• Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United.

    Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco.

    (Source: Sport)

    #SportsElite
    🚨 Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United. Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco. (Source: Sport) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·206 Ansichten
  • Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane..


    (Source: Football Insider)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane.. (Source: Football Insider) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·377 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fainali za UEFA Super Cup sasa zitakuwa zinahusisha klabu 𝟒
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fainali za UEFA Super Cup sasa zitakuwa zinahusisha klabu 𝟒 🏆👀
    0 Kommentare ·0 Anteile ·281 Ansichten
  • Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake
    🚨💙❤️ Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake🇸🇦
    0 Kommentare ·0 Anteile ·156 Ansichten
  • Manchester City imekataa ofa ya €25M na nyongeza €5M kutoka kwa Nottingham Forest kumuhitaji Rico Lewis.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    🚨 Manchester City imekataa ofa ya €25M na nyongeza €5M kutoka kwa Nottingham Forest kumuhitaji Rico Lewis. (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·90 Ansichten
  • AS Roma iko kwenye mazungumzo na Aston Villa ili kuipata huduma ya winga Leon Bailey lakini bado Roma haijatuma ofa rasmi..

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    🚨 AS Roma iko kwenye mazungumzo na Aston Villa ili kuipata huduma ya winga Leon Bailey lakini bado Roma haijatuma ofa rasmi.. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·161 Ansichten
  • Wachezaji wa FC Barcelona ambao wanahitaji kuingizwa kwenye mfumo wa La Liga

    Rashford
    Joan Garcia
    Roony Bardghji
    Szczesny
    Gerrard Martin
    🚨🚨Wachezaji wa FC Barcelona ambao wanahitaji kuingizwa kwenye mfumo wa La Liga 🔵🔴 Rashford 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Joan Garcia 🇪🇸 Roony Bardghji 🇸🇪 Szczesny 🇵🇱 Gerrard Martin 🇪🇸
    0 Kommentare ·0 Anteile ·147 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027.

    Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses..

    #SportsElite
    🚨🇬🇭 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027. Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses.. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·262 Ansichten
  • Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21).

    Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari .

    Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya .

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21). Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari . Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya . #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·509 Ansichten
  • Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL);

    Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani.

    Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi.

    Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa.

    Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani.

    Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza.

    Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).

    Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea.

    #SportsElite
    👨‍⚖️🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL); ✅Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani. ✅Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi. ✅Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa. ✅Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani. ✅Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza. ✅Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room). ✅Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·322 Ansichten