• Mkeka wa leo katika sportybet code....90C771
    Wahi mkeka nafasi chake
    Mkeka wa leo katika sportybet code....90C771 Wahi mkeka nafasi chake
    Like
    Love
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·48 Visualizações
  • [Neemadish] this is the best app ever congrats
    [Neemadish] this is the best app ever congrats
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·45 Visualizações
  • Story moto kurushwa hivi karibuni kwa kizungu utaipenda na share na wenzako
    [Neemadish]
    Story moto 🔥 kurushwa hivi karibuni kwa kizungu utaipenda na share na wenzako [Neemadish]
    Love
    Like
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·117 Visualizações
  • Story ya leo
    CHARLIE WADE
    ANZA NAYO
    .
    .
    .
    Nyumba ya kifahari ya familia ya Willson imeangazwa kwa mwangaza. Leo usiku ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bi Willson mwenye umri wa miaka sabini, mmiliki wa familia ya Willson. Wajukuu wengi, wajukuu wa kike, na wakwe walitoa zawadi.

    "Bibi, nimesikia unapenda chai. Hii tofali la chai la Pu'er lenye umri wa karne ni lenye thamani ya 500,000 na ni zawadi ya kuzaliwa kwako."

    "Bibi, nimesikia unamwamini Buddha. Hii Buddha ya kioo imechorwa kutoka kwenye jade ya Hetian na ina thamani ya 700,000."

    Bibi Willson aliangalia zawadi mbalimbali na kucheka, kufanya familia nzima kuwa na furaha. Wakati huo huo, mkwe mkubwa wa Bi Willson, Charlie, ghafla alisema: "Bibi, unaweza kunikopesha milioni moja? Bibi Lena kutoka katika kituo cha yatima ana matatizo ya figo na anahitaji pesa kwa matibabu."

    Familia nzima ya Willson ilishangazwa. Kila mtu alimtazama Charlie kwa macho ya kushangaza. Mkwe huyu aliyeishi ndani ni jasiri sana, siyo? Bi Willson alikuwa anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Hakuandaa zawadi yoyote, na pia alidhubutu kumuuliza Bi Willson akamkopeshe milioni moja?

    Miaka mitatu iliyopita, Bwana Willson aliyebaki hai, bila kujua kutoka wapi, alimpata Charlie na kusisitiza kumwozesha mjukuu wake mkubwa, Claire Willson. Wakati huo, Charlie hakuwa na chochote, kama ombaomba, kama ilivyo sasa. Baada ya ndoa hiyo, Baba Mzee alifariki dunia, na tangu wakati huo, familia ya Willson imekuwa ikijaribu kumfukuza.

    ITAENDELEA.........
    Story ya leo CHARLIE WADE ANZA NAYO . . . Nyumba ya kifahari ya familia ya Willson imeangazwa kwa mwangaza. Leo usiku ni sherehe ya kuzaliwa kwa Bi Willson mwenye umri wa miaka sabini, mmiliki wa familia ya Willson. Wajukuu wengi, wajukuu wa kike, na wakwe walitoa zawadi. "Bibi, nimesikia unapenda chai. Hii tofali la chai la Pu'er lenye umri wa karne ni lenye thamani ya 500,000 na ni zawadi ya kuzaliwa kwako." "Bibi, nimesikia unamwamini Buddha. Hii Buddha ya kioo imechorwa kutoka kwenye jade ya Hetian na ina thamani ya 700,000." Bibi Willson aliangalia zawadi mbalimbali na kucheka, kufanya familia nzima kuwa na furaha. Wakati huo huo, mkwe mkubwa wa Bi Willson, Charlie, ghafla alisema: "Bibi, unaweza kunikopesha milioni moja? Bibi Lena kutoka katika kituo cha yatima ana matatizo ya figo na anahitaji pesa kwa matibabu." Familia nzima ya Willson ilishangazwa. Kila mtu alimtazama Charlie kwa macho ya kushangaza. Mkwe huyu aliyeishi ndani ni jasiri sana, siyo? Bi Willson alikuwa anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Hakuandaa zawadi yoyote, na pia alidhubutu kumuuliza Bi Willson akamkopeshe milioni moja? Miaka mitatu iliyopita, Bwana Willson aliyebaki hai, bila kujua kutoka wapi, alimpata Charlie na kusisitiza kumwozesha mjukuu wake mkubwa, Claire Willson. Wakati huo, Charlie hakuwa na chochote, kama ombaomba, kama ilivyo sasa. Baada ya ndoa hiyo, Baba Mzee alifariki dunia, na tangu wakati huo, familia ya Willson imekuwa ikijaribu kumfukuza. ITAENDELEA.........
    Like
    Love
    6
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·388 Visualizações
  • Like
    Love
    Haha
    15
    · 11 Comentários ·0 Compartilhamentos ·614 Visualizações
  • SIRI IMEFICHUKA
    UJUE UGONJWA WA (PID)
    (Pelvic Inflammatory Disease)
    Kwa manufaa zaidi usisite kusoma hadi mwisho....

