Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-16 12:40:27 ·
    Ni mwendo wa kuchambua kila kitu, hakuna cha kupoteza.

    "UZINDUZI WA AIRTEL SDTADIUM,KAPETI LA SINGIDA BLACK STARS..Kudos @singidablackstarssc 👏🏻👏🏻👏🏻

    Wakubwa wa Kariakoo mtapanga kwa watoto Mpaka Lini? Kila Mwaka kuna Michoro mipya ya Uwanja hasa Uchaguzi ukikaribia

    Ukiwa na Kiwanja chako hata Ukituwekea Mabaunsa 10000 Kidogo unaweza Kueleweka.

    Au Ukiwa na Kiwanja Chako Mwenyewe hakuna mtu atakuuliza eti mbona umekuja Kufanya Mazoezi bila Kutoa taarifa?

    Ukiwa na Kiwanja chako unaweza Kuja hata na Ng’ombe Mazoezini ,mbuzi Kitu gani?

    Note; Cha Muhimu zaidi Dimba hili linapatikana Pale MTIPA" - Wilson Orumo, Mchambuzi

    Ni mwendo wa kuchambua kila kitu, hakuna cha kupoteza. "UZINDUZI WA AIRTEL SDTADIUM,KAPETI LA SINGIDA BLACK STARS..Kudos @singidablackstarssc 👏🏻👏🏻👏🏻 Wakubwa wa Kariakoo mtapanga kwa watoto Mpaka Lini? Kila Mwaka kuna Michoro mipya ya Uwanja hasa Uchaguzi ukikaribia 😅😅😅😅🙌 Ukiwa na Kiwanja chako hata Ukituwekea Mabaunsa 10000 Kidogo unaweza Kueleweka. Au Ukiwa na Kiwanja Chako Mwenyewe hakuna mtu atakuuliza eti mbona umekuja Kufanya Mazoezi bila Kutoa taarifa? Ukiwa na Kiwanja chako unaweza Kuja hata na Ng’ombe Mazoezini ,mbuzi Kitu gani? 😅 Note; Cha Muhimu zaidi Dimba hili linapatikana Pale MTIPA✅" - Wilson Orumo, Mchambuzi ✍️
    0 Комментарии ·0 Поделились ·515 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-16 12:40:47 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·125 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-16 12:41:50 ·
    "Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS

    Tukumbuke tarehe March 10, 2025.

    Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March

    Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo

    Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans

    Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS

    Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS

    Kila la heri Young Africans

    Yanga bingwa" - Mwalimu Yanga, Shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga SC.

    "Masaa 72 Yanga waliowapa TPLB yamekwisha, Sasa tukutane CAS Tukumbuke tarehe March 10, 2025. Yanga waliandika barua Kwa bodi ya ligi kudai haki Yao ya magoli 3 pamoja na points 3 na fidia ya Tshs million 56,435,000 baada ya uvunjifu wa mchezo ambao ulikuwa ufanyike tarehe 8 March Simba waliwashinikiza bodi ya ligi katika hali isiyo ya kawaida bodi ya ligi Kwa kuongozwa na hisia na bila ya kufuata kanuni wanavunja mchezo Bodi ya ligi walijulishwa wao wakachagua kukaa kimya bila kujibu madai ya young Africans Sasa baada ya saa 72 kutamatika shauri linaenda kwenye mahakama ya usulihisi wa michezo kimataifa CAS Hapa hata bodi ya ligi walipanga tarehe mpya ya mchezo hakuna kitakachoendelea Kwa kuwa shauri litakuwa CAS Kila la heri Young Africans Yanga bingwa" - Mwalimu Yanga, Shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga SC.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·818 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Youtube Vanced @youtubevanced добавлена новая статья in Music
    2025-03-16 14:40:30 ·
    Can Google Ban My Account for Using Vanced?
    What is YouTube Vanced? YouTube Vanced was a modified version of the official YouTube app that offered premium features like background playback, ad blocking, and dark mode without requiring a YouTube Premium subscription. It gained popularity among users looking to enhance their YouTube experience without paying for Premium. However, it's important to note that YouTube Vanced ceased...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·913 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-03-16 16:44:46 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·286 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-03-16 16:45:02 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·289 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto @Mefa добавлены фото
    2025-03-16 16:45:15 ·
    Love
    1
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·301 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-16 19:26:39 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·137 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-16 19:26:50 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·150 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-16 19:27:07 ·
    Margaret Nduta Macharia (37) ambaye ni Raia wa Kenya aliyekamatwa mwaka 2023 Nchini Vietnam na kilogramu mbili (2) za dawa za kulevya aina ya Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025.

    Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation, Margaret aliyepewa hukumu hiyo Machi 6, 2025 alisema alipewa mzigo huo wa dawa za kulevya na Mwanaume mmoja kutoka Nchini Kenya aliyemtaja kwa jina moja la John. Pia, taarifa hiyo inaeleza kuwa alifanikiwa kupita katika Viwanja vitatu (3) vya Ndege bila kukamatwa, kabla ya kugundulika Nchini Vietnam. Viwanja hivyo ni pamoja na Jomo Kenyatta (Kenya), Bole (Ethiopia) na Hamad (Qatar).

    Hata hivyo, Margaret akijitetea Mahakamani Nchini Vietnam alidai hakufahamu kama mzigo ule ulikuwa ni dawa za kulevya. Taarifa kutoka Nchini Vietnam, Margaret atakula chakula chake cha mwisho kesho saa 1:30 usiku na kisha kunyongwa saa 2:30 za usiku.

    Margaret Nduta Macharia (37) ambaye ni Raia wa Kenya 🇰🇪 aliyekamatwa mwaka 2023 Nchini Vietnam 🇻🇳 na kilogramu mbili (2) za dawa za kulevya aina ya Cocaine, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation, Margaret aliyepewa hukumu hiyo Machi 6, 2025 alisema alipewa mzigo huo wa dawa za kulevya na Mwanaume mmoja kutoka Nchini Kenya aliyemtaja kwa jina moja la John. Pia, taarifa hiyo inaeleza kuwa alifanikiwa kupita katika Viwanja vitatu (3) vya Ndege bila kukamatwa, kabla ya kugundulika Nchini Vietnam. Viwanja hivyo ni pamoja na Jomo Kenyatta (Kenya), Bole (Ethiopia) na Hamad (Qatar). Hata hivyo, Margaret akijitetea Mahakamani Nchini Vietnam alidai hakufahamu kama mzigo ule ulikuwa ni dawa za kulevya. Taarifa kutoka Nchini Vietnam, Margaret atakula chakula chake cha mwisho kesho saa 1:30 usiku na kisha kunyongwa saa 2:30 za usiku.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·817 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (23561-23570 из 26230)
  • «
  • Назад
  • 2355
  • 2356
  • 2357
  • 2358
  • 2359
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики