• Baba Levo
    Baba Levo ✍️
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·49 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·45 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·44 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·45 Visualizações
  • Kwa mujibu wa The Citizens, zaidi ya kampuni tano (5) za kigeni kutoka Nchini Ufaransa na Misri pamoja na Wawekezaji wa ndani ya Tanzania , wameonyesha nia ya kuwekeza katika usafirishaji wa nyaya yaani "cable" kwa lugha ya Kiingereza. Ili kufanikisha hilo sasa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) inakamilisha Kanuni za Usafiri wa Waya za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka, 2024 katika ngazi ya Serikali.

    Kanuni zingine zinazoendelea zinazopendekezwa ni pamoja na Kanuni za LATRA (Utoaji Leseni kwa Waendeshaji Reli) 2024 na Kanuni ya Utoaji Leseni ya Usafiri (Leseni ya Kipekee ya Usafiri wa Umma), 2024. Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano wa LATRA, Salum Pazzy ameiambia The Citizen kwamba kampuni mbili kutoka Ufaransa na moja kutoka Misri zimejitokeza zikisubiri idhini ya kuwekeza katika sekta hiyo.

    Kampuni hizi zimewasilisha mapendekezo yao na yanasubiri kuidhinishwa kwa kanuni ili kujihakikishia mazingira mazuri kwani usafiri wa waya unaonekana kuwa fursa kubwa ya kiuwekezaji.

    Kwa mujibu wa The Citizens, zaidi ya kampuni tano (5) za kigeni kutoka Nchini Ufaransa 🇫🇷 na Misri 🇪🇬 pamoja na Wawekezaji wa ndani ya Tanzania 🇹🇿, wameonyesha nia ya kuwekeza katika usafirishaji wa nyaya yaani "cable" kwa lugha ya Kiingereza. Ili kufanikisha hilo sasa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) inakamilisha Kanuni za Usafiri wa Waya za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka, 2024 katika ngazi ya Serikali. Kanuni zingine zinazoendelea zinazopendekezwa ni pamoja na Kanuni za LATRA (Utoaji Leseni kwa Waendeshaji Reli) 2024 na Kanuni ya Utoaji Leseni ya Usafiri (Leseni ya Kipekee ya Usafiri wa Umma), 2024. Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Mawasiliano wa LATRA, Salum Pazzy ameiambia The Citizen kwamba kampuni mbili kutoka Ufaransa na moja kutoka Misri zimejitokeza zikisubiri idhini ya kuwekeza katika sekta hiyo. Kampuni hizi zimewasilisha mapendekezo yao na yanasubiri kuidhinishwa kwa kanuni ili kujihakikishia mazingira mazuri kwani usafiri wa waya unaonekana kuwa fursa kubwa ya kiuwekezaji.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·98 Visualizações
  • Rais wa Marekani , Donlad Trump ametangaza kuwa Nchi yake imedhamiria kununua na kumiliki Ukanda wa Gaza na kuhamisha Wapalestina zaidi ya milioni mbili (2) wanaoishi huko, licha ya pendekezo hilo kupingwa vikali na Jumuiya ya Kimataifa. Rais huyo amewaambia Wanahabari kuwa huenda akaruhusu mataifa ya kiarabu kuhusika katika kukarabati upya sehemu mbalimbali na kuwa atahakikisha Raia wa Palestina wataishi maisha mazuri.

    Mamlaka ya Palestina na kikundi kilicho na silaha cha Hamas ambao wamekuwa vitani kwa miezi (16) na Israel na kusababisha maafa Gaza, wamemjibu wakisema ardhi ya Palestina sio ya kuuzwa''. Lakini waziri Mkuu mkuu wa Israel , Benjamin Netanyahu ameipigia upatu pendekezo hilo la Trump akilitaja ni ''mwamko mpya na bunifu''.

    Haya yamekuja Wiki tatu (3) baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza Huku Kundi la Hamas likiachilia huru baadhi ya Mateka wa Nchi ya Israel inayowazuia ili kubadilishana na Wafungwa wa Palestina walioko katika Magerezani Nchini Israel.