    Ugonjwa Wa Pid Ni Nini?

    Ugonjwa wa pid ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke.
    Maambukizi haya kutokea ikiwa bakteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus), mirija ya uzazi (Fallopian tubes) na kwenye ovari (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).

    SABABU YA UGONJWA WA PID NI NINI?

    Ugonjwa wa pid husababishwa na magonjwa ya zinaa kama vile kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia).
    Mwili wa mwanamke unapokuwa na afya njema, mlango wa kizazi huwa na uwezo mkubwa wa kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.
    Hata hivyo wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia hasa kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia), mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake na hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.

    JINSI MWANAMKE ANAVYO AMBUKIZWA PID

    Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa ugonjwa wa pid. Njia hizo ni pamoja na:
    A) Kama  Una Ugonjwa Wa Zinaa Na Hujatibiwa.
    B) Kufanya Ngono Zembe Isiyosalama (Yaani Kulala Na Wanaume Tofauti Tofauti).
    C) Kuwa Na Mpenzi Ambaye Ana Wanawake Wengi Nje. 
    D) Kama Umeshawai Kuwa Na Historia Ya Kuugua Pid Kabla. 
    E) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Mara Baada Ya Kutoa Mimba Kwa Njia Zisizo Salama (Post Abortion) Au Mara Baada Ya Mimba Kutoka (Miscarriage).
    F) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Hasa Kipindi Mara Baada Ya Kujifungua (Postpartum Period).
    G) Kutumia Vipandikizi Vya Ndani Ya Mfuko Wa Uzazi (IUCD) Kama Njia Mojawapo Ya Uzazi Wa Mpango.
    H) Kuambukizwa Kupitia Damu Iliyo Na Vimelea Vya Pid. 
    I) Kutuma Sana Vidole Wakati Wa Kusafisha Uke (Excess Vaginal Douching).

    DALILI ZA PID KWA MWANAMKE

     Zipo dalili kadhaa za ugonjwa wa pid kwa mwanamke, miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na;
    A) Kuhisi Maumivu Ya Tumbo Hasa Maeneo Ya Chini Ya Kitovu.
    B) Kupata Maumivu Ya Mgongo.
    C) Kupata Utoko Mchafu Sehemu Za Siri, Utoko Huu Huambatana Na Harufu Mbaya.
    D) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Kukojoa.
    E) Kupata Maumivu/Kutokwa Na Damu Wakati Wa Tendo La Ndoa. 
    F) Kutokwa Damu Bila Mpangilio Wakati Wa Hedhi.
    G) Kupata Homa.
    H) Wakati Fulani Kuhisi Kichefuchefu Kama Mwanamke Mjamzito Na kutapika.


    MADHARA YA PID

    PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke, vitu hivi vinaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi. Madhara yanayoweza kutokea ni pamoja na;

    A) Mimba kutunga nje ya mirija ya uzazi (Ectopic Pregnancy).

    PID ndiyo sababu ya mimba kutunga nje ya kizazi, mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya mirija ya uzazi. Mimba nje ya uzazi husababisha utokaji wa damu usiowakawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.

    B) Ugumba.

    Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba, kushindwa kupata ujauzito. Kadri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi, kuchelewa kupata tiba ya PID kuongeza hatari ya ugumba.

    C) Maumivu Sugu Ya Nyonga.

    PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai hudondoshwa (ovulation).

    D) Tubo Ovarian Abscess.

    PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi kama tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizi hatarishi kwa maisha.

