• Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI .

    Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda .

    Yakobo 1:22-23
    [22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.

    [23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.

    Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake.

    Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata.

    Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua.

    Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako.

    Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini.

    Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka.

    Mathayo 7:26-27
    [26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;

    [27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.

    Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga.

    Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia.

    Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja.

    Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua.

    Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri .

    Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto .

    Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi .

    Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake .

    Warumi 2:13
    [13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.

    Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana.

    Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno .

    Karibu katika watsap group letu
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    #build new eden
    #restore men position
    Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI . Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda . Yakobo 1:22-23 [22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. [23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake. Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata. Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua. Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako. Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini. Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka. Mathayo 7:26-27 [26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga; [27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa. Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga. Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia. Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja. Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua. Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri . Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto . Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi . Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake . Warumi 2:13 [13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki. Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana. Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno . Karibu katika watsap group letu https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·51 Views
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·361 Views
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:16
    [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima.

    Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana.

    Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote .

    Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako.

    Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"*

    Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla.

    Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana.

    Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji ..

    Mithali 14:1-2
    [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake;
    Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

    [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA;
    Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.

    Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali .

    Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa.

    Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu.

    Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu

    2 Mambo ya Nyakati 6:40
    [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa.

    Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu.

    MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden
    Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #restore men position
    #build new eden
    2 Mambo ya Nyakati 7:16 [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima. Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana. Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote . Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako. Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"* Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla. Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana. Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji .. Mithali 14:1-2 [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau. Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali . Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa. Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu. Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu 2 Mambo ya Nyakati 6:40 [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa. Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu. MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·333 Views
  • Luka 22:31-32
    [31]
    Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
    :
    [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.

    Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu.
    .
    Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio .

    Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia.

    Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa

    1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu..

    Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu.

    Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao.

    Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya.

    Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu.

    Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu.

    Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa.

    Waebrania 11:8
    [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako

    Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo.

    Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake.

    Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao .

    Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania.

    Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA.

    BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI.

    BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA .
    AMINA ....

    Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build
    new eden .

    Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap.

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #restore men position
    Luka 22:31-32 [31] Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; : [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu. . Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio . Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia. Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa 1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu.. Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu. Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao. Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya. Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu. Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu. Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa. Waebrania 11:8 [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo. Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake. Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao . Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania. Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA. BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI. BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA . AMINA .... Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build new eden . Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·483 Views
  • *Namna ya kuwa na nguvu rohoni na kuweza kushinda*

    Shalom shalom!!!
    Ni jumatatu nyingine BWANA anataka kuendelea kutengeneza washindi na ushindi unapatikana kwa wenye nguvu zake tu.

    Kuna mmbo mengi sana hayawezi kwenda kwa kutumia maarifa yetu ,hekima zetu au hata uzoefu wetu bali yanaitaji nguvu kutoka juu ili itupe ushindi.

    Isaya 40:29-31
    [29] *Huwapa nguvu wazimiao*, *humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.*
    .
    [30]Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka;

    [31]bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.

    Kuna vitu vingi tunavitaka lakini uhalisia hatuwezi kuvipata bila kuwa na nguvu kwani sheria y kupata ni katika kushindana wenzio wanapatia utajiri kwa waganga na wachawi swali wewe unapatia utajiri wapi?

    Unakuta kwa Mungu pia una imani thabiti unajikuta unashindwa kupata nguvu zinazo weza zalisha matokeo.

    Vitu vingi vinavyo milikiwa na watu ambao tegemezi ni wachawi na waganga sisi tunavipata kwa kuongeza nguvu ya Mungu ndani yetu na ile nguvu inazalisha matokeo .

    Mfano mwepesi sana unafanya biashara moja na mtu ambae mwenzio nguvu yake ipo katika waganga yeye anadawa inayo walazimisha wateja waje hata kama hawataki ila wewe ukiwa na nguvu uliyo pewa na Bwana kuwa na hakika utauza na utamshinda sababu maandiko yanasema *hakuna mchawi wala mganga juu ya Yakobo na islaeri*

    *bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia* na nguvu za mungu tunaziatamia kwa kuomba na kumngojea Bwana yeye kwa wakati wake utokea na kuwashangaza wengine.

    Mfano Daudi alishinda vita lakini ukweli kama ungemtafuta msomi na mchmbuzi wa maswala ya vita angekwambia kuwa Goliaths lazima ashinde vita kwa sababu.

    Goliath alikuwa anamzidi daudi karibuni kila kitu.
    -Muonekano
    -Nguvu za mwili(uhodari)
    -miundombinu ya vita (silaha)
    -uweza
    -uzoefu katika uwanja wa vita.

    Kumbuka Goliath alikuwa jemedari wa jeshi na mtu hodari sana katika uwanja wa vita.

    Ko hakukua na namna ambayo ungeweza kumuona Daudi anashinda vita lakini sababu *Daudi alikuwa anatembea n nguvu za Mungu na alijawa na hizo nguvu katikati ya mazingira ya kushindwa aliibuka kuwa mshindi*

    Daudi alishinda vita sababu ya mambo makubwa mawili tu .
    -Alijawa na neno la Mungu (ikazaa imani katika neno)
    -Nguvu za rohoni...

    Kumbe kuna baadhi ya mambo elimu zetu ,uzoefu wetu , connection zetu haziwezi kutusaidia lakini neno la Bwana na Nguvu zake vinatosha kuwa msaada kwetu.

    Lazima ujifunze kumngojea Bwana katika kila jambo ndipo nguvu za Bwana zitakuwa na wewe.

    Yawezekana asubui ya leo umeamka ukitazama kwa kawaida unaona kabisa kuna watu wamekuzidi kila kitu na nafasi ni moja tu katika hiyo kazi natakaukiwa na nguvu wewe utaichuka na wao na GPA zao watabaki wakisubiri.

    Wanauza nguo bei ndogo kuliko wewe lakin i ukiwa na Nguvu za Bwana utauza wewe kuliko wao na wao wataanza kuliimba jina lako .

    Ok nashukuru sana. Omba mungu akupe nguvu zake zikufunike na uanze kuona matunda ya nguvu ya Bwana jumatatu hii .

    Ahsante sana,,naitwa sylvester kutoka (build new eden).

    Karibu tujifunze neno la Mungu kupitia online platform za watsap group.
    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #Restoremenposition
    *Namna ya kuwa na nguvu rohoni na kuweza kushinda* Shalom shalom!!! Ni jumatatu nyingine BWANA anataka kuendelea kutengeneza washindi na ushindi unapatikana kwa wenye nguvu zake tu. Kuna mmbo mengi sana hayawezi kwenda kwa kutumia maarifa yetu ,hekima zetu au hata uzoefu wetu bali yanaitaji nguvu kutoka juu ili itupe ushindi. Isaya 40:29-31 [29] *Huwapa nguvu wazimiao*, *humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.* . [30]Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka; [31]bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia. Kuna vitu vingi tunavitaka lakini uhalisia hatuwezi kuvipata bila kuwa na nguvu kwani sheria y kupata ni katika kushindana wenzio wanapatia utajiri kwa waganga na wachawi swali wewe unapatia utajiri wapi? Unakuta kwa Mungu pia una imani thabiti unajikuta unashindwa kupata nguvu zinazo weza zalisha matokeo. Vitu vingi vinavyo milikiwa na watu ambao tegemezi ni wachawi na waganga sisi tunavipata kwa kuongeza nguvu ya Mungu ndani yetu na ile nguvu inazalisha matokeo . Mfano mwepesi sana unafanya biashara moja na mtu ambae mwenzio nguvu yake ipo katika waganga yeye anadawa inayo walazimisha wateja waje hata kama hawataki ila wewe ukiwa na nguvu uliyo pewa na Bwana kuwa na hakika utauza na utamshinda sababu maandiko yanasema *hakuna mchawi wala mganga juu ya Yakobo na islaeri* *bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia* na nguvu za mungu tunaziatamia kwa kuomba na kumngojea Bwana yeye kwa wakati wake utokea na kuwashangaza wengine. Mfano Daudi alishinda vita lakini ukweli kama ungemtafuta msomi na mchmbuzi wa maswala ya vita angekwambia kuwa Goliaths lazima ashinde vita kwa sababu. Goliath alikuwa anamzidi daudi karibuni kila kitu. -Muonekano -Nguvu za mwili(uhodari) -miundombinu ya vita (silaha) -uweza -uzoefu katika uwanja wa vita. Kumbuka Goliath alikuwa jemedari wa jeshi na mtu hodari sana katika uwanja wa vita. Ko hakukua na namna ambayo ungeweza kumuona Daudi anashinda vita lakini sababu *Daudi alikuwa anatembea n nguvu za Mungu na alijawa na hizo nguvu katikati ya mazingira ya kushindwa aliibuka kuwa mshindi* Daudi alishinda vita sababu ya mambo makubwa mawili tu . -Alijawa na neno la Mungu (ikazaa imani katika neno) -Nguvu za rohoni... Kumbe kuna baadhi ya mambo elimu zetu ,uzoefu wetu , connection zetu haziwezi kutusaidia lakini neno la Bwana na Nguvu zake vinatosha kuwa msaada kwetu. Lazima ujifunze kumngojea Bwana katika kila jambo ndipo nguvu za Bwana zitakuwa na wewe. Yawezekana asubui ya leo umeamka ukitazama kwa kawaida unaona kabisa kuna watu wamekuzidi kila kitu na nafasi ni moja tu katika hiyo kazi natakaukiwa na nguvu wewe utaichuka na wao na GPA zao watabaki wakisubiri. Wanauza nguo bei ndogo kuliko wewe lakin i ukiwa na Nguvu za Bwana utauza wewe kuliko wao na wao wataanza kuliimba jina lako . Ok nashukuru sana. Omba mungu akupe nguvu zake zikufunike na uanze kuona matunda ya nguvu ya Bwana jumatatu hii . Ahsante sana,,naitwa sylvester kutoka (build new eden). Karibu tujifunze neno la Mungu kupitia online platform za watsap group. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #Restoremenposition
    0 Comments ·0 Shares ·471 Views
  • PETER TOSH (1944-1987)

    Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani.

    Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae.

    Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa.

    Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War."

    Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42.

    Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    PETER TOSH (1944-1987) Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani. Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae. Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa. Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War." Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42. Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·509 Views
  • Zaburi 89:35
    [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu,
    Hakika sitamwambia Daudi uongo,

    Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo.

    Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi .

    Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme.

    Zaburi 89:36-37
    [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu*

    [37]Kitathibitika milele kama mwezi;
    Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.

    Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele.

    Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana.

    Wakati watu wanapata
    nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini.

    Zaburi 27:4
    [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA,
    Nalo ndilo nitakalolitafuta,
    *Nikae nyumbani mwa BWANA*
    Siku zote za maisha yangu,
    *Niutazame uzuri wa BWANA*,
    Na kutafakari hekaluni mwake.

    Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme .

    Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa.

    Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo*

    Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake.

    Zaburi 89:34
    *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.*

    Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala .

    *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako*

    Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Simu 0622625340
    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 89:35 [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu, Hakika sitamwambia Daudi uongo, Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo. Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi . Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme. Zaburi 89:36-37 [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu* [37]Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi aliye mbinguni mwaminifu. Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele. Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana. Wakati watu wanapata nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini. Zaburi 27:4 [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, *Nikae nyumbani mwa BWANA* Siku zote za maisha yangu, *Niutazame uzuri wa BWANA*, Na kutafakari hekaluni mwake. Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme . Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa. Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo* Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake. Zaburi 89:34 *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.* Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala . *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako* Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Simu 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·365 Views
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Comments ·0 Shares ·540 Views
  • *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili*

    Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako .

    Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani..

    Mwanzo 27:27-29
    [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema,
    Tazama, harufu ya mwanangu
    Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana:

    [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
    Na ya manono ya nchi,
    Na wingi wa nafaka na mvinyo.
    :
    [29]Mataifa na wakutumikie
    Na makabila wakusujudie,
    Uwe bwana wa ndugu zako,
    Na wana wa mama yako na wakusujudie.
    alaaniwe,
    Na atakayekubariki abarikiwe.

    Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi

    Mwanzo 28:12-15
    [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake.
    And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it.
    [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako.

    [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.
    .
    [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.

    Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo .

    Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli .

    Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?)
    Mwanzo 29:18,21-22,25
    [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako

    [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.
    .
    [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali
    .
    [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


    Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe.

    Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha

    Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia.

    Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti.

    Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri.

    Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako.

    Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao.

    Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye .

    Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."*

    Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe.

    Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave .

    Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri.

    Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza .

    Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu .

    Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    #year of reformation and revival
    *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili* Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako . Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani.. Mwanzo 27:27-29 [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana: [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo. : [29]Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe. Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi Mwanzo 28:12-15 [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake. And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it. [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako. [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa. . [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia. Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo . Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli . Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?) Mwanzo 29:18,21-22,25 [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake. . [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali . [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda? Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe. Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia. Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti. Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri. Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako. Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao. Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye . Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."* Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe. Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave . Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri. Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza . Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu . Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position #year of reformation and revival
    0 Comments ·0 Shares ·543 Views
  • Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana .

    Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university.

    Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma.

    Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake .

    Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."*

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu.

    Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo.

    Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao.

    Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu.

    1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa.

    Waamuzi 6:15

    [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu*

    Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi .

    Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote .

    Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda .

    Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo.

    Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika .

    Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi .

    Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika.

    Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako.

    Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu .

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    #build new eden
    #restore men position
    Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana . Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university. Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma. Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake . Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."* Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu. Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo. Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao. Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu. 1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa. Waamuzi 6:15 [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu* Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi . Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote . Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda . Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo. Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika . Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi . Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika. Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako. Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu . Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·564 Views
  • Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe.

    Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa .

    Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu.

    Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa).

    1.love
    Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba.

    Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua .

    Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri .

    Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu.

    Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love.

    Kipindi cha pili kinaitwa realization.

    Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha .

    Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje.

    Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha .

    Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana .

    Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah.

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Kipindi cha tatu: Redemption period

    Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa .

    Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love .

    Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi.

    Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake.

    Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano

    Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa .

    Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho.

    Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry)

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe. Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa . Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu. Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa). 1.love Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba. Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua . Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri . Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu. Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love. Kipindi cha pili kinaitwa realization. Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha . Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje. Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha . Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana . Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah. Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Kipindi cha tatu: Redemption period Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa . Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love . Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi. Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake. Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa . Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho. Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry) Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·549 Views
  • Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·484 Views
  • *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.*

    Kutoka 15:26
    [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.

    Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu.

    Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa.

    Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana.

    Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata

    Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza.

    Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake.

    Zaburi 91:14-15
    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    Nitamwokoa; na kumweka palipo juu,
    Kwa kuwa amenijua Jina langu.
    .
    [15]Ataniita nami nitamwitikia;
    Nitakuwa pamoja naye taabuni,
    Nitamwokoa na kumtukuza;

    Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha .

    Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake .

    Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye .

    Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua.

    Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine.

    Hesabu 21:2-3
    [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*.

    [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.

    Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba .

    Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo.

    Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda

    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu*

    Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake .

    Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia.

    Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo .

    Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini .

    #build new eden
    #restore men position @
    *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.* Kutoka 15:26 [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye. Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu. Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa. Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana. Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza. Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake. Zaburi 91:14-15 [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu. . [15]Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza; Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha . Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake . Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye . Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua. Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine. Hesabu 21:2-3 [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*. [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma. Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba . Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo. Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu* Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake . Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia. Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo . Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini . #build new eden #restore men position @
    0 Comments ·0 Shares ·573 Views
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·618 Views
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·586 Views
  • Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·563 Views
  • Waamuzi 21:1,18
    [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini.
    .
    [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke.

    Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu .


    Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye.

    Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia.

    Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano.

    Nikifundisha kuhusu agano namaanisha .
    .
    Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo.


    Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung
    .
    Luka 4:18
    Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa

    Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry.

    #Restoremenposition

    #build new eden
    Waamuzi 21:1,18 [1]Basi watu wa Israeli walikuwa wameapa huko katika Mispa, wakisema, Hapana mtu awaye yote kwetu sisi atakayemwoza binti yake kumpa Benyamini. . [18]Lakini sisi hatuwezi kuwaoza binti zetu kwa maana wana wa Israeli walikuwa wameapa, wakisema, Na alaaniwe huyo atakayempa Benyamini mke. Najaribu kukuwazisha kuwa vipi kama kuwa umeoa ukoo ambao asilo yako waliapa kwamba hawataoa khatu wala hawatawaoza khatu . Fikiria sasa umeolewa wewe ni kabila kumi na moja za yakobo umeolewa na benjamini na ukoo wako wallifanya agano la kumlaani benjamini na hata atakaye olewa naye. Hii ndio sababu kiroho tunasema always investigate more ukoo unao enda kuoana nao si tu kila familia. Fikiria walilazimika kuwatafutia wake mabikra kutoka sehemu nyingine lakini si kuvunja kiapo cha agano. Nikifundisha kuhusu agano namaanisha . . Kuna watu mupo kwenye vifungo hivyo na una Yesu kama Bwana wa agano jipya na ujui namna ya kujinasua katika vifungo hivyo. Ila ukijua nguvu iliyoko kwenye damu ya Yesu ndiyo pekee inaweza kukutoa katika vifung . Luka 4:18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa Ukijua ufunuo huu ambao ndiyo neno la kwanza la Yesu basi utaelewa maana ya msalaba vizuri. Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden ministry. #Restoremenposition #build new eden
    Haha
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·535 Views
  • Damu ya Yesu kama damu ya Agano.

    Waebrania 8:6
    *[6]Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora*.

    Agano ni muunganiko wa uhai baina ya Mungu na watu wake.

    Agano pia ni kiapo au makubaliano yaliyoandikwa au ahadi kwa kawaida chini ya muhuri kati ya pande mbili au zaidi hasa kwa ajili ya utekelezaji wa hatua fulani

    Mwanzo 22:16
    *[16]akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,*

    Agano lazima liambatane na kiapo chenye kushuhudiwa na vitu au watu.

    50 Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe

    Ziko aina nyinyi za agano yaweza kuwa

    1.MTU NA MTU
    2.MTU NA VITU
    3.MTU NA SHETANI
    4.MTU NA MUNGU
    5.MUNGU NA VIUMBE VYAKE .
    6.MUNGU NA MTU
    7.MTU NA UZAO WAKE

    Aina zote hizi ili zitamatike au kutimia lazima ziandikwe katika vipokeleo vya sadaka au wengine wanaita vitunza kumbukumbu.

    Yaweza kuwa 1.ARDHI 2.ANGA 3.MAJI 4.MOTO

    Agano lazima liambatane na madhabau kwa maana ya ibada na sadaka.

    Watu wengi sana wanaishi maisha ya mateso pasipo kujua kumbe ni kwa sababu wanaishi ndani ya agano ambalo pengine hata wao hawalijui.

