• Timu ya Al-Hilal imeanza mazungumzo na nyota wa Newcastle Alexander Isak' kwaajili ya kumsajiri mchezaji huyo,, Newcastle wamekubaliana na mchakato huo na kuweka dau la €130M kwa mchezaji huyo lakn pia Isak amelithia club yakee ya isimamiee juu ya swala hilooo bila kipingamizii chochote

    #SportsElite
    Timu ya Al-Hilal imeanza mazungumzo na nyota wa Newcastle Alexander Isak' kwaajili ya kumsajiri mchezaji huyo,, Newcastle wamekubaliana na mchakato huo na kuweka dau la €130M kwa mchezaji huyo lakn pia Isak amelithia club yakee ya isimamiee juu ya swala hilooo bila kipingamizii chochote #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·101 Vue
  • Jordi Cruyff: “Xavi alitaka Lamine Yamal aanze kucheza mapema zaidi. Tulilazimika kuzungumza na Mateu kuhusu hilo. Tukamwambia: ‘Xavi, huyu mtoto ana miaka 15 tu na hana mkataba wowote wa kumlinda. Akicheza mechi kumi na kuonyesha kile sisi tayari tunaona ndani yake... tutakuwa tumemweka sokoni bila ulinzi wowote.’”

    #SportsElite
    Jordi Cruyff: “Xavi alitaka Lamine Yamal aanze kucheza mapema zaidi. Tulilazimika kuzungumza na Mateu kuhusu hilo. Tukamwambia: ‘Xavi, huyu mtoto ana miaka 15 tu na hana mkataba wowote wa kumlinda. Akicheza mechi kumi na kuonyesha kile sisi tayari tunaona ndani yake... tutakuwa tumemweka sokoni bila ulinzi wowote.’” #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·300 Vue
  • Kipa wa Burnley James Trafford amekubali kurejea tena kwenye Club yake ya zamani Manchester City kwaajili ya msimu unaokuja

    #SportsElite
    Kipa wa Burnley James Trafford amekubali kurejea tena kwenye Club yake ya zamani Manchester City kwaajili ya msimu unaokuja #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·129 Vue
  • Club ya Manchester city imeweka dau la €60M na offer mbali Bali kwa golikipa wa FC Porto Diogo Costa na pia Club ya PSG imehusishwa juu ya kumuhitaji golikipa huyo

    #SportsElite
    Club ya Manchester city imeweka dau la €60M na offer mbali Bali kwa golikipa wa FC Porto Diogo Costa na pia Club ya PSG imehusishwa juu ya kumuhitaji golikipa huyo #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·228 Vue
  • | BREAKING

    AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza.

    Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza. Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·424 Vue
  • Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.

    Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao.

    #SportsElite
    🚨 Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.💰 Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·299 Vue
  • Federico Chiesa hajaorodheshwa katika kikosi cha Liverpool kwa ziara yao ya maandalizi ya msimu.
    Anatarajiwa ataondoka majira haya ya kiangazi.

    #SportsElite
    Federico Chiesa hajaorodheshwa katika kikosi cha Liverpool kwa ziara yao ya maandalizi ya msimu. 🇮🇹❌ Anatarajiwa ataondoka majira haya ya kiangazi. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·257 Vue
  • Moja kati ya photo kali kabisa ambayo hii picha kupiga thamani yake ni USD 3MILION za kimarekan thamani yake kwa elà za kwetu ni over 6BILION TSHS

    MESSI GOAT LA MCHONGO AKIWA NA BABA YAKE PAPA FIFFA PRESIDENT

    #SportsElite
    Moja kati ya 📸 photo kali kabisa ambayo hii picha kupiga thamani yake ni USD 3MILION za kimarekan thamani yake kwa elà za kwetu ni over 6BILION TSHS MESSI GOAT LA MCHONGO AKIWA NA BABA YAKE PAPA FIFFA PRESIDENT #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·400 Vue
  • Club ya #REALMADRID imetoa orodha ya mishaara ya wachezaji wake.
    Missa Byahel

    #SportsElite
    Club ya #REALMADRID imetoa orodha ya mishaara ya wachezaji wake. Missa Byahel #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·459 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·164 Vue