#PART3
Dogo alianza kupiga picha na maadui wa baba yake.
Unajua maana yake? Kijana wako, damu yako mwenyewe, anashirikiana na watu waliotaka kukuangusha.
Hii haikuwa tu ishu ya "Hana time na baba yake," hii ilikuwa ni chuki ya makusudi.
Na chuki hiyo haikutoka kwa mtoto mwenyewe, bali ilitengenezwa na mama yake.
Mama ambaye baada ya kuachwa alitaka pesa nyingi kutoka kwa 50 Cent lakini ikashindikana.
Mama ambaye hakuwa na njia ya kumkomoa baba, akaamua kutumia mtoto kama silaha.
Na mtoto, bila kujua anatumika kama chess piece, akaingia kwenye mchezo wa mama.
Huu ni ukweli mchungu. Katika ndoa au mahusiano yanayovunjika, asilimia kubwa ya wanawake hutumia watoto kama njia ya kulipiza kisasi.
Ni wachache sana watakaoruhusu baba wa mtoto wao aendelee kuwa na uhusiano mzuri na mwanawe baada ya kutengana.
Dogo alianza kupiga picha na maadui wa baba yake.
Unajua maana yake? Kijana wako, damu yako mwenyewe, anashirikiana na watu waliotaka kukuangusha.
Hii haikuwa tu ishu ya "Hana time na baba yake," hii ilikuwa ni chuki ya makusudi.
Na chuki hiyo haikutoka kwa mtoto mwenyewe, bali ilitengenezwa na mama yake.
Mama ambaye baada ya kuachwa alitaka pesa nyingi kutoka kwa 50 Cent lakini ikashindikana.
Mama ambaye hakuwa na njia ya kumkomoa baba, akaamua kutumia mtoto kama silaha.
Na mtoto, bila kujua anatumika kama chess piece, akaingia kwenye mchezo wa mama.
Huu ni ukweli mchungu. Katika ndoa au mahusiano yanayovunjika, asilimia kubwa ya wanawake hutumia watoto kama njia ya kulipiza kisasi.
Ni wachache sana watakaoruhusu baba wa mtoto wao aendelee kuwa na uhusiano mzuri na mwanawe baada ya kutengana.
#PART3
Dogo alianza kupiga picha na maadui wa baba yake.
Unajua maana yake? Kijana wako, damu yako mwenyewe, anashirikiana na watu waliotaka kukuangusha.
Hii haikuwa tu ishu ya "Hana time na baba yake," hii ilikuwa ni chuki ya makusudi.
Na chuki hiyo haikutoka kwa mtoto mwenyewe, bali ilitengenezwa na mama yake.
Mama ambaye baada ya kuachwa alitaka pesa nyingi kutoka kwa 50 Cent lakini ikashindikana.
Mama ambaye hakuwa na njia ya kumkomoa baba, akaamua kutumia mtoto kama silaha.
Na mtoto, bila kujua anatumika kama chess piece, akaingia kwenye mchezo wa mama.
Huu ni ukweli mchungu. Katika ndoa au mahusiano yanayovunjika, asilimia kubwa ya wanawake hutumia watoto kama njia ya kulipiza kisasi.
Ni wachache sana watakaoruhusu baba wa mtoto wao aendelee kuwa na uhusiano mzuri na mwanawe baada ya kutengana.
0 Kommentare
·0 Anteile
·121 Ansichten