• #PART3

    Dogo alianza kupiga picha na maadui wa baba yake.

    Unajua maana yake? Kijana wako, damu yako mwenyewe, anashirikiana na watu waliotaka kukuangusha.

    Hii haikuwa tu ishu ya "Hana time na baba yake," hii ilikuwa ni chuki ya makusudi.

    Na chuki hiyo haikutoka kwa mtoto mwenyewe, bali ilitengenezwa na mama yake.

    Mama ambaye baada ya kuachwa alitaka pesa nyingi kutoka kwa 50 Cent lakini ikashindikana.

    Mama ambaye hakuwa na njia ya kumkomoa baba, akaamua kutumia mtoto kama silaha.

    Na mtoto, bila kujua anatumika kama chess piece, akaingia kwenye mchezo wa mama.

    Huu ni ukweli mchungu. Katika ndoa au mahusiano yanayovunjika, asilimia kubwa ya wanawake hutumia watoto kama njia ya kulipiza kisasi.

    Ni wachache sana watakaoruhusu baba wa mtoto wao aendelee kuwa na uhusiano mzuri na mwanawe baada ya kutengana.
    #PART3 Dogo alianza kupiga picha na maadui wa baba yake. Unajua maana yake? Kijana wako, damu yako mwenyewe, anashirikiana na watu waliotaka kukuangusha. Hii haikuwa tu ishu ya "Hana time na baba yake," hii ilikuwa ni chuki ya makusudi. Na chuki hiyo haikutoka kwa mtoto mwenyewe, bali ilitengenezwa na mama yake. Mama ambaye baada ya kuachwa alitaka pesa nyingi kutoka kwa 50 Cent lakini ikashindikana. Mama ambaye hakuwa na njia ya kumkomoa baba, akaamua kutumia mtoto kama silaha. Na mtoto, bila kujua anatumika kama chess piece, akaingia kwenye mchezo wa mama. Huu ni ukweli mchungu. Katika ndoa au mahusiano yanayovunjika, asilimia kubwa ya wanawake hutumia watoto kama njia ya kulipiza kisasi. Ni wachache sana watakaoruhusu baba wa mtoto wao aendelee kuwa na uhusiano mzuri na mwanawe baada ya kutengana.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·128 Views
  • #PART4

    Lakini cha kushangaza, wanaume wengi hawafanyi hivi.

    Kwa nini?

    Kwa sababu mwanaume hapendi kuonekana amefeli.

    Dogo akimuuliza baba yake, "Kwanini ulimuacha mama?" baba atapata kigugumizi.

    Hakuna mwanaume anayependa aonekane alishindwa kufanya kitu sahihi.

    Ndiyo maana wanaume wengi husema mambo mazuri kuhusu mama wa mtoto wao, hata kama waliachana kwa mabaya.

    Lakini wanawake wengi hawawezi kufanya hivyo. Wengi hujaza chuki kwa mtoto. Wanaangalia maisha yao kwa sasa, wanasahau mtoto atakua na atagundua ukweli wenyewe.

    50 Cent ni role model wa wanaume wengi kwa sababu moja kubwa, anajua dunia ilivyo.

    Ndiyo maana hata Chris Brown, kabla ya kuingia kwenye ndoa, alikwenda kwa 50 Cent kumuuliza ushauri.

    50 Cent alimwambia USITHUBUTU!
    #PART4 Lakini cha kushangaza, wanaume wengi hawafanyi hivi. Kwa nini? Kwa sababu mwanaume hapendi kuonekana amefeli. Dogo akimuuliza baba yake, "Kwanini ulimuacha mama?" baba atapata kigugumizi. Hakuna mwanaume anayependa aonekane alishindwa kufanya kitu sahihi. Ndiyo maana wanaume wengi husema mambo mazuri kuhusu mama wa mtoto wao, hata kama waliachana kwa mabaya. Lakini wanawake wengi hawawezi kufanya hivyo. Wengi hujaza chuki kwa mtoto. Wanaangalia maisha yao kwa sasa, wanasahau mtoto atakua na atagundua ukweli wenyewe. 50 Cent ni role model wa wanaume wengi kwa sababu moja kubwa, anajua dunia ilivyo. Ndiyo maana hata Chris Brown, kabla ya kuingia kwenye ndoa, alikwenda kwa 50 Cent kumuuliza ushauri. 50 Cent alimwambia USITHUBUTU!
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·205 Views
  • #PART5

    Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka."

    Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa.

    Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani.

    Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye.

    Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji.

    50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe.

    Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia.

    Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
    #PART5 Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka." Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa. Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani. Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye. Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji. 50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe. Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia. Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·84 Views
  • Like
    Yay
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·82 Views
  • MPANZU

    #paulswai
    MPANZU #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·150 Views
  • #paulswai
    #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·102 Views
  • 𝐌𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀


    #paulswai
    🦁 𝐌𝐍𝐘𝐀𝐌𝐀 🦁 #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·101 Views
  • ⚡️ FABRICE ⚡️

    #paulswai
    ⚡️ FABRICE ⚡️ #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·104 Views
  • Mpinzani wa SimbaSC hatua ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB ni TMA FC.

    #paulswai
    Mpinzani wa SimbaSC hatua ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB ni TMA FC. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·105 Views
  • HII KITAALAM INAITWAJE?

    #paulswai
    HII KITAALAM INAITWAJE? #paulswai
    Love
    Sad
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·181 Views ·3