Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:32:28 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·91 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:33:07 ·
    Jumatano ya Machi 17, 2021, Nchi ya Tanzania iligubikwa na simanzi zito ya kumpoteza Rais wao aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM. Ni kwa mara ya kwanza Taifa hili la Afrika Mashariki kushuhudia Rais aliyekuwa madarakani akifariki dunia. Kifo chake kilitangazwa na Samia Suluhu Hassan, aliyekuwa Makamu wa Rais.

    Dk Magufuli aliyezaliwa Chato Mkoani Geita, Oktoba 29, 1959 alihitimisha utawala wake wa miaka mitano na miezi minne aliouanza Novemba 5, 2015 katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyoma Jijini Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo.

    Leo Jumatatu Machi 17, 2025, ndugu, jamaa na marafiki watamkumbuka kwa Ibada itakayofanyikia Chato ambayo imeandaliwa na familia yake.

    Jumatano ya Machi 17, 2021, Nchi ya Tanzania 🇹🇿 iligubikwa na simanzi zito ya kumpoteza Rais wao aliyekuwa madarakani, Dk John Pombe Magufuli maarufu JPM. Ni kwa mara ya kwanza Taifa hili la Afrika Mashariki kushuhudia Rais aliyekuwa madarakani akifariki dunia. Kifo chake kilitangazwa na Samia Suluhu Hassan, aliyekuwa Makamu wa Rais. Dk Magufuli aliyezaliwa Chato Mkoani Geita, Oktoba 29, 1959 alihitimisha utawala wake wa miaka mitano na miezi minne aliouanza Novemba 5, 2015 katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyoma Jijini Dar es Salaam kwa maradhi ya moyo. Leo Jumatatu Machi 17, 2025, ndugu, jamaa na marafiki watamkumbuka kwa Ibada itakayofanyikia Chato ambayo imeandaliwa na familia yake.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·429 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:34:05 ·
    Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 ambao wapo tayari kuoa.

    Akizungumza katika mashindano ya 25 ya kimataifa ya uhifadhi wa Qur'an yaliyofanyika leo Jumapili, Machi 16, 2023, katika Uwanja wa Mkapa na Uhuru, jijini Dar es Salaam, Sheikh Nurdin Kishki, ambaye ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, amesema kuwa mwaka huu Vijana 200 watakaolipiwa mahari 100 watatoka Tanzania , na wengine 100 kutoka Nchini Burundi .

    "Kutokana na idadi ya watu wasiokuwa kwenye ndoa, mwaka huu tutaozesha vijana 200. Ndoa 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine kwa ndugu zetu wa Burundi. Mahari na gharama nyingine za ndoa tutatoa sisi, Al-Hikma Foundation,"

    Pia, Sheikh Kishki ameeleza kuwa taasisi hiyo itawalipia gharama za tohara kwa watoto wa kiume 1000 Nchini Tanzania. Amesema mambo hayo yanafanyika kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na taasisi hiyo ya kurejesha kwa jamii kupitia mashindano hayo.

    Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al-Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 200 ambao wapo tayari kuoa. Akizungumza katika mashindano ya 25 ya kimataifa ya uhifadhi wa Qur'an yaliyofanyika leo Jumapili, Machi 16, 2023, katika Uwanja wa Mkapa na Uhuru, jijini Dar es Salaam, Sheikh Nurdin Kishki, ambaye ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, amesema kuwa mwaka huu Vijana 200 watakaolipiwa mahari 100 watatoka Tanzania 🇹🇿, na wengine 100 kutoka Nchini Burundi 🇧🇮. "Kutokana na idadi ya watu wasiokuwa kwenye ndoa, mwaka huu tutaozesha vijana 200. Ndoa 100 zitafungwa Tanzania na 100 nyingine kwa ndugu zetu wa Burundi. Mahari na gharama nyingine za ndoa tutatoa sisi, Al-Hikma Foundation," Pia, Sheikh Kishki ameeleza kuwa taasisi hiyo itawalipia gharama za tohara kwa watoto wa kiume 1000 Nchini Tanzania. Amesema mambo hayo yanafanyika kupitia programu maalumu iliyoanzishwa na taasisi hiyo ya kurejesha kwa jamii kupitia mashindano hayo.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·490 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:34:53 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·98 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:35:07 ·
    BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA.

    Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote.

    Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi.

    Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru.

    Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa

    “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa”

    “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72”

    “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi”

    “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga”

    “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana”

    Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa.
    (khalil ufadiga)

    BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA. Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote. Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi. Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru. Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa” “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72” “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi” “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga” “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana” Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa. (khalil ufadiga)
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·814 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:35:28 ·
    Masikini Diamond Platnumz
    Masikini Diamond Platnumz 🤔
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·289 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:36:39 ·
    “Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe,Lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Ijiuzulu. Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu?

    “Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto,Vya Kijinga sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .Kama watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao” - Wallace Karia, Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).

    “Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe,Lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Ijiuzulu. Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu? “Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto,Vya Kijinga sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .Kama watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao” - Wallace Karia, Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·322 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-17 12:36:50 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·113 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernald Peter @Makali123
    2025-03-17 16:25:20 ·
    #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·129 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernald Peter @Makali123
    2025-03-17 16:27:07 ·
    #bernaldpeter#bernaldpeter#bernaldpeter
    #bernaldpeter#bernaldpeter#bernaldpeter
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·126 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (23591-23600 από 24337)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2358
  • 2359
  • 2360
  • 2361
  • 2362
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers