0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·35 Views
-
-
-
A space made just for them
Welcome to our Ampang outlet, thoughtfully designed to support every child’s journey. With a sensory-friendly playground, climbing area and mock classrooms for both group and 1-on-1 sessions. We make space for different ways of learning for your child to thrive.
Located in KL Trillion
Visit Now:- https://abcautism.com.my/✨A space made just for them✨ Welcome to our Ampang outlet, thoughtfully designed to support every child’s journey. With a sensory-friendly playground, climbing area and mock classrooms for both group and 1-on-1 sessions. We make space for different ways of learning for your child to thrive. 📍Located in KL Trillion 🌐 Visit Now:- https://abcautism.com.my/0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·120 Views -
Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami
Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini.
Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi.
Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi:
1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga.
2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia.
3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote.
#SportsElite❌⛔🇪🇸Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini. Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi. Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi: 1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga. 2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia. 3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote. #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·88 Views -
Real Madrid pamoja na PSG ziko kwenye mbio za kuiwania saini ya beki Ibrahima Konaté.
Kiwango cha ada ya uhamisho inaweza kutolewa na vilabu vyote viwili..
(Source: Diario AS)
#SportsElite🚨 Real Madrid pamoja na PSG ziko kwenye mbio za kuiwania saini ya beki Ibrahima Konaté. 😳🇫🇷 Kiwango cha ada ya uhamisho inaweza kutolewa na vilabu vyote viwili.. (Source: Diario AS) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·59 Views -
Iwapo Savinho atajiunga na Tottenham, Manchester City imepanga kumnunua Rodrygo..
(Source: Fabrizio Romano)
#SportsElite🚨 Iwapo Savinho atajiunga na Tottenham, Manchester City imepanga kumnunua Rodrygo.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·28 Views -
Manchester City imemuongeza mchezaji Maghnes Akliouche kwenye rada zake .
(Source: Florian Plettenberg)
#SportsElite🚨 Manchester City imemuongeza mchezaji Maghnes Akliouche kwenye rada zake . 🇫🇷🔵 (Source: Florian Plettenberg) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·55 Views -
Manchester United iko tayari kutoa kiasi chochote cha pesa ili kumsajiri Carlos Baleba dirisha hili .
(Source: TEAMtalk)
#SportsElite🚨 Manchester United iko tayari kutoa kiasi chochote cha pesa ili kumsajiri Carlos Baleba dirisha hili . (Source: TEAMtalk) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·35 Views -
Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United.
Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco.
(Source: Sport)
#SportsElite🚨 Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United. Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco. (Source: Sport) #SportsElite0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·60 Views