Socialpop Socialpop
Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
  • Γίνε Μέλος
    Σύνδεση
    Εγγραφή
    Αναζήτηση
    Night Mode

Κατάλογος

Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village

  • Χρήστες
  • Δημοσιεύσεις
  • Σελίδες
  • Ομάδες
  • Events
  • Blogs
  • Marketplace
  • Χρηματοδότηση
  • Προσφορές
  • Εργασίες
  • Courses
  • Forum
  • Ταινίες
  • Paulswai πρόσθεσε ένα video Γενικά
    2024-08-16 09:16:19 -
    Like
    Love
    4
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 124 Views 82
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Bernald Peter πρόσθεσε μια φωτογραφία & είναι Νιώθω.. Δυνατός
    2024-08-16 09:33:28 -
    #socilapop #bernaldpeter #therapist
    #socilapop #bernaldpeter #therapist
    Love
    Like
    Haha
    11
    17 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai
    πρόσθεσε ένα video Γενικά
    2024-08-16 11:53:27 -
    Vipimo vya afya vimekamilika vyema kwa Ateba 🩻.
    🩺 Vipimo vya afya vimekamilika vyema kwa Ateba 🩻.
    Love
    3
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 317 Views 37
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Van Tawa
    2024-08-16 12:59:06 -
    It's another day say amen kwenye comment ✊🏿
    It's another day say amen kwenye comment ✊🏿
    Love
    Like
    3
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 619 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai
    πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-16 13:46:31 -

    Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na msimamizi wa CAF akidai sio uungwana kwa klabu kama Yanga kushindwa kutii maagizo ya CAF angali Taarifa wanayo.

    Hata hivyo kwa mujibu wa Yanga kupitia mmoja wa ofisa wa benchi la ufundi alipopigiwa simu na waandishi kujua shida nini alidai hawana taarifa yoyote ya muda na wapi Mkutano unafanyika
    Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na msimamizi wa CAF akidai sio uungwana kwa klabu kama Yanga kushindwa kutii maagizo ya CAF angali Taarifa wanayo. Hata hivyo kwa mujibu wa Yanga kupitia mmoja wa ofisa wa benchi la ufundi alipopigiwa simu na waandishi kujua shida nini alidai hawana taarifa yoyote ya muda na wapi Mkutano unafanyika
    Love
    1
    1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 144 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-16 16:52:17 -
    "Moja kati ya wachezaji ambao nilikuwa navutiwa nao katika nchi hii, waliowahi kucheza kwenye ligi kuu ya Tanzania ni Clatous Chama. Ni moja kati ya wachezaji bora, kiwango alichokuwa nacho na mchango wake kwenye timu ni mkubwa sana"

    "Hii ni heshima kubwa kwa mchezaji kama huyo kuja kucheza Young Africans, na haikuwa rahisi pia kumleta. Kwahiyo tusidharau hiki kitu kwa kutuambia eti Chama ni mzee sijui maji ya jioni hizi ni kauli tunazijua sizitaki mbichi hizi,"

    "Dhamira yetu ni ile ile kama Yanga, kila mashindano tunayoshiriki tunataka kubeba kombe, kwahiyo klabu bingwa tukiweka mguu Jumamosi dhamira kubwa na kwa baraka za mwenyezi Mungu kwanini tusiwe timu ya kwanza kuleta kombe la Afrika hapa Tanzania? Hayo ndio malengo yetu," Inj. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC.

    "Moja kati ya wachezaji ambao nilikuwa navutiwa nao katika nchi hii, waliowahi kucheza kwenye ligi kuu ya Tanzania ni Clatous Chama. Ni moja kati ya wachezaji bora, kiwango alichokuwa nacho na mchango wake kwenye timu ni mkubwa sana" "Hii ni heshima kubwa kwa mchezaji kama huyo kuja kucheza Young Africans, na haikuwa rahisi pia kumleta. Kwahiyo tusidharau hiki kitu kwa kutuambia eti Chama ni mzee sijui maji ya jioni hizi ni kauli tunazijua sizitaki mbichi hizi," "Dhamira yetu ni ile ile kama Yanga, kila mashindano tunayoshiriki tunataka kubeba kombe, kwahiyo klabu bingwa tukiweka mguu Jumamosi dhamira kubwa na kwa baraka za mwenyezi Mungu kwanini tusiwe timu ya kwanza kuleta kombe la Afrika hapa Tanzania? Hayo ndio malengo yetu," Inj. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    4
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 284 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-16 16:52:33 -
    Like
    3
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 171 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-16 16:52:52 -
    Like
    Love
    4
    3 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 171 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-16 16:53:07 -
    Like
    4
    3 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 177 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-16 16:53:46 -
    Kwani majini hayaruhusiwi kunyoa kiduku? inabidi tufanye utafiti hapa maana "No Research, No Right to Speak"!

    Naam hili ni kosa la Muongozaji (Director) wa Filamu pamoja na Mtu wake wa "Make Up" maana ndiyo wahusika zaidi katika ubunifu wa muonekano wa Wachezaji (Waigizaji) yaani"Characters".

    Waongozaji simamieni ubora wa kazi zenu, Watazamaji wa sasa siyo wa enzi hizo, Watazamaji wa sasa wanaangalia Filamu kibao za nje hivyo wanajua pumba na mchele ni upi, wakiona kazi fulani wanajua hii ndiyo au hii hapana, hizi siyo enzi za "Nsyuka" jini anaangalia magari asigongwe kisha anavuka barabara, enzi hizo tulishindwa kukosoa kwa sababu tulikuwa nyuma sana kifikra.
    Kwani majini hayaruhusiwi kunyoa kiduku? inabidi tufanye utafiti hapa maana "No Research, No Right to Speak"! 🤣🤣 Naam hili ni kosa la Muongozaji (Director) wa Filamu pamoja na Mtu wake wa "Make Up" maana ndiyo wahusika zaidi katika ubunifu wa muonekano wa Wachezaji (Waigizaji) yaani"Characters". Waongozaji simamieni ubora wa kazi zenu, Watazamaji wa sasa siyo wa enzi hizo, Watazamaji wa sasa wanaangalia Filamu kibao za nje hivyo wanajua pumba na mchele ni upi, wakiona kazi fulani wanajua hii ndiyo au hii hapana, hizi siyo enzi za "Nsyuka" jini anaangalia magari asigongwe kisha anavuka barabara, enzi hizo tulishindwa kukosoa kwa sababu tulikuwa nyuma sana kifikra.
    Like
    Love
    5
    3 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (2551-2560 από 36320)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 254
  • 255
  • 256
  • 257
  • 258
  • Επόμενο
  • »
© 2026 Socialpop Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος