• Mnataka awe shabiki wa Yanga Africa mnamlipa? Mjibuni Diwani Kwanza hili Swali ,mnamlipa?

    Maana yake yeye ili awe Shabiki wa Simba Sports au Yanga Africa itategemea tu na wakati huo nani anamlipa??

    Sahauni Kabisa Kuhusu Kuwa baba yake ni Lijendi wa Yanga Africa ,yeye ushabiki wake ni Based on Sasampa tu

    Maana yake Kama Simba Sports wangeendelea Kumpa Mkataba na Kumlipa hakuna namna Leo angejiita Shabiki wa Yanga Africa.

    Tangu Siku ya Kwanza nilisema hapa Sababu iliyotumika Kumleta Yanga ilikuwa ni Makosa .

    Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sababu haiwezi Kuwa eti Kwasababu unaichukia Simba au una Mgogoro na Simba and Vice Versa.This is totally wrong.

    Sababu ya Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sports haiwezi Kuwa Kwasababu unafanya Kazi Yanga au GSM ,Simba Sports au METL.

    Nina msemo wangu maarufu huwezi Kuwa Shabiki wa Yanga ukiwa na miaka 50. Big Nooo

    Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga ni Safari ya Kuwekeza hisia zako. Ni uwajibikaji wa Maisha yako yako yote wakati wa shida na raha.

    So inawezekana Kuna hoja Kwenye baadhi ya Maneno ya Diwani,Lakini nikishasikia anasema yeye ni Shabiki wa Yanga naacha Kumsikiliza hapo hapo .

    Kimsingi Kwa mambo yanavyoelekea Ndugu Yangu Diwani mpaka Sasa hana timu .Manake kule Simba Sports tena nao hawataki hata Kumuona.

    Note; Na najua ndugu yangu mmemnyoa hana ofisi tena Pale Saramander. Kibaya zaidi Kwenye mnuso wa Mtoto wa tajiri napo mmemtosa. Imagine Futari ya Jana Kwa tajiri pia hayumo. I knew for sure he was coming for you .I Knew it

    - Wilson Oruma, Mchambuzi.

    Toa maoni yako
    Mnataka awe shabiki wa Yanga Africa mnamlipa? Mjibuni Diwani Kwanza hili Swali ,mnamlipa? Maana yake yeye ili awe Shabiki wa Simba Sports au Yanga Africa itategemea tu na wakati huo nani anamlipa?? Sahauni Kabisa Kuhusu Kuwa baba yake ni Lijendi wa Yanga Africa ,yeye ushabiki wake ni Based on Sasampa tu Maana yake Kama Simba Sports wangeendelea Kumpa Mkataba na Kumlipa hakuna namna Leo angejiita Shabiki wa Yanga Africa. Tangu Siku ya Kwanza nilisema hapa Sababu iliyotumika Kumleta Yanga ilikuwa ni Makosa . Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sababu haiwezi Kuwa eti Kwasababu unaichukia Simba au una Mgogoro na Simba and Vice Versa.This is totally wrong. Sababu ya Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sports haiwezi Kuwa Kwasababu unafanya Kazi Yanga au GSM ,Simba Sports au METL. Nina msemo wangu maarufu huwezi Kuwa Shabiki wa Yanga ukiwa na miaka 50. Big Nooo Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga ni Safari ya Kuwekeza hisia zako. Ni uwajibikaji wa Maisha yako yako yote wakati wa shida na raha. So inawezekana Kuna hoja Kwenye baadhi ya Maneno ya Diwani,Lakini nikishasikia anasema yeye ni Shabiki wa Yanga naacha Kumsikiliza hapo hapo . Kimsingi Kwa mambo yanavyoelekea Ndugu Yangu Diwani mpaka Sasa hana timu .Manake kule Simba Sports tena nao hawataki hata Kumuona. Note; Na najua ndugu yangu mmemnyoa hana ofisi tena Pale Saramander. Kibaya zaidi Kwenye mnuso wa Mtoto wa tajiri napo mmemtosa. Imagine Futari ya Jana Kwa tajiri pia hayumo. I knew for sure he was coming for you .I Knew it 😅🙌 - Wilson Oruma, Mchambuzi. Toa maoni yako
    0 Commentarii 0 Distribuiri 141 Views
  • Familia ya Kiongozi wa upinzani wa Uganda Bobi Wine yafunguka kukimbia Nchi kufuatia matukio ya siasa na usalama.

    Katika taarifa iliyotolewa, Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha mbele ya Wakaguzi wa haki za binadamu Mjini Geneva kwamba Mke wake, Barbie Itungo Kyagulanyi, na Watoto wao wametoka Uganda kwa sababu za hofu ya maisha yao kufuatia hali tete inayojitokeza nchini mwao baada ya uchaguzi wa Rais.

    Katika hotuba yake kupitia video mbele ya Geneva Summit for Human Rights and Democracy, Bobi Wine alisema wazi: “Mke wangu na Watoto walilazimika kukimbia nchi kwa hofu ya maisha yao.” - Bobi Wine.

    Alifafanua kuwa usalama wa familia yake uliathirika sana kutokana na operesheni za vikosi vya usalama zilizoendelea mara tu baada ya uchaguzi wa 15 Januari 2026, ambapo serikali ilitangaza ushindi wa Rais Yoweri Museveni ambayo Bobi Wine ameipinga kwa madai ya udanganyifu wa kura na ukandamizaji wa upinzani.

    Bobi Wine pia alidai kwamba vikosi vya usalama: “Vilivamia nyumba yangu, vikamtesa Mke wangu, kumfanya asiwe na chaguo ila kuondoka na Watoto wakiwa nje ya nchi.” amesema

    Habari kwamba familia yake imeondoka Uganda na si tu kutoroka nyumba yao ya Magere imetolewa mara tu baada ya miezi ya mvutano mkali, ikiwa ni pamoja na madai ya mashambulizi, ulinzi mkali wa nyumba yao na vitisho vilivyowekwa na baadhi ya Afisa wa usalama.

    Katika maneno yake Mjini Geneva, Bobi Wine pia alijumuisha ombi kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua za kulinda haki za binadamu na kuzuia ukandamizaji wa upinzani nchini Uganda.

    Taarifa hii inakuja katika wakati ambapo Uganda iko chini ya uangalizi wa kimataifa kufuatia ripoti za ghasia, mashambulizi dhidi ya wapinzani wa kisiasa, na madai ya upendeleo wa vyombo vya usalama kuelekea chama tawala.

    Kwa sasa, bado haijafahamika kwa umma ni nchi gani hasa Barbie Itungo Kyagulanyi na Watoto hao wamekwenda, ila uamuzi wao wa kukimbia unachukuliwa kama hatua ya kulinda usalama wa familia katika mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Uganda.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Familia ya Kiongozi wa upinzani wa Uganda Bobi Wine yafunguka kukimbia Nchi kufuatia matukio ya siasa na usalama. Katika taarifa iliyotolewa, Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha mbele ya Wakaguzi wa haki za binadamu Mjini Geneva kwamba Mke wake, Barbie Itungo Kyagulanyi, na Watoto wao wametoka Uganda kwa sababu za hofu ya maisha yao kufuatia hali tete inayojitokeza nchini mwao baada ya uchaguzi wa Rais. Katika hotuba yake kupitia video mbele ya Geneva Summit for Human Rights and Democracy, Bobi Wine alisema wazi: “Mke wangu na Watoto walilazimika kukimbia nchi kwa hofu ya maisha yao.” - Bobi Wine. Alifafanua kuwa usalama wa familia yake uliathirika sana kutokana na operesheni za vikosi vya usalama zilizoendelea mara tu baada ya uchaguzi wa 15 Januari 2026, ambapo serikali ilitangaza ushindi wa Rais Yoweri Museveni ambayo Bobi Wine ameipinga kwa madai ya udanganyifu wa kura na ukandamizaji wa upinzani. Bobi Wine pia alidai kwamba vikosi vya usalama: “Vilivamia nyumba yangu, vikamtesa Mke wangu, kumfanya asiwe na chaguo ila kuondoka na Watoto wakiwa nje ya nchi.” amesema Habari kwamba familia yake imeondoka Uganda na si tu kutoroka nyumba yao ya Magere imetolewa mara tu baada ya miezi ya mvutano mkali, ikiwa ni pamoja na madai ya mashambulizi, ulinzi mkali wa nyumba yao na vitisho vilivyowekwa na baadhi ya Afisa wa usalama. Katika maneno yake Mjini Geneva, Bobi Wine pia alijumuisha ombi kwa Jumuiya ya kimataifa kuhusu hatua za kulinda haki za binadamu na kuzuia ukandamizaji wa upinzani nchini Uganda. Taarifa hii inakuja katika wakati ambapo Uganda iko chini ya uangalizi wa kimataifa kufuatia ripoti za ghasia, mashambulizi dhidi ya wapinzani wa kisiasa, na madai ya upendeleo wa vyombo vya usalama kuelekea chama tawala. Kwa sasa, bado haijafahamika kwa umma ni nchi gani hasa Barbie Itungo Kyagulanyi na Watoto hao wamekwenda, ila uamuzi wao wa kukimbia unachukuliwa kama hatua ya kulinda usalama wa familia katika mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini Uganda. Toa maoni yako #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 274 Views
  • Kylian Mbappé amshambulia Gianluca Prestianni kabla ya mechi marudiano huko Bernabéu.

    Mvutano umeibuka kabla ya pambano kubwa linalotarajiwa kupigwa katika dimba la Santiago Bernabéu Stadium, baada ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Kylian Mbappé kutoa kauli nzito dhidi ya kijana Gianluca Prestianni kisa sakata lake na Vini.

    Katika mahojiano aliyofanya na TNT Sports Brazil, Mbappé hakusita kueleza msimamo wake kuhusu uwezekano wa Prestianni kucheza katika mechi hiyo muhimu.

    “Natumaini sitamuona Prestianni katika Uwanja wa Bernabéu wiki ijayo… kwa hakika hapaswi kucheza katika Uwanja bora zaidi duniani, hastahili kuwa sehemu ya mchezo huo.”

    Kauli hiyo imezua mjadala mpana miongoni mwa mashabiki wa soka, hasa ikizingatiwa ukubwa wa mechi hiyo inayotarajiwa kuzikutanisha klabu mbili zenye historia kubwa barani Ulaya.

    Mbappé aliendelea kusisitiza kuwa, licha ya matarajio yake ya kushuhudia mechi bora, anaamini Prestianni hapaswi kupewa nafasi ya kushiriki.

    “Nina uhakika utakuwa mchezo wa kuvutia sana, klabu mbili za kihistoria zikiwa Uwanjani, lakini kwa mtazamo wangu Prestianni anapaswa kuwa nje.”

    Kauli yake ya mwisho ndiyo imeongeza moto zaidi katika sakata hilo, akitoa maoni yanayoashiria kuwa anatamani hatua kali zichukuliwe.

    “Haya ni maoni yangu, natumaini atafungiwa.”

    Hadi sasa hakuna tamko rasmi kutoka upande wa Prestianni au klabu yake kujibu kauli hizo. Hata hivyo, presha imeongezeka kuelekea mchezo huo, huku mashabiki wakisubiri kuona kama maneno hayo yatageuka kuwa chachu ya ushindani mkali zaidi Uwanjani.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    Kylian Mbappé amshambulia Gianluca Prestianni kabla ya mechi marudiano huko Bernabéu. Mvutano umeibuka kabla ya pambano kubwa linalotarajiwa kupigwa katika dimba la Santiago Bernabéu Stadium, baada ya mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Kylian Mbappé kutoa kauli nzito dhidi ya kijana Gianluca Prestianni kisa sakata lake na Vini. Katika mahojiano aliyofanya na TNT Sports Brazil, Mbappé hakusita kueleza msimamo wake kuhusu uwezekano wa Prestianni kucheza katika mechi hiyo muhimu. “Natumaini sitamuona Prestianni katika Uwanja wa Bernabéu wiki ijayo… kwa hakika hapaswi kucheza katika Uwanja bora zaidi duniani, hastahili kuwa sehemu ya mchezo huo.” Kauli hiyo imezua mjadala mpana miongoni mwa mashabiki wa soka, hasa ikizingatiwa ukubwa wa mechi hiyo inayotarajiwa kuzikutanisha klabu mbili zenye historia kubwa barani Ulaya. Mbappé aliendelea kusisitiza kuwa, licha ya matarajio yake ya kushuhudia mechi bora, anaamini Prestianni hapaswi kupewa nafasi ya kushiriki. “Nina uhakika utakuwa mchezo wa kuvutia sana, klabu mbili za kihistoria zikiwa Uwanjani, lakini kwa mtazamo wangu Prestianni anapaswa kuwa nje.” Kauli yake ya mwisho ndiyo imeongeza moto zaidi katika sakata hilo, akitoa maoni yanayoashiria kuwa anatamani hatua kali zichukuliwe. “Haya ni maoni yangu, natumaini atafungiwa.” Hadi sasa hakuna tamko rasmi kutoka upande wa Prestianni au klabu yake kujibu kauli hizo. Hata hivyo, presha imeongezeka kuelekea mchezo huo, huku mashabiki wakisubiri kuona kama maneno hayo yatageuka kuwa chachu ya ushindani mkali zaidi Uwanjani. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 135 Views
  • “Haijalishi umefanyiwa upasuaji mara ngapi au umejidunga kemikali za aina gani. Ikiwa ulizaliwa ukiwa na DNA ya kiume katika kila seli ya mwili wako, hutokuja kuwa Mwanamke kamwe”

    - Donald Trump, Rais wa Marekani akigusia kuhusu uhuni unaofanywa huku mifumo mingi ya Wanaume ikiendelea kubadilishwa, Trump ameweka wazi hadharani na kuukataa ushoga bila ya kupepesa maneno.

    Toa maoni yako
    #Habari
    “Haijalishi umefanyiwa upasuaji mara ngapi au umejidunga kemikali za aina gani. Ikiwa ulizaliwa ukiwa na DNA ya kiume katika kila seli ya mwili wako, hutokuja kuwa Mwanamke kamwe” - Donald Trump, Rais wa Marekani akigusia kuhusu uhuni unaofanywa huku mifumo mingi ya Wanaume ikiendelea kubadilishwa, Trump ameweka wazi hadharani na kuukataa ushoga bila ya kupepesa maneno. Toa maoni yako #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 131 Views
  • “NATULIZANA” NI WIMBO MBOVU MNO

    Msanii mkubwa kama Diamond Platnumz, kutoa wimbo dhaifu ni kosa lisilosameheka. Natulizana siyo wimbo mbaya tu, bali ni mfano wa wazi kabisa ni kazi isiyoendana na hadhi aliyonayo Diamond Platnumz.

    Maneno aliyoyatumia kwenye wimbo huu ni mepesi mno kupita kiasi hayana ujumbe wa maana, Bali ni mkusanyiko wa maneno ya kawaida ambayo yanasikika mara nyingi kwenye nyimbo nyingine. Kwa Diamond, huu ni uzembe wa kisanaa unaokatisha tamaa kwa sisi mashabiki ambao tunatamani siku moja Grammy Ije hapa nchini.

    Hata nilivyo sikiliza mdundo (beat) nao ni wa kawaida kupita kiasi, hauja nivutia hata kidogo, na hauleti ladha mpya kabisa hasa kwenye hizi harakati za kuinua Bongo fleva kimataifa.

    Samahani sana Diamond Platinumz lakini huu wimbo kwa upande wangu naona kama ni wimbo unaopita tu kwenye masikioni ya watu bila kuacha athari yoyote ile..🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

    Ukweli mchungu ni huu: Nadhani "Natulizana" ni wimbo unaozungumziwa kwasababu jina la Diamond Platnumz lipo juu yake. Kama ungeimbwa na msanii mwingine, usingepata hata nusu ya attention inayopata sasa. Hapa sikosoi kwa chuki, bali ni kwa kisanaa.

    Pia, kwa kifupi "Natulizana" ni wimbo mbovu kabisa, usio na sifa halali za kusifiwa. Diamond Platinumz anauwezo mkubwa sana zaidi ya huu wimbo na mashabiki wanapaswa kuongea ukweli ili wachochee mafanikio zaidi na sio kila kitu kusifia.

    Ni maoni na uchambuzi wa FredMastori

    Toa maoni yako
    #Music
    #Habari
    “NATULIZANA” NI WIMBO MBOVU MNO Msanii mkubwa kama Diamond Platnumz, kutoa wimbo dhaifu ni kosa lisilosameheka. Natulizana siyo wimbo mbaya tu, bali ni mfano wa wazi kabisa ni kazi isiyoendana na hadhi aliyonayo Diamond Platnumz. Maneno aliyoyatumia kwenye wimbo huu ni mepesi mno kupita kiasi hayana ujumbe wa maana, Bali ni mkusanyiko wa maneno ya kawaida ambayo yanasikika mara nyingi kwenye nyimbo nyingine. Kwa Diamond, huu ni uzembe wa kisanaa unaokatisha tamaa kwa sisi mashabiki ambao tunatamani siku moja Grammy Ije hapa nchini. Hata nilivyo sikiliza mdundo (beat) nao ni wa kawaida kupita kiasi, hauja nivutia hata kidogo, na hauleti ladha mpya kabisa hasa kwenye hizi harakati za kuinua Bongo fleva kimataifa. Samahani sana Diamond Platinumz lakini huu wimbo kwa upande wangu naona kama ni wimbo unaopita tu kwenye masikioni ya watu bila kuacha athari yoyote ile..🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Ukweli mchungu ni huu: Nadhani "Natulizana" ni wimbo unaozungumziwa kwasababu jina la Diamond Platnumz lipo juu yake. Kama ungeimbwa na msanii mwingine, usingepata hata nusu ya attention inayopata sasa. Hapa sikosoi kwa chuki, bali ni kwa kisanaa. Pia, kwa kifupi "Natulizana" ni wimbo mbovu kabisa, usio na sifa halali za kusifiwa. Diamond Platinumz anauwezo mkubwa sana zaidi ya huu wimbo na mashabiki wanapaswa kuongea ukweli ili wachochee mafanikio zaidi na sio kila kitu kusifia. Ni maoni na uchambuzi wa FredMastori Toa maoni yako #Music #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 164 Views
  • Rushaynah afunguka: Bado anamtamani Khalid Aucho.

    Mwigizaji wa filamu na Mwanamitandao maarufu Tanzania, Rushaynah, ambaye ni Mke wa zamani wa Diwani wa Kariakoo, Haji Manara, amefunguka kuhusu hisia zake za mapenzi na Mchezaji wa Singida Big Star, Khalid Aucho.

    Katika mahojiano ya hivi karibuni, Rushaynah ameeleza wazi kuwa bado anamtamani Aucho, huku akibainisha mvuto wake kwa Mchezaji huyo: "Aucho ni Mwanaume mwenye mvuto sana ananivutia sana nahitaji Mwanaume kama yeye, Hata kama ana Mwanamke lakini kwangu bado ana-nafasi."

    Kwa maneno haya, Rushaynah anaonyesha wazi kuwa ingawa Aucho ana uhusiano mwingine, kwake bado bado kuna nafasi ya hisia. Hii imemfanya Mwigizaji huyo kushiriki hadhira yake, hisia za ndani, jambo ambalo limevutia mashabiki wengi mitandaoni.

    Toa maoni yako
    Rushaynah afunguka: Bado anamtamani Khalid Aucho. Mwigizaji wa filamu na Mwanamitandao maarufu Tanzania, Rushaynah, ambaye ni Mke wa zamani wa Diwani wa Kariakoo, Haji Manara, amefunguka kuhusu hisia zake za mapenzi na Mchezaji wa Singida Big Star, Khalid Aucho. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Rushaynah ameeleza wazi kuwa bado anamtamani Aucho, huku akibainisha mvuto wake kwa Mchezaji huyo: "Aucho ni Mwanaume mwenye mvuto sana ananivutia sana nahitaji Mwanaume kama yeye, Hata kama ana Mwanamke lakini kwangu bado ana-nafasi." Kwa maneno haya, Rushaynah anaonyesha wazi kuwa ingawa Aucho ana uhusiano mwingine, kwake bado bado kuna nafasi ya hisia. Hii imemfanya Mwigizaji huyo kushiriki hadhira yake, hisia za ndani, jambo ambalo limevutia mashabiki wengi mitandaoni. Toa maoni yako
    0 Commentarii 0 Distribuiri 179 Views
  • Jay-Z: Nguzo ya kulinda haki na mustakabali wa Wasanii wa Hip-Hop Marekani.