    MADHARA YA PID KWA MJAMZITO

    Yafuatayo ni madhara yanayoweza kutokea kwa mama mjamzito endapo atashindwa kupata tiba ya pid mapema;
    1) Kujifungua kabla ya wakati au ujauzito kuharibika.
    2) Kujifungua mtoto mwenye maambukizi na wakati mwingine hufariki muda mchache baada ya Kujifungua au kujifungua mtoto mfu.
    3) Kuziba kwa mirija ya uzazi.

    JINSI YA KUJIZUIA KUPATA PID

    Kuna njia kadhaa za kuzuia ugonjwa wa pid.
    Njia hizi ni pamoja na;
    A) Kuwai Kuwaona Wataalamu Wa Afya Mara Dalili Za Ugonjwa Zinapoanza Kujitokeza Au Pindi Tu Unapogundua Kuwa Mpenzi Wako Ana Dalili Za Magonjwa Ya Zinaa Au Anatembea Na Wanawake Wengi.
    B) Kufanya Vipimo Mara Kwa Mara Hasa Vipimo Vya Uzazi, Pamoja Na Vipimo Vya Maambukizi Ya Magonjwa Yanayosambazwa Ka Njia Ya Ngono (STI) Hususani Kwa Mgonjwa Wa Chlamydia, Ufanye Vipimo Kila Mwaka Mara Moja.
    C) Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua, mimba kutoka au mara baada ya kutoa mimba ili kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga vyema.
    D) Njia Hakiki Ya Kujizuia Na Maambukizi Haya Ni Kuacha Ngono Zembe

    MATIBABU YA PID

    -MATIBABU YA HOSPITALI
    Matibabu ya pid kwa kutumia dawa yataondoa mara moja maambukizi yanayosababishwa na pid lakini hakuna njia ya kukarabati makovu au uharibifu kwenye njia ya viungo vya uzazi uliotokana na pid. Matibabu ya pid Hospitalini yaweza kuwa:

    A) Antibiotics Za Kutibu Pid.

    Daktari atakuandikia dawa inayoendana na chanzo cha tatizo lako.Utasubiri siku kadhaa kuona kama dawa ulizopewa zinafanya kazi.
    Dawa za Pid zinazotolewa na daktari ni pamoja na; Metronidazole tabs, doxycycline tabs na cefixime tabs

    B) Kumtibu Mpenzi Wako.

    Kuzuia maambukizi yafaa mpenzi wako afanyiwe uchunguzi na atibiwe.

    C) Kuacha Kushiriki Ngono Kwa Muda.

    -MATIBABU YA KUDUMU.
    Kutokana na kutumia bidhaa bora za BF-SUMA mtu utapata tiba sahihi ya kumaliza kabisa maambukizi ya PID kwa kuua vimelea vya magonjwa, kutobu majeraha na kurekebisha mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke.

