Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz добавлены фото
    2025-01-30 06:41:10 ·
    Screen wallpaper hd
    Screen wallpaper hd
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·690 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kelvin Nyamwesa @Anta_tz добавлены фото
    2025-01-30 06:41:55 ·
    Wallpaper
    Wallpaper
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·681 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Elena Williams @elenawilliams обновить изображение профиля
    2025-01-30 07:00:05 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·302 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Elena Williams @elenawilliams добавлена новая статья in Health
    2025-01-30 07:04:37 ·
    Overcoming ED Together: Strategies for Couples to Maintain Their Closeness and Self-Belief
    Many men suffer from erectile dysfunction (ED), but the effects of the disorder extend beyond the person. Relationship dynamics may also be impacted, leading to tension, ambiguity, and emotional detachment. Couples that face this obstacle together, however, might deepen their relationship and discover fresh approaches of remaining close and self-assured. Couples can control ED and have a happy...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·780 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Mofokeng Elvis @Kas11 добавлены фото
    2025-01-30 08:12:35 ·
    mauaji haya
    mauaji haya😃
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·373 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлена новая статья
    2025-01-30 14:33:55 ·
    Like
    Love
    Haha
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·360 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai @paulswai добавлено видео in Общий
    2025-01-30 15:58:50 ·
    Unampa maksi ngapi uyu jamaa kati ya 1-10

    #paulswai
    Unampa maksi ngapi uyu jamaa kati ya 1-10 #paulswai
    Love
    Haha
    2
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·451 Просмотры ·5
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-01-30 17:37:54 ·
    Love
    2
    · 3 Комментарии ·0 Поделились ·290 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-01-30 18:14:31 ·
    Wataalamu wa kutafsiri katuni mpo wapi
    Wataalamu wa kutafsiri katuni mpo wapi 👇
    0 Комментарии ·0 Поделились ·187 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-01-30 18:14:59 ·
    Katika hotuba yake kwa Taifa lake la Congo kwa njia ya Televisheni, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Felex Tshekesedi ameweka msimamo kuwa hakuna mazungumzo na Waasi wa M23 na badala yake akasema "majibu makali yaliyoratibiwa" dhidi ya kile alichokiita "Magaidi". Tshisekedi amehimiza Wacongo wote kuungana pamoja na kuunga mkono mapambano ya Jeshi kutwaa tena udhibiti wa Mji wa Goma pamoja na zenye fujo Mashariki mwa Congo.

    " Kuweni na uhakika wa jambo moja: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo haitajiruhusu kufedheheshwa . Tutapigana na tutashinda," amekaririwa akisema Rais huyo.

    Mchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kutoka Nchini Tanzania, Zungu alikuwa na hayo ya kusema

    "Huu mzozo unaenda kupanuka zaidi jeshi la Congo ni dhaifu ni wazi kuwa halina uwezo wa kutosha kupambana na M23 sasa basi watahitaji washirika ili kurejesha uthibiti na kuwafukuza M23 wanaoungwa mkono na Kagame nini kitatokea?

    Kingine ni wazi kuwa mzozo huu umeushinda nguvu jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI, si Kagame wala Tshisekedi wote ukiwasikiliza hawana imani na jumuiya hii, rejea kikao cha mwisho cha marais wa Afrika mashariki ambapo Congo iligoma kuhudhuria kisa Rwanda!!

    Tuimboee Congo pande zote zinazopigana zimechagua mtutu na sio meza!!"

    Katika hotuba yake kwa Taifa lake la Congo kwa njia ya Televisheni, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, Felex Tshekesedi ameweka msimamo kuwa hakuna mazungumzo na Waasi wa M23 na badala yake akasema "majibu makali yaliyoratibiwa" dhidi ya kile alichokiita "Magaidi". Tshisekedi amehimiza Wacongo wote kuungana pamoja na kuunga mkono mapambano ya Jeshi kutwaa tena udhibiti wa Mji wa Goma pamoja na zenye fujo Mashariki mwa Congo. " Kuweni na uhakika wa jambo moja: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo haitajiruhusu kufedheheshwa . Tutapigana na tutashinda," amekaririwa akisema Rais huyo. Mchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kutoka Nchini Tanzania, Zungu alikuwa na hayo ya kusema "Huu mzozo unaenda kupanuka zaidi jeshi la Congo ni dhaifu ni wazi kuwa halina uwezo wa kutosha kupambana na M23 sasa basi watahitaji washirika ili kurejesha uthibiti na kuwafukuza M23 wanaoungwa mkono na Kagame nini kitatokea? Kingine ni wazi kuwa mzozo huu umeushinda nguvu jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI, si Kagame wala Tshisekedi wote ukiwasikiliza hawana imani na jumuiya hii, rejea kikao cha mwisho cha marais wa Afrika mashariki ambapo Congo iligoma kuhudhuria kisa Rwanda!! Tuimboee Congo pande zote zinazopigana zimechagua mtutu na sio meza!!"
    0 Комментарии ·0 Поделились ·635 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (22341-22350 из 25760)
  • «
  • Назад
  • 2233
  • 2234
  • 2235
  • 2236
  • 2237
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики