Dirisha la usajili linafungwa leo Alhamisi, saa 5:59 usiku
Leo klabu ya Simba Sc huenda ikatambulisha mshambuliaji Lionel Ateba raia wa Cameroon akitokea klabu ya USM Alger ya Algeria Taarifa zinasema mchezaji huyo atasaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi.
#paulswai
Dirisha la usajili linafungwa leo Alhamisi, saa 5:59 usiku 🔗Leo klabu ya Simba Sc huenda ikatambulisha mshambuliaji Lionel Ateba raia wa Cameroon akitokea klabu ya USM Alger ya Algeria Taarifa zinasema mchezaji huyo atasaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi.
#paulswai