    Katika historia ya muziki wa hip-hop, jina la Jay-Z linasimama kama alama ya uongozi, mshikamano na utetezi wa haki za Wasanii. Mbali na mafanikio yake ya kisanii na kibiashara, Jay-Z amejijengea heshima kubwa kwa vitendo vya moja kwa moja vilivyobadili maisha na taaluma za Wasanii wengi wakubwa.

    Moja ya hatua zake zilizoacha alama ni kulipia deni la kodi la Lil Wayne lililofikia dola milioni saba za Marekani, hatua iliyomwondolea mzigo mkubwa Mwanamuziki huyo. Aidha, Jay-Z alichangia kwa kiwango kikubwa katika kumtoa Meek Mill Gerezani na baadaye kumsaidia kusaini mkataba wake wa kwanza na kampuni kubwa ya muziki, hatua iliyofungua ukurasa mpya katika maisha yake ya kisanii.

    Katika masuala ya uhamiaji, Jay-Z alitumia rasilimali zake kuajiri Mawakili bingwa na kuzuia kufukuzwa nchini Marekani kwa 21 Savage, akisisitiza kuwa haki na utu wa Msanii ni muhimu kuliko taratibu kandamizi. Kwa upande wa biashara ya muziki, alimrudishia Rihanna umiliki kamili wa masters zake, hatua inayowapa Wasanii udhibiti kamili wa kazi zao.

    Jay-Z pia alihusika katika kumwondoa DMX kwenye mkataba mgumu na kampuni ya Def Jam, akilenga kumpa uhuru zaidi wa kiubunifu. Alimsaini J. Cole na kumpa uhuru kamili wa ubunifu, mfano hai wa jinsi anavyothamini sauti halisi ya Msanii. Kwa miaka mingi, amekuwa mstari wa mbele kutetea haki za Wasanii na kuhakikisha wanalindwa kisheria.

    Katika sakata la mikataba dhalimu, Jay-Z alimsaidia Hit-Boy kujinasua kutoka mkataba wa uchapishaji wa miaka 18 uliokuwa wa kinyonyaji. Vilevile, ametoa msaada mkubwa kwa Wanamuziki Wanawake na Watayarishaji wa muziki, pamoja na kusimamia utetezi wa maandishi ya Wasanii Mahakamani.

    Hatua nyingine kubwa ni kununua masters za Kanye West na kumrudishia mmiliki halali, sambamba na juhudi zake kuhakikisha Wasanii wanapata royalties na haki zao za uchapishaji kwa wakati na kwa haki.

    Kwa kuzingatia mchango huu mpana, wengi wanakubaliana na kauli kwamba “Hakuna aliyefanya makubwa zaidi kwa ajili ya Marapa na Wasanii wa hip-hop kama Jay-Z.” Ni urithi wa vitendo, si maneno, unaoendelea kuunda mustakabali bora wa tasnia ya muziki.

    Toa maoni yako
    Jay-Z: Nguzo ya kulinda haki na mustakabali wa Wasanii wa Hip-Hop Marekani. Katika historia ya muziki wa hip-hop, jina la Jay-Z linasimama kama alama ya uongozi, mshikamano na utetezi wa haki za Wasanii. Mbali na mafanikio yake ya kisanii na kibiashara, Jay-Z amejijengea heshima kubwa kwa vitendo vya moja kwa moja vilivyobadili maisha na taaluma za Wasanii wengi wakubwa. Moja ya hatua zake zilizoacha alama ni kulipia deni la kodi la Lil Wayne lililofikia dola milioni saba za Marekani, hatua iliyomwondolea mzigo mkubwa Mwanamuziki huyo. Aidha, Jay-Z alichangia kwa kiwango kikubwa katika kumtoa Meek Mill Gerezani na baadaye kumsaidia kusaini mkataba wake wa kwanza na kampuni kubwa ya muziki, hatua iliyofungua ukurasa mpya katika maisha yake ya kisanii. Katika masuala ya uhamiaji, Jay-Z alitumia rasilimali zake kuajiri Mawakili bingwa na kuzuia kufukuzwa nchini Marekani kwa 21 Savage, akisisitiza kuwa haki na utu wa Msanii ni muhimu kuliko taratibu kandamizi. Kwa upande wa biashara ya muziki, alimrudishia Rihanna umiliki kamili wa masters zake, hatua inayowapa Wasanii udhibiti kamili wa kazi zao. Jay-Z pia alihusika katika kumwondoa DMX kwenye mkataba mgumu na kampuni ya Def Jam, akilenga kumpa uhuru zaidi wa kiubunifu. Alimsaini J. Cole na kumpa uhuru kamili wa ubunifu, mfano hai wa jinsi anavyothamini sauti halisi ya Msanii. Kwa miaka mingi, amekuwa mstari wa mbele kutetea haki za Wasanii na kuhakikisha wanalindwa kisheria. Katika sakata la mikataba dhalimu, Jay-Z alimsaidia Hit-Boy kujinasua kutoka mkataba wa uchapishaji wa miaka 18 uliokuwa wa kinyonyaji. Vilevile, ametoa msaada mkubwa kwa Wanamuziki Wanawake na Watayarishaji wa muziki, pamoja na kusimamia utetezi wa maandishi ya Wasanii Mahakamani. Hatua nyingine kubwa ni kununua masters za Kanye West na kumrudishia mmiliki halali, sambamba na juhudi zake kuhakikisha Wasanii wanapata royalties na haki zao za uchapishaji kwa wakati na kwa haki. Kwa kuzingatia mchango huu mpana, wengi wanakubaliana na kauli kwamba “Hakuna aliyefanya makubwa zaidi kwa ajili ya Marapa na Wasanii wa hip-hop kama Jay-Z.” Ni urithi wa vitendo, si maneno, unaoendelea kuunda mustakabali bora wa tasnia ya muziki. Toa maoni yako
    0 Commentarii 0 Distribuiri 212 Views
  • NENO LA LEO(MKABIZI MUNGU HAJA ZAKO)
    Mithali 16:3-4
    [3]Mkabidhi BWANA kazi zako,
    Na mawazo yako yatathibitika.
    [4]BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake;

