tutaweza kushinda " - David Fadlu, Kocha Simba SC
    Like
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 264 Views
  • Like
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 178 Views
  • .“Tupo imara kiakili na kimwili, tumejianda vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani kwani mechi zake nyingi hazikuoneshwa, lakini hiyo sio changamoto kubwa kwani naanda timu yangu kwa asilimia 75, asilimia 25 ndio natumia kumchunguza mpinzani” Kocha Mkuu Miguel Gamondi

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    .“Tupo imara kiakili na kimwili, tumejianda vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani kwani mechi zake nyingi hazikuoneshwa, lakini hiyo sio changamoto kubwa kwani naanda timu yangu kwa asilimia 75, asilimia 25 ndio natumia kumchunguza mpinzani” Kocha Mkuu Miguel Gamondi #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    Like
    Love
    3
    1 Commentarii 0 Distribuiri 380 Views
  • .“Hakuna siri kwenye mpira kila kitu lazima kiwe hadharani, kesho ni siku muhimu sana kwani ni mechi ya mtoano, hatupaswi kufanya makosa tunapaswa kuwa makini kwenye kila idara ili kupata matokeo mazuri, naamini mashabiki wetu watajitokeza kwa wingi kwa lengo la kutupa hamasa” Kocha Mkuu Miguel Gamondi

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    .“Hakuna siri kwenye mpira kila kitu lazima kiwe hadharani, kesho ni siku muhimu sana kwani ni mechi ya mtoano, hatupaswi kufanya makosa tunapaswa kuwa makini kwenye kila idara ili kupata matokeo mazuri, naamini mashabiki wetu watajitokeza kwa wingi kwa lengo la kutupa hamasa” Kocha Mkuu Miguel Gamondi #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    Like
    Love
    3
    2 Commentarii 0 Distribuiri 1K Views
  • ."Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila kitu kimebadilika, wacha tuone kesho kitatokea nini" Kocha Mkuu Miguel Gamondi

    #TimuYaWananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    ."Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila kitu kimebadilika, wacha tuone kesho kitatokea nini" Kocha Mkuu Miguel Gamondi #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko
    Like
    Love
    3
    0 Commentarii 0 Distribuiri 375 Views
  • Hellow
    Hellow
    Like
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 317 Views
  • Like
    Love
    4
    0 Commentarii 0 Distribuiri 340 Views