    Sifa za agano
    Agano lenye nguvu huwa lazima liwe la damu.

    Agano lazima libebe matokeo yaneweza kuwa mema(baraka) au mabaya (laana).

    Agano lazima liambatane na maneno au maandishi.

    *Agano huvunjwa na agano*

    Na ahsante Yesu kwa kuwa yeye ndiye bwana wa agano jipya.

    Lengo la Mungu kuja kuleta agano jipya ambalo linamuhusisha Kristo ni kutupa ushindi dhidi ya adui.

    Wagalatia 3:29
    [29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

    Lazima tujue kuomba namna ya kutoka katika masgano ambayo siyo mazuri kwetu na tuyakimbie kabisa.

    Inawezekana kabisa wala usiogope mana maandiko yanasema
    Na imekuwa mtu akiwa ndani ya kristo na amekuwa kiumbe kipya kweli ya kale yote yamesha kwisha kupita

    Natumai umejifunza Mungu akituongoza tunaendelea na sehemu ya pili hapa hapa.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka ( build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Damu ya Yesu kama damu ya Agano. Waebrania 8:6 *[6]Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora*. Agano ni muunganiko wa uhai baina ya Mungu na watu wake. Agano pia ni kiapo au makubaliano yaliyoandikwa au ahadi kwa kawaida chini ya muhuri kati ya pande mbili au zaidi hasa kwa ajili ya utekelezaji wa hatua fulani Mwanzo 22:16 *[16]akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,* Agano lazima liambatane na kiapo chenye kushuhudiwa na vitu au watu. 50 Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe Ziko aina nyinyi za agano yaweza kuwa 1.MTU NA MTU 2.MTU NA VITU 3.MTU NA SHETANI 4.MTU NA MUNGU 5.MUNGU NA VIUMBE VYAKE . 6.MUNGU NA MTU 7.MTU NA UZAO WAKE Aina zote hizi ili zitamatike au kutimia lazima ziandikwe katika vipokeleo vya sadaka au wengine wanaita vitunza kumbukumbu. Yaweza kuwa 1.ARDHI 2.ANGA 3.MAJI 4.MOTO Agano lazima liambatane na madhabau kwa maana ya ibada na sadaka. Watu wengi sana wanaishi maisha ya mateso pasipo kujua kumbe ni kwa sababu wanaishi ndani ya agano ambalo pengine hata wao hawalijui. Sifa za agano Agano lenye nguvu huwa lazima liwe la damu. Agano lazima libebe matokeo yaneweza kuwa mema(baraka) au mabaya (laana). Agano lazima liambatane na maneno au maandishi. *Agano huvunjwa na agano* Na ahsante Yesu kwa kuwa yeye ndiye bwana wa agano jipya. Lengo la Mungu kuja kuleta agano jipya ambalo linamuhusisha Kristo ni kutupa ushindi dhidi ya adui. Wagalatia 3:29 [29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi. Lazima tujue kuomba namna ya kutoka katika masgano ambayo siyo mazuri kwetu na tuyakimbie kabisa. Inawezekana kabisa wala usiogope mana maandiko yanasema Na imekuwa mtu akiwa ndani ya kristo na amekuwa kiumbe kipya kweli ya kale yote yamesha kwisha kupita Natumai umejifunza Mungu akituongoza tunaendelea na sehemu ya pili hapa hapa. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka ( build new eden) #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·501 Views
  • MAISHA NI MWALIMU MKUU...

    Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua.

    Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya.

    Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    MAISHA NI MWALIMU MKUU... Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua. Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya. Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·600 Views
  • Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba.

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa.

    Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa .

    Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa.

    Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa


    Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa .

    Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao .

    Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ?

    Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana.

    Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa?

    Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ?

    Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako.

    Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako.


    Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi .

    Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa. Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa . Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa. Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa . Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao . Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ? Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana. Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa? Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ? Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako. Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako. Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi . Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·535 Views
More Results