    Ukimkabizi BWANA Mambo yako ,maana yake unataka Mungu aingilie kati kila jambo lako na kila jambo langu pia.

    Na tunakubaliana MUNGU ndo mwenye sababu ya uzima na kusudi letu la kuishi,k ukimkabizi maisha yako maana yake unataka Bwana aamue kuingilia kusudi lako na kulisimamia.

    1 Mambo ya Nyakati 17:27
    kwa hiyo nakuomba uibariki nyumba yangu, mimi mtumishi wako, ili idumu milele mbele yako; kwani unachobariki wewe, huwa kimebarikiwa milele..

    Tukimkabizi Mungu vitu vyetu akivizingira na kuvibariki vinadumu milele yote .

    Natamani sote tumpe Mungu na kumkabizi kila jambo kwetu ili Mungu aingilie kati maisha yetu .

    Na nikisema kumkabizi Bwana, namaanisha kwamba kuongozwa na Bwana na kupiga hatua katika maisha yako.

    Nakuombea Mungu akuongoze katika kila jambo na kila jambo liwe linaanza na Mungu wako.

    Nikutakie asubui njema na siku njema.

    Kwa mafundisho zaidi jiunge na link hapo chini

    https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ndio_wale_tunao piganiwa_na_Bwana.
    NENO LA LEO(MKABIZI MUNGU HAJA ZAKO) Mithali 16:3-4 [3]Mkabidhi BWANA kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika. [4]BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Ukimkabizi BWANA Mambo yako ,maana yake unataka Mungu aingilie kati kila jambo lako na kila jambo langu pia. Na tunakubaliana MUNGU ndo mwenye sababu ya uzima na kusudi letu la kuishi,k ukimkabizi maisha yako maana yake unataka Bwana aamue kuingilia kusudi lako na kulisimamia. 1 Mambo ya Nyakati 17:27 kwa hiyo nakuomba uibariki nyumba yangu, mimi mtumishi wako, ili idumu milele mbele yako; kwani unachobariki wewe, huwa kimebarikiwa milele.. Tukimkabizi Mungu vitu vyetu akivizingira na kuvibariki vinadumu milele yote . Natamani sote tumpe Mungu na kumkabizi kila jambo kwetu ili Mungu aingilie kati maisha yetu . Na nikisema kumkabizi Bwana, namaanisha kwamba kuongozwa na Bwana na kupiga hatua katika maisha yako. Nakuombea Mungu akuongoze katika kila jambo na kila jambo liwe linaanza na Mungu wako. Nikutakie asubui njema na siku njema. Kwa mafundisho zaidi jiunge na link hapo chini https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ndio_wale_tunao piganiwa_na_Bwana.
    0 Commentarii 0 Distribuiri 903 Views
  • Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza.

    #Warumi 7:18-19
    [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.

    [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
    .
    Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini.

    Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa.

    #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako.

    #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka.

    #Mwanzo 39:11-12
    [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani;

    [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.

    Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa

    1 Wakorintho 6:18
    [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

    #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata .

    Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una.

    Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi.

    Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena

    #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani.

    Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi.

    Isaya 6:5-7
    [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.

    [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;

    [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.

    Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake.

    MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)

    #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.
    Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza. #Warumi 7:18-19 [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati. [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo. . Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini. Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa. #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako. #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka. #Mwanzo 39:11-12 [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani; [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje. Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa 1 Wakorintho 6:18 [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata . Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una. Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi. Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani. Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi. Isaya 6:5-7 [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi. [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu; [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa. Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake. MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.
    0 Commentarii 0 Distribuiri 1K Views
  • NENO LA SIKU

    Isaya 43:18–19
    Msiyakumbuke ya kale, wala msiyatafakari ya zamani. Tazama, nitatenda jambo jipya; sasa litachipuka; je, hamtalijua? Nitaweka njia nyikani, na mito jangwani.

    Bwana anatutaka tumtazame yeye katika kila jambo ,

    Background,hadithi za zamani zisitufanye tujione kama wakosefu sana kiasi cha kushundwa kuomba tena.

    Historia ya familia unayo tokea isikufanye ujione kama uwezi kufanya jambo kubwa kesho ,Bwana anasema atafanya jambo jipya usilo liweza , atafanya mambo makuu usiyo yafikiri fikiri.

