• Like
    Love
    4
    2 Comments 0 Shares 123 Views 82
  • #socilapop #bernaldpeter #therapist
    #socilapop #bernaldpeter #therapist
    Love
    Like
    Haha
    11
    17 Comments 0 Shares 1K Views
  • Vipimo vya afya vimekamilika vyema kwa Ateba 🩻.
    🩺 Vipimo vya afya vimekamilika vyema kwa Ateba 🩻.
    Love
    3
    2 Comments 0 Shares 316 Views 37
  • It's another day say amen kwenye comment ✊🏿
    It's another day say amen kwenye comment ✊🏿
    Love
    Like
    3
    2 Comments 0 Shares 618 Views

  • Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na msimamizi wa CAF akidai sio uungwana kwa klabu kama Yanga kushindwa kutii maagizo ya CAF angali Taarifa wanayo.

    Hata hivyo kwa mujibu wa Yanga kupitia mmoja wa ofisa wa benchi la ufundi alipopigiwa simu na waandishi kujua shida nini alidai hawana taarifa yoyote ya muda na wapi Mkutano unafanyika
    Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na msimamizi wa CAF akidai sio uungwana kwa klabu kama Yanga kushindwa kutii maagizo ya CAF angali Taarifa wanayo. Hata hivyo kwa mujibu wa Yanga kupitia mmoja wa ofisa wa benchi la ufundi alipopigiwa simu na waandishi kujua shida nini alidai hawana taarifa yoyote ya muda na wapi Mkutano unafanyika
    Love
    1
    1 Comments 0 Shares 143 Views
  • "Moja kati ya wachezaji ambao nilikuwa navutiwa nao katika nchi hii, waliowahi kucheza kwenye ligi kuu ya Tanzania ni Clatous Chama. Ni moja kati ya wachezaji bora, kiwango alichokuwa nacho na mchango wake kwenye timu ni mkubwa sana"

    "Hii ni heshima kubwa kwa mchezaji kama huyo kuja kucheza Young Africans, na haikuwa rahisi pia kumleta. Kwahiyo tusidharau hiki kitu kwa kutuambia eti Chama ni mzee sijui maji ya jioni hizi ni kauli tunazijua sizitaki mbichi hizi,"

    "Dhamira yetu ni ile ile kama Yanga, kila mashindano tunayoshiriki tunataka kubeba kombe, kwahiyo klabu bingwa tukiweka mguu Jumamosi dhamira kubwa na kwa baraka za mwenyezi Mungu kwanini tusiwe timu ya kwanza kuleta kombe la Afrika hapa Tanzania? Hayo ndio malengo yetu," Inj. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC.

    "Moja kati ya wachezaji ambao nilikuwa navutiwa nao katika nchi hii, waliowahi kucheza kwenye ligi kuu ya Tanzania ni Clatous Chama. Ni moja kati ya wachezaji bora, kiwango alichokuwa nacho na mchango wake kwenye timu ni mkubwa sana" "Hii ni heshima kubwa kwa mchezaji kama huyo kuja kucheza Young Africans, na haikuwa rahisi pia kumleta. Kwahiyo tusidharau hiki kitu kwa kutuambia eti Chama ni mzee sijui maji ya jioni hizi ni kauli tunazijua sizitaki mbichi hizi," "Dhamira yetu ni ile ile kama Yanga, kila mashindano tunayoshiriki tunataka kubeba kombe, kwahiyo klabu bingwa tukiweka mguu Jumamosi dhamira kubwa na kwa baraka za mwenyezi Mungu kwanini tusiwe timu ya kwanza kuleta kombe la Afrika hapa Tanzania? Hayo ndio malengo yetu," Inj. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    4
    2 Comments 0 Shares 283 Views
  • Like
    3
    2 Comments 0 Shares 170 Views
  • Like
    Love
    4
    3 Comments 0 Shares 170 Views
  • Like
    4
    3 Comments 0 Shares 176 Views
  • Kwani majini hayaruhusiwi kunyoa kiduku? inabidi tufanye utafiti hapa maana "No Research, No Right to Speak"!

    Naam hili ni kosa la Muongozaji (Director) wa Filamu pamoja na Mtu wake wa "Make Up" maana ndiyo wahusika zaidi katika ubunifu wa muonekano wa Wachezaji (Waigizaji) yaani"Characters".

    Waongozaji simamieni ubora wa kazi zenu, Watazamaji wa sasa siyo wa enzi hizo, Watazamaji wa sasa wanaangalia Filamu kibao za nje hivyo wanajua pumba na mchele ni upi, wakiona kazi fulani wanajua hii ndiyo au hii hapana, hizi siyo enzi za "Nsyuka" jini anaangalia magari asigongwe kisha anavuka barabara, enzi hizo tulishindwa kukosoa kwa sababu tulikuwa nyuma sana kifikra.
    Kwani majini hayaruhusiwi kunyoa kiduku? inabidi tufanye utafiti hapa maana "No Research, No Right to Speak"! 🤣🤣 Naam hili ni kosa la Muongozaji (Director) wa Filamu pamoja na Mtu wake wa "Make Up" maana ndiyo wahusika zaidi katika ubunifu wa muonekano wa Wachezaji (Waigizaji) yaani"Characters". Waongozaji simamieni ubora wa kazi zenu, Watazamaji wa sasa siyo wa enzi hizo, Watazamaji wa sasa wanaangalia Filamu kibao za nje hivyo wanajua pumba na mchele ni upi, wakiona kazi fulani wanajua hii ndiyo au hii hapana, hizi siyo enzi za "Nsyuka" jini anaangalia magari asigongwe kisha anavuka barabara, enzi hizo tulishindwa kukosoa kwa sababu tulikuwa nyuma sana kifikra.
    Like
    Love
    5
    3 Comments 0 Shares 1K Views