    Kwa huduma na ushauri wasiliana na mtaalam wa afya kupitia,,,
    0745693900
    #tiba#pid #afya #bfsuma
    🚨🚨🚨SIRI IMEFICHUKA🚨🚨🚨 UJUE UGONJWA WA (PID) (Pelvic Inflammatory Disease) Kwa manufaa zaidi usisite kusoma hadi mwisho.... 💫Ugonjwa Wa Pid Ni Nini? Ugonjwa wa pid ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke. Maambukizi haya kutokea ikiwa bakteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus), mirija ya uzazi (Fallopian tubes) na kwenye ovari (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana). 💫SABABU YA UGONJWA WA PID NI NINI? Ugonjwa wa pid husababishwa na magonjwa ya zinaa kama vile kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia). Mwili wa mwanamke unapokuwa na afya njema, mlango wa kizazi huwa na uwezo mkubwa wa kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni. Hata hivyo wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia hasa kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia), mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake na hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi. 💫JINSI MWANAMKE ANAVYO AMBUKIZWA PID Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa ugonjwa wa pid. Njia hizo ni pamoja na: A) Kama  Una Ugonjwa Wa Zinaa Na Hujatibiwa. B) Kufanya Ngono Zembe Isiyosalama (Yaani Kulala Na Wanaume Tofauti Tofauti). C) Kuwa Na Mpenzi Ambaye Ana Wanawake Wengi Nje.  D) Kama Umeshawai Kuwa Na Historia Ya Kuugua Pid Kabla.  E) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Mara Baada Ya Kutoa Mimba Kwa Njia Zisizo Salama (Post Abortion) Au Mara Baada Ya Mimba Kutoka (Miscarriage). F) Maambukizi Ya Nje Ya Uzazi Hasa Kipindi Mara Baada Ya Kujifungua (Postpartum Period). G) Kutumia Vipandikizi Vya Ndani Ya Mfuko Wa Uzazi (IUCD) Kama Njia Mojawapo Ya Uzazi Wa Mpango. H) Kuambukizwa Kupitia Damu Iliyo Na Vimelea Vya Pid.  I) Kutuma Sana Vidole Wakati Wa Kusafisha Uke (Excess Vaginal Douching). 💫DALILI ZA PID KWA MWANAMKE  Zipo dalili kadhaa za ugonjwa wa pid kwa mwanamke, miongoni mwa dalili hizo ni pamoja na; A) Kuhisi Maumivu Ya Tumbo Hasa Maeneo Ya Chini Ya Kitovu. B) Kupata Maumivu Ya Mgongo. C) Kupata Utoko Mchafu Sehemu Za Siri, Utoko Huu Huambatana Na Harufu Mbaya. D) Kuhisi Maumivu Wakati Wa Kukojoa. E) Kupata Maumivu/Kutokwa Na Damu Wakati Wa Tendo La Ndoa.  F) Kutokwa Damu Bila Mpangilio Wakati Wa Hedhi. G) Kupata Homa. H) Wakati Fulani Kuhisi Kichefuchefu Kama Mwanamke Mjamzito Na kutapika. 💫MADHARA YA PID PID ambayo haikupata tiba inaweza kusababisha makovu na vifuko vyenye maji yenye wadudu kwenye mkondo wa njia ya uzazi ya mwanamke, vitu hivi vinaweza kusababisha madhara ya kudumu kwenye viungo vya uzazi. Madhara yanayoweza kutokea ni pamoja na; A) Mimba kutunga nje ya mirija ya uzazi (Ectopic Pregnancy). PID ndiyo sababu ya mimba kutunga nje ya kizazi, mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya mirija ya uzazi. Mimba nje ya uzazi husababisha utokaji wa damu usiowakawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke. B) Ugumba. Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba, kushindwa kupata ujauzito. Kadri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi, kuchelewa kupata tiba ya PID kuongeza hatari ya ugumba. C) Maumivu Sugu Ya Nyonga. PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai hudondoshwa (ovulation). D) Tubo Ovarian Abscess. PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi kama tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizi hatarishi kwa maisha. 💫MADHARA YA PID KWA MJAMZITO Yafuatayo ni madhara yanayoweza kutokea kwa mama mjamzito endapo atashindwa kupata tiba ya pid mapema; 1) Kujifungua kabla ya wakati au ujauzito kuharibika. 2) Kujifungua mtoto mwenye maambukizi na wakati mwingine hufariki muda mchache baada ya Kujifungua au kujifungua mtoto mfu. 3) Kuziba kwa mirija ya uzazi. 💫JINSI YA KUJIZUIA KUPATA PID Kuna njia kadhaa za kuzuia ugonjwa wa pid. Njia hizi ni pamoja na; A) Kuwai Kuwaona Wataalamu Wa Afya Mara Dalili Za Ugonjwa Zinapoanza Kujitokeza Au Pindi Tu Unapogundua Kuwa Mpenzi Wako Ana Dalili Za Magonjwa Ya Zinaa Au Anatembea Na Wanawake Wengi. B) Kufanya Vipimo Mara Kwa Mara Hasa Vipimo Vya Uzazi, Pamoja Na Vipimo Vya Maambukizi Ya Magonjwa Yanayosambazwa Ka Njia Ya Ngono (STI) Hususani Kwa Mgonjwa Wa Chlamydia, Ufanye Vipimo Kila Mwaka Mara Moja. C) Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua, mimba kutoka au mara baada ya kutoa mimba ili kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga vyema. D) Njia Hakiki Ya Kujizuia Na Maambukizi Haya Ni Kuacha Ngono Zembe 💫MATIBABU YA PID 💧-MATIBABU YA HOSPITALI Matibabu ya pid kwa kutumia dawa yataondoa mara moja maambukizi yanayosababishwa na pid lakini hakuna njia ya kukarabati makovu au uharibifu kwenye njia ya viungo vya uzazi uliotokana na pid. Matibabu ya pid Hospitalini yaweza kuwa: A) Antibiotics Za Kutibu Pid. Daktari atakuandikia dawa inayoendana na chanzo cha tatizo lako.Utasubiri siku kadhaa kuona kama dawa ulizopewa zinafanya kazi. Dawa za Pid zinazotolewa na daktari ni pamoja na; Metronidazole tabs, doxycycline tabs na cefixime tabs B) Kumtibu Mpenzi Wako. Kuzuia maambukizi yafaa mpenzi wako afanyiwe uchunguzi na atibiwe. C) Kuacha Kushiriki Ngono Kwa Muda. 💧-MATIBABU YA KUDUMU. Kutokana na kutumia bidhaa bora za BF-SUMA mtu utapata tiba sahihi ya kumaliza kabisa maambukizi ya PID kwa kuua vimelea vya magonjwa, kutobu majeraha na kurekebisha mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke. Kwa huduma na ushauri wasiliana na mtaalam wa afya kupitia,,, 📞0745693900 #tiba#pid #afya #bfsuma
    Like
    Love
    8
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Like
    Love
    5
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·573 Visualizações
  • #jaiva
    #jaiva
    Like
    Haha
    Love
    8
    · 4 Comentários ·0 Compartilhamentos ·508 Visualizações
  • Umdhaniae ndi kumbe sie.
    Yule rfiki yako kipenzi na yey anarfki yake kipenzi,
    Sasa nd uanjiuliza na kakuuuza
    Wakati anae jua siri zako unamuamini