    Bwana anasema hivi tusitafakari juu ya njia zetu mbovu za kale badala yake tumuombe yeye tu afanye jambo jipya.

    BWANA akatende jambo jipya kwenye maisha yako na maisha yangu pia katika jina la YESU

    Yale yote tusiyo yaweza Bwana akatupe kusimama tena na kuyafanya kwa ukubwa Sana kwa kuwa mwaka umeanza kwa nguvu mpya naakiri mpya.

    2 Wakorintho 5:17
    [17]Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.

    Natamani jambo jipya kwetu kama Yesu alivyo tufanya tuwe viumbe vipya ndivyo jambo jipya lizaliwe katika maisha yetu.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ ndio_ wale_tunao_piganiwa_na _Bwana.
    NENO LA SIKU Isaya 43:18–19 Msiyakumbuke ya kale, wala msiyatafakari ya zamani. Tazama, nitatenda jambo jipya; sasa litachipuka; je, hamtalijua? Nitaweka njia nyikani, na mito jangwani. Bwana anatutaka tumtazame yeye katika kila jambo , Background,hadithi za zamani zisitufanye tujione kama wakosefu sana kiasi cha kushundwa kuomba tena. Historia ya familia unayo tokea isikufanye ujione kama uwezi kufanya jambo kubwa kesho ,Bwana anasema atafanya jambo jipya usilo liweza , atafanya mambo makuu usiyo yafikiri fikiri. Bwana anasema hivi tusitafakari juu ya njia zetu mbovu za kale badala yake tumuombe yeye tu afanye jambo jipya. BWANA akatende jambo jipya kwenye maisha yako na maisha yangu pia katika jina la YESU Yale yote tusiyo yaweza Bwana akatupe kusimama tena na kuyafanya kwa ukubwa Sana kwa kuwa mwaka umeanza kwa nguvu mpya naakiri mpya. 2 Wakorintho 5:17 [17]Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. Natamani jambo jipya kwetu kama Yesu alivyo tufanya tuwe viumbe vipya ndivyo jambo jipya lizaliwe katika maisha yetu. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ ndio_ wale_tunao_piganiwa_na _Bwana.
    0 Commentarii 0 Distribuiri 592 Views
  • NENO LA SIKU.

    NAKUOMBEA SIKU YA LEO IKAWE SIKU YA KUFUJGULIWA KWA MALANGO YAKOPANDE ZOTE NNE ZA NCHI.

    BWANA AKAFUNGUE MALANGO YAKO YA FURSA ,MALANGO YAKO YA NDOA ,MALANGO YAKO YA UCHUMI,MALANGO YAKO YA BISHARA .

    Isaya 60:11
    [11]Malango yako nayo yatakuwa wazi daima;
    Hayatafungwa mchana wala usiku;
    Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa,
    Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao.

    MALANGO YAKO YAWE WAZI WAKATI HUO HUO MUNGU AKUSOGEZEEE WATU SAHIHI AMBAO WATAKUJA KUKULETEA UTAJIRI KONA ZOTE ZA NCHI.

    MUNGU AKAKUFANYE KUWA SUMAKU INAYO WEZA KUVUTA WATU WA MAANA WAKATI MALANGO YAKO YAKO WAZI.

    Isaya 60:14

    [14]Na wana wa watu wale waliokutesa
    Watakuja kwako na kukuinamia;
    Nao wote waliokudharau
    Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako;
    Nao watakuita, Mji wa BWANA,
    Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli.

    KILA ADUI YAKO ALIYE KUTESA ATAANGUKA MBELE YAKO NA WEWE UTASHUHUDIA WAZI WAZI NAWE UTASEMA BWANA KANILETEA MFALME WA SIHONI NIMPIGE MBELE YANGU

    NA BAADA TU YA KUMPIGA MALANGO YATAANZA KUWA WAZI WAKATI WOTE NA WAFALME KUTOKA MBALI YA NCHI WATAKUSANYANA WAKITAKA KUJUA KUKUONA WAKIAMBIANA YULE NDIYE BWANA ALIYE MBARIKI NA KUMPA MILKI YOTE YA NCHI HII.

