• "Nazielewa sana Frustration za Clement Mzize baada ya Kutolewa

    Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO.

    Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa.

    Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi

    Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu..

    Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa?

    I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.

    "Nazielewa sana Frustration za Clement Mzize baada ya Kutolewa✍️ Imagine wewe ni miongoni mwa top Scorer wa Club na Ligi,unatolewa bado zimebaki Dakika 25 then anaingia IKANGALOMBO. Kufanyiwa Substitution Kwenye Football ni Kitu Kawaida sana lakini unatolewa na anangia nani? Hapa ndo swali Kubwa. Clemet Mzize yupo Kwenye Pick of his Power lazima alazimishe Heshima kutoka Kwenye Benchi la Ufundi Binafsi ningemshangaa sana Kama angetolewa vile then awe anacheka Cheka tu.. Yani Kama hukasiriki ukitolewa sasa hivi ,unakasirika wakati gani? Tena anatakiwa baada ya Mechi akamuulize Kocha Kwanini amemtoa? I like it Clement na inaruhusiwa" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·825 Просмотры
  • KUTOKA MAKTABA
    KUTOKA MAKTABA
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·515 Просмотры
  • 0 Комментарии ·0 Поделились ·161 Просмотры
  • UMAKINI sio ki2
    UMAKINI sio ki2
    0 Комментарии ·0 Поделились ·252 Просмотры
  • Kikosi cha Real Madrid Vs Arsenal
    Kikosi cha Real Madrid Vs Arsenal
    0 Комментарии ·0 Поделились ·535 Просмотры
  • Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao.

    Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa.

    Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.

    Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam 🇻🇳 kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani 🇺🇸 wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao. Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa. Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.
    Like
    Haha
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·993 Просмотры
  • Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·138 Просмотры
  • Rais wa zamani wa Marekani , Barack Obama katika mahojiano na chuo cha Hamilton College Nchini humo aliongea kuhusu hali ya Nchi chini ya muhula wa pili wa Rais wa sasa Donald Trump na alikosoa vikali hatua za hivi karibuni za utawala huo.

    Rais huyo Mstaafu ambaye alitangulia muhula wa kwanza wa Trump, alimkosoa vikali Trump kwa juhudi zake za kubadilisha mfumo wa Serikali ya Shirikisho, kukandamiza uhamiaji na upinzani, pamoja na kuwatisha Wanahabari na Taasisi ya sheria.

    “Hivyo basi, hii ndio mara yangu ya kwanza kuzungumza hadharani kwa muda sasa,” Obama alisema wakati wa mahojiano jukwaani katika Chuo cha Hamilton. “Nimekuwa nikitazama kwa muda.”

    "Hebu fikiria kama ningekuwa nimefanya chochote kati ya haya,”

    “Ni jambo lisilowezekana kufikirika kwamba vyama vilevile vinavyonyamaza sasa vingevumilia tabia kama hiyo kutoka kwangu, au hata kutoka kwa baadhi ya walionitangulia.” alisema Obama

    Obama aliendelea kusema kuwa haamini tangazo jipya la ushuru lililotolewa na Trump “litakuwa zuri kwa Marekani.” Hata hivyo, alieleza kuwa anahofia zaidi kile alichokiita kama uvunjaji wa haki unaofanywa na Ikulu.

    Rais wa zamani wa Marekani 🇺🇸, Barack Obama katika mahojiano na chuo cha Hamilton College Nchini humo aliongea kuhusu hali ya Nchi chini ya muhula wa pili wa Rais wa sasa Donald Trump na alikosoa vikali hatua za hivi karibuni za utawala huo. Rais huyo Mstaafu ambaye alitangulia muhula wa kwanza wa Trump, alimkosoa vikali Trump kwa juhudi zake za kubadilisha mfumo wa Serikali ya Shirikisho, kukandamiza uhamiaji na upinzani, pamoja na kuwatisha Wanahabari na Taasisi ya sheria. “Hivyo basi, hii ndio mara yangu ya kwanza kuzungumza hadharani kwa muda sasa,” Obama alisema wakati wa mahojiano jukwaani katika Chuo cha Hamilton. “Nimekuwa nikitazama kwa muda.” "Hebu fikiria kama ningekuwa nimefanya chochote kati ya haya,” “Ni jambo lisilowezekana kufikirika kwamba vyama vilevile vinavyonyamaza sasa vingevumilia tabia kama hiyo kutoka kwangu, au hata kutoka kwa baadhi ya walionitangulia.” alisema Obama Obama aliendelea kusema kuwa haamini tangazo jipya la ushuru lililotolewa na Trump “litakuwa zuri kwa Marekani.” Hata hivyo, alieleza kuwa anahofia zaidi kile alichokiita kama uvunjaji wa haki unaofanywa na Ikulu.
    Love
    Like
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·946 Просмотры

  • @king Kapeta
    # @ @
    😄😄😄😄🙌🙌🙌🙌🙌 @king Kapeta # @ @
    0 Комментарии ·0 Поделились ·510 Просмотры
  • ,
    @ema
    #king Kapeta
    ,😄😄😄😄🙌🙌🙌 @ema #king Kapeta
    0 Комментарии ·0 Поделились ·447 Просмотры ·1