    # jaiva
    @dox
    Umdhaniae ndi kumbe sie. Yule rfiki yako kipenzi na yey anarfki yake kipenzi, Sasa nd uanjiuliza na kakuuuza Wakati anae jua siri zako unamuamini # jaiva @dox
    Like
    Love
    8
    · 4 Comentários ·0 Compartilhamentos ·492 Visualizações
  • Mwendelezo wa
    CHARLIE WADE 2
    ENDELEA........
    "Charlie alishangaa na alikuwa karibu kugundua. Alipo geuka kichwa chake, mtu mwenye suti nyeusi na nywele za kijivu, mwenye umri wa miaka hamsini, alikuwa amesimama nyuma yake. Macho yakikutana, mtu huyo alimsalimu kwa kumwambia, 'Bwana mdogo, umeteseka kwa miaka mingi!' Charlie akakunja uso, kana kwamba tabia yake ilikuwa imebadilika, na akauliza kwa ukali: 'Je, wewe ni Stephen Thompson?' Mwenzi wake akasema kwa mshangao: 'Bwana Wade, bado unanikumbuka!' Uso wa Charlie ukaganda, na akasema kwa sauti ndogo: 'Bila shaka nakumbuka! Ninawakumbuka kila mmoja wenu! Wakati huo, mlilazimisha wazazi wangu kunichukua kutoka Eastcliff na kukimbia mbali. Wakati huu, wazazi wangu walifariki ghafla. Mimi pia nimekuwa yatima, basi kwa nini unanitafuta sasa!' Stephen Thompson akasema kwa uchungu sana: 'Bwana mdogo, wakati baba yako alipofariki, Bwana Mkongwe Wade alikuwa na huzuni sana pia. Amekuwa akikutafuta kwa miaka mingi. Sasa kwamba mambo yamekuwa mazuri, anataka uje naye kwake!' Charlie akasema kwa ukali: 'Unaweza kwenda, sitamuona kamwe katika maisha yangu.' Stephen Thompson akasema, 'Bwana mdogo, bado unamlaumu Bwana Wade?' 'Bila shaka.' Charlie akasema kwa maneno: 'Sitamsamehe kamwe maishani mwangu!' "Eeh" Stephen Thompson akatoa mlio wa kukata tamaa na kusema: "Kabla sijaja, Bwana Wade alisema labda usimsamehe." "Hilo linamaanisha ana ufahamu wa hali yake!" Stephen Thompson akasema: "Bwana Mkongwe Wade. anajua umeteseka miaka mingi, anataka kukufidia kidogo. Ikiwa hutaki kurudi, atanunua kampuni kubwa zaidi huko Aurous Hill na kuitoa kwako. Zaidi ya hayo, ameniomba kukupa kadi hii. Nywila ni siku yako ya kuzaliwa." Na hayo, Stephen Thompson alimkabidhi kadi ya Citibank ya malipo ya juu. "Bwana Wade, kuna kadi tano kama hizo nchini." Charlie akatikisa kichwa na kusema, "Chukueni, sitaki." Stephen Thompson akasema: "Bwana Wade, kwa mwokozi wako, bado unakosa milioni 2 katika gharama za matibabu. Ikiwa hautalipa, maisha yake yanaweza kuwa hatarini." Charlie akakunja uso: "Unajaribu kunidanganya?" Stephen Thompson alisema kwa haraka, "Situthubutu! Ikiwa utakubali kadi hii, itatosha kulipa pesa." Charlie akauliza, "Kuna pesa ngapi katika kadi hii?" "Bwana amesema, kadi hii ni kama pochi kidogo kwako, si mingi, jumla ya bilioni 10!"

