Risultati di ricerca
Mostra tutti i risultati
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Gruppi
Pagine
Marketplace
Mostra tutto
Gruppi Pagine Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Iscriviti
Registrati Iscriviti
Theme Switcher
Night Mode
Elenco
Utenti
Articoli
Pagine
Gruppi
Events
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz ha aggiunto una foto
    2025-01-30 06:41:10 ·
    Screen wallpaper hd
    Screen wallpaper hd
    Like
    Love
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·690 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz ha aggiunto una foto
    2025-01-30 06:41:55 ·
    Wallpaper
    Wallpaper
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·681 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Elena Williams @elenawilliams updated the profile picture
    2025-01-30 07:00:05 ·
    0 Commenti ·0 condivisioni ·302 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Elena Williams @elenawilliams ha aggiunto una foto in Health
    2025-01-30 07:04:37 ·
    Overcoming ED Together: Strategies for Couples to Maintain Their Closeness and Self-Belief
    Many men suffer from erectile dysfunction (ED), but the effects of the disorder extend beyond the person. Relationship dynamics may also be impacted, leading to tension, ambiguity, and emotional detachment. Couples that face this obstacle together, however, might deepen their relationship and discover fresh approaches of remaining close and self-assured. Couples can control ED and have a happy...
    0 Commenti ·0 condivisioni ·780 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mofokeng Elvis @Kas11 ha aggiunto una foto
    2025-01-30 08:12:35 ·
    mauaji haya
    mauaji haya😃
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·373 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto un file
    2025-01-30 14:33:55 ·
    Like
    Love
    Haha
    3
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·360 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Paul Swai @paulswai ha aggiunto un video in Generale
    2025-01-30 15:58:50 ·
    Unampa maksi ngapi uyu jamaa kati ya 1-10

    #paulswai
    Unampa maksi ngapi uyu jamaa kati ya 1-10 #paulswai
    Love
    Haha
    2
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·451 Views ·5
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • David Atto @Mefa ha aggiunto una foto
    2025-01-30 17:37:54 ·
    Love
    2
    · 3 Commenti ·0 condivisioni ·290 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-01-30 18:14:31 ·
    Wataalamu wa kutafsiri katuni mpo wapi
    Wataalamu wa kutafsiri katuni mpo wapi 👇
    0 Commenti ·0 condivisioni ·187 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 ha aggiunto una foto
    2025-01-30 18:14:59 ·
    Katika hotuba yake kwa Taifa lake la Congo kwa njia ya Televisheni, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Felex Tshekesedi ameweka msimamo kuwa hakuna mazungumzo na Waasi wa M23 na badala yake akasema "majibu makali yaliyoratibiwa" dhidi ya kile alichokiita "Magaidi". Tshisekedi amehimiza Wacongo wote kuungana pamoja na kuunga mkono mapambano ya Jeshi kutwaa tena udhibiti wa Mji wa Goma pamoja na zenye fujo Mashariki mwa Congo.

    " Kuweni na uhakika wa jambo moja: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo haitajiruhusu kufedheheshwa . Tutapigana na tutashinda," amekaririwa akisema Rais huyo.

    Mchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kutoka Nchini Tanzania, Zungu alikuwa na hayo ya kusema

    "Huu mzozo unaenda kupanuka zaidi jeshi la Congo ni dhaifu ni wazi kuwa halina uwezo wa kutosha kupambana na M23 sasa basi watahitaji washirika ili kurejesha uthibiti na kuwafukuza M23 wanaoungwa mkono na Kagame nini kitatokea?

    Kingine ni wazi kuwa mzozo huu umeushinda nguvu jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI, si Kagame wala Tshisekedi wote ukiwasikiliza hawana imani na jumuiya hii, rejea kikao cha mwisho cha marais wa Afrika mashariki ambapo Congo iligoma kuhudhuria kisa Rwanda!!

    Tuimboee Congo pande zote zinazopigana zimechagua mtutu na sio meza!!"

    Katika hotuba yake kwa Taifa lake la Congo kwa njia ya Televisheni, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, Felex Tshekesedi ameweka msimamo kuwa hakuna mazungumzo na Waasi wa M23 na badala yake akasema "majibu makali yaliyoratibiwa" dhidi ya kile alichokiita "Magaidi". Tshisekedi amehimiza Wacongo wote kuungana pamoja na kuunga mkono mapambano ya Jeshi kutwaa tena udhibiti wa Mji wa Goma pamoja na zenye fujo Mashariki mwa Congo. " Kuweni na uhakika wa jambo moja: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo haitajiruhusu kufedheheshwa . Tutapigana na tutashinda," amekaririwa akisema Rais huyo. Mchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kutoka Nchini Tanzania, Zungu alikuwa na hayo ya kusema "Huu mzozo unaenda kupanuka zaidi jeshi la Congo ni dhaifu ni wazi kuwa halina uwezo wa kutosha kupambana na M23 sasa basi watahitaji washirika ili kurejesha uthibiti na kuwafukuza M23 wanaoungwa mkono na Kagame nini kitatokea? Kingine ni wazi kuwa mzozo huu umeushinda nguvu jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI, si Kagame wala Tshisekedi wote ukiwasikiliza hawana imani na jumuiya hii, rejea kikao cha mwisho cha marais wa Afrika mashariki ambapo Congo iligoma kuhudhuria kisa Rwanda!! Tuimboee Congo pande zote zinazopigana zimechagua mtutu na sio meza!!"
    0 Commenti ·0 condivisioni ·635 Views
    Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
  • Mostrati (22341-22350 di 25760)
  • «
  • Prec.
  • 2233
  • 2234
  • 2235
  • 2236
  • 2237
  • Succ.
  • »
Passa a Pro
Scegli il piano più adatto a te
AGGIORNA
© 2025 Socialpop
Italiano
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termini e Condizioni Privacy Contattaci Elenco Developers