• Wilson Orumo Vs Privaldinho

    "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam.

    Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka.

    So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao.

    Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94.

    Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi

    Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu?

    Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu.

    Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi.

    Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ?

    Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube

    Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3
    Ligi kuu: Magoli 7, assists 4,
    Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo
    Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga?

    Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.

    Wilson Orumo Vs Privaldinho "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam. Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka. So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao. Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94. Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu? Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu. Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi. Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ? Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3 Ligi kuu: Magoli 7, assists 4, Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga? Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.
    Like
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 518 Views
  • Hellow cm yangu ilizingua kidg but now am back online
    Nilitaka kuuliza
    Hivi nyie dunia mnaielewa kweli inakoelekea au wameqnza kuharibu bora wangemaliza
    Hellow cm yangu ilizingua kidg but now am back online Nilitaka kuuliza Hivi nyie dunia mnaielewa kweli inakoelekea au wameqnza kuharibu bora wangemaliza
    0 Commentarios 0 Acciones 726 Views
  • 0 Commentarios 0 Acciones 395 Views
  • Movie nyingine hii hapa ya kuitazama
    Movie nyingine hii hapa ya kuitazama
    0 Commentarios 0 Acciones 1K Views
  • Daaa wabongo sio watu wazuri
    Daaa wabongo sio watu wazuri馃榿馃榿馃榿馃榿馃榿馃榿馃榿
    0 Commentarios 0 Acciones 305 Views
  • #SportsEliteMsimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    #SportsElite馃嚬馃嚳Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    Love
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 813 Views
  • 馃槀馃槀馃槀
    0 Commentarios 0 Acciones 155 Views
  • #SportsElite #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 584 Views
  • #SportsElite TETESIArsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football),

    Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks)

    Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes)

    Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),
    #SportsElite TETESI馃審Arsenal, Chelsea na Liverpool wanavutiwa na mlinzi wa Bournemouth mwenye umri wa chini ya miaka 21 Dean Huijsen, ambaye ana kipengele cha kuachiliwa kwa pauni milioni 55 katika mkataba wake. (TBR Football), Liverpool wana nia ya kumsajili winga wa England chini ya miaka 21 mzaliwa wa Ufaransa Mohamed-Ali Cho, 21, kutoka Nice. (TeamTalks) Chelsea wanaandaa dau la pauni milioni 58.3 (euro milioni 70) msimu ujao kwa ajili ya beki wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 21 Pablo Barrios. (Fichajes) Klabu ya Saudi Pro-League Al-Nassr ilikaribia sana kufikia makubaliano ya mshambuliaji wa Uruguay Darwin Nunez kutoka Liverpool mnamo Januari kabla ya Reds kukataa mpango wa mchezaji huyo wa miaka 25. (Givemesport),
    Love
    1
    0 Commentarios 0 Acciones 1K Views
  • 馃槀馃槀
    0 Commentarios 0 Acciones 145 Views