    INAENDELEA.....USIENDE MBALI....
    [Neemadish]
    Mwendelezo wa CHARLIE WADE 2 ENDELEA........ "Charlie alishangaa na alikuwa karibu kugundua. Alipo geuka kichwa chake, mtu mwenye suti nyeusi na nywele za kijivu, mwenye umri wa miaka hamsini, alikuwa amesimama nyuma yake. Macho yakikutana, mtu huyo alimsalimu kwa kumwambia, 'Bwana mdogo, umeteseka kwa miaka mingi!' Charlie akakunja uso, kana kwamba tabia yake ilikuwa imebadilika, na akauliza kwa ukali: 'Je, wewe ni Stephen Thompson?' Mwenzi wake akasema kwa mshangao: 'Bwana Wade, bado unanikumbuka!' Uso wa Charlie ukaganda, na akasema kwa sauti ndogo: 'Bila shaka nakumbuka! Ninawakumbuka kila mmoja wenu! Wakati huo, mlilazimisha wazazi wangu kunichukua kutoka Eastcliff na kukimbia mbali. Wakati huu, wazazi wangu walifariki ghafla. Mimi pia nimekuwa yatima, basi kwa nini unanitafuta sasa!' Stephen Thompson akasema kwa uchungu sana: 'Bwana mdogo, wakati baba yako alipofariki, Bwana Mkongwe Wade alikuwa na huzuni sana pia. Amekuwa akikutafuta kwa miaka mingi. Sasa kwamba mambo yamekuwa mazuri, anataka uje naye kwake!' Charlie akasema kwa ukali: 'Unaweza kwenda, sitamuona kamwe katika maisha yangu.' Stephen Thompson akasema, 'Bwana mdogo, bado unamlaumu Bwana Wade?' 'Bila shaka.' Charlie akasema kwa maneno: 'Sitamsamehe kamwe maishani mwangu!' "Eeh" Stephen Thompson akatoa mlio wa kukata tamaa na kusema: "Kabla sijaja, Bwana Wade alisema labda usimsamehe." "Hilo linamaanisha ana ufahamu wa hali yake!" Stephen Thompson akasema: "Bwana Mkongwe Wade. anajua umeteseka miaka mingi, anataka kukufidia kidogo. Ikiwa hutaki kurudi, atanunua kampuni kubwa zaidi huko Aurous Hill na kuitoa kwako. Zaidi ya hayo, ameniomba kukupa kadi hii. Nywila ni siku yako ya kuzaliwa." Na hayo, Stephen Thompson alimkabidhi kadi ya Citibank ya malipo ya juu. "Bwana Wade, kuna kadi tano kama hizo nchini." Charlie akatikisa kichwa na kusema, "Chukueni, sitaki." Stephen Thompson akasema: "Bwana Wade, kwa mwokozi wako, bado unakosa milioni 2 katika gharama za matibabu. Ikiwa hautalipa, maisha yake yanaweza kuwa hatarini." Charlie akakunja uso: "Unajaribu kunidanganya?" Stephen Thompson alisema kwa haraka, "Situthubutu! Ikiwa utakubali kadi hii, itatosha kulipa pesa." Charlie akauliza, "Kuna pesa ngapi katika kadi hii?" "Bwana amesema, kadi hii ni kama pochi kidogo kwako, si mingi, jumla ya bilioni 10!" INAENDELEA.....USIENDE MBALI....✌️ [Neemadish]
    Love
    Like
    5
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·400 Visualizações