    Wanajeshi wa Israel walianzisha kampeni ya kuvamia na kuharibu Gaza wakijibu shambulizi la kushtukizia la mwezi Oktoba tarehe 7 2023, ambapo watu 1,200 waliuawa na 251 wakatekwa nyara. Zaidi ya Watu 48,180 wameuliwa Gaza tangu mapigano hayo yaanze , hii ni kwa mujibu wa wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas lililokuwa likipigana na Nchi ya Israel.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donlad Trump ametangaza kuwa Nchi yake imedhamiria kununua na kumiliki Ukanda wa Gaza na kuhamisha Wapalestina zaidi ya milioni mbili (2) wanaoishi huko, licha ya pendekezo hilo kupingwa vikali na Jumuiya ya Kimataifa. Rais huyo amewaambia Wanahabari kuwa huenda akaruhusu mataifa ya kiarabu kuhusika katika kukarabati upya sehemu mbalimbali na kuwa atahakikisha Raia wa Palestina wataishi maisha mazuri. Mamlaka ya Palestina na kikundi kilicho na silaha cha Hamas ambao wamekuwa vitani kwa miezi (16) na Israel na kusababisha maafa Gaza, wamemjibu wakisema ardhi ya Palestina sio ya kuuzwa''. Lakini waziri Mkuu mkuu wa Israel 🇮🇱, Benjamin Netanyahu ameipigia upatu pendekezo hilo la Trump akilitaja ni ''mwamko mpya na bunifu''. Haya yamekuja Wiki tatu (3) baada ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza Huku Kundi la Hamas likiachilia huru baadhi ya Mateka wa Nchi ya Israel inayowazuia ili kubadilishana na Wafungwa wa Palestina walioko katika Magerezani Nchini Israel. Wanajeshi wa Israel walianzisha kampeni ya kuvamia na kuharibu Gaza wakijibu shambulizi la kushtukizia la mwezi Oktoba tarehe 7 2023, ambapo watu 1,200 waliuawa na 251 wakatekwa nyara. Zaidi ya Watu 48,180 wameuliwa Gaza tangu mapigano hayo yaanze , hii ni kwa mujibu wa wizara ya afya inayosimamiwa na kundi la Hamas lililokuwa likipigana na Nchi ya Israel.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·140 Visualizações
  • Waziri Mkuu wa Israel , Benjamin Netanyahu, amefikishwa mbele ya mahakama Jijini Tel Aviv kujibu mashtaka ya muda mrefu ya rushwa. Waziri huyo aliwasili akiwa na Timu yake ya Mawakili inayoongozwa na Amit Hadad, baada ya kuamriwa kutoa ushahidi katika kesi tatu (3) za rushwa za mwaka 2019, zinazohusisha zawadi kutoka kwa Marafiki Mamilionea na madai ya kutafuta hisani kutoka kwa Matajiri wa vyombo vya habari kwa kubadilishana na fursa bora ya utangazaji.

    Hata hivyo, Netanyahu amekana mashtaka yote yanayomkabili. Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu (75) ameweka rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Nchini humo kushtakiwa kwa uhalifu.

    Waziri Mkuu wa Israel 🇮🇱, Benjamin Netanyahu, amefikishwa mbele ya mahakama Jijini Tel Aviv kujibu mashtaka ya muda mrefu ya rushwa. Waziri huyo aliwasili akiwa na Timu yake ya Mawakili inayoongozwa na Amit Hadad, baada ya kuamriwa kutoa ushahidi katika kesi tatu (3) za rushwa za mwaka 2019, zinazohusisha zawadi kutoka kwa Marafiki Mamilionea na madai ya kutafuta hisani kutoka kwa Matajiri wa vyombo vya habari kwa kubadilishana na fursa bora ya utangazaji. Hata hivyo, Netanyahu amekana mashtaka yote yanayomkabili. Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu (75) ameweka rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Nchini humo kushtakiwa kwa uhalifu.
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·65 Visualizações
  • A rough sea never made a skilled sailor ,
    Let's keep on fighting
    A rough sea never made a skilled sailor ⚓👊, Let's keep on fighting 👊
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·50 Visualizações
  • Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·37 Visualizações
  • 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·46 Visualizações