    Sylvester Mwakabende
    0622625340
    #2026_SISI_NDOO_WALE_TUNAO PIGANIWA_NA _BWANA.
    NENO LA SIKU. NAKUOMBEA SIKU YA LEO IKAWE SIKU YA KUFUJGULIWA KWA MALANGO YAKOPANDE ZOTE NNE ZA NCHI. BWANA AKAFUNGUE MALANGO YAKO YA FURSA ,MALANGO YAKO YA NDOA ,MALANGO YAKO YA UCHUMI,MALANGO YAKO YA BISHARA . Isaya 60:11 [11]Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Na wafalme wao wakiongozwa pamoja nao. MALANGO YAKO YAWE WAZI WAKATI HUO HUO MUNGU AKUSOGEZEEE WATU SAHIHI AMBAO WATAKUJA KUKULETEA UTAJIRI KONA ZOTE ZA NCHI. MUNGU AKAKUFANYE KUWA SUMAKU INAYO WEZA KUVUTA WATU WA MAANA WAKATI MALANGO YAKO YAKO WAZI. Isaya 60:14 [14]Na wana wa watu wale waliokutesa Watakuja kwako na kukuinamia; Nao wote waliokudharau Watajiinamisha hata nyayo za miguu yako; Nao watakuita, Mji wa BWANA, Sayuni wa Mtakatifu wa Israeli. KILA ADUI YAKO ALIYE KUTESA ATAANGUKA MBELE YAKO NA WEWE UTASHUHUDIA WAZI WAZI NAWE UTASEMA BWANA KANILETEA MFALME WA SIHONI NIMPIGE MBELE YANGU NA BAADA TU YA KUMPIGA MALANGO YATAANZA KUWA WAZI WAKATI WOTE NA WAFALME KUTOKA MBALI YA NCHI WATAKUSANYANA WAKITAKA KUJUA KUKUONA WAKIAMBIANA YULE NDIYE BWANA ALIYE MBARIKI NA KUMPA MILKI YOTE YA NCHI HII. Sylvester Mwakabende 0622625340 #2026_SISI_NDOO_WALE_TUNAO PIGANIWA_NA _BWANA.
    0 Commentarii 0 Distribuiri 706 Views
  • Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu".

    Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe.

    Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.”

    Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi.

    Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko.

    Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.”

    Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao.

    Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    Vurugu mitandaoni! Ned Nwoko amvaa Regina Daniels, asema "ameharibu familia yetu". Mitandao ya kijamii imewaka moto kufuatia tuhuma nzito zilizotolewa na Bilionea na mwanasiasa mashuhuri kutoka Nigeria, Prince Ned Nwoko, dhidi ya Mke wake, Mwigizaji maarufu wa filamu za Nigeria (Nollywood) Regina Daniels. Kupitia chapisho la video kwenye ukurasa wake wa Instagram, Nwoko amemshutumu Regina kwa kile alichokiita "vurugu za kupindukia" pamoja na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na pombe. Katika maneno yake, Ned aliandika: “Hakuwa hivi mwanzo… kile kinachotokea sasa kimeharibu kabisa utulivu wa familia yetu.” Nwoko alieleza kuwa ndani ya saa 48, Regina alifanya fujo kubwa nyumbani kwao akiwapiga Wafanyakazi watatu wa ndani, kuharibu mali, na kusababisha uharibifu mkubwa bila sababu ya msingi. Kwa mujibu wa chapisho hilo la Instagram: “Nimetoa masharti ya wazi kwake. Lazima akubali kwenda kwenye tiba ya kuacha dawa, iwe ndani au nje ya Nchi. Vinginevyo, naogopa kwa usalama wake.” - Prince Ned Nwoko. Katika tuhuma hizo, Ned alimtaja mtu aitwaye Sammy kama Muuzaji mkuu wa dawa kwa Regina, huku pia akilitaja jina la Ann, akisema anahusika katika kile alichokiita “mzunguko wa maovu.” Tukio hili limetikisa jamii ya mtandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakionesha mshangao, wengine wakimtetea Regina, na wengi wakitaka ukweli wa kina juu ya maisha ya kifahari ya wawili hao. Je, hii ni drama ya ndoa ya Mastaa au kuna jambo kubwa zaidi nyuma ya pazia?
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • Leonardo Bonucci : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.”

    Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia."

    Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi."

    #SportsElite
    🎙️Leonardo Bonucci🇮🇹 : " Nilipokabiliana na Messi kwenye Fainali ya 2022, nilimpongeza kwa kushinda Copa America na nikamwambia, "Messi, unastahili. Ulijitolea kwa ajili ya Argentina. Sasa huna chochote cha kuthibitisha kwa ulimwengu. Umeshinda kila kitu kwenye soka. Unaweza kustaafu ukiwa na amani ya akili.” Alitabasamu na kuniambia, "Nilifanya hivi kwa ajili ya nchi yangu, si kwa ajili yangu mwenyewe. Ni hayo tu. Sifikirii kuhusu mafanikio ya mtu binafsi zaidi ya mataji ya nchi yangu, lakini ikiwa sitashinda Kombe la Dunia, sitastaafu." [Anacheka] Kwa hivyo nikamwambia, "Umefanya kila kitu kwenye soka. Hata kama hutashinda Kombe la Dunia, wewe ni mchezaji bora zaidi katika historia." Lakini baada ya Messi kushinda Kombe la Dunia, niliiambia familia yangu, "Hii ni haki ya mpira wa miguu. Messi anastahili kuwa na Kombe la Dunia zaidi ya moja kwa sababu ya muujiza wa soka aliofanya na jinsi ulimwengu ulivyofurahia kile alichokifanya. Nikikutana naye tena, nitamwambia, "Sasa unaweza kustaafu na utulivu wa akili." Hata neno bora katika historia halitoshi kwa Messi." #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili 😎. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema 😅😅. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 1K Views
  • IMANI KUBWA.

    Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.

    #Waebrania 11:1
    [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

    Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.

    Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.

    Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.

    Akida alikuwa mfano wa jambo hili.

    #Luka 7:7
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.

    Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.

    #Luka 7:7,9
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.

    Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.

    Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.

    #Zaburi 107:20
    [20]Hulituma neno lake, huwaponya,
    Huwatoa katika maangamizo yao.

    Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.

    Mfano mwingine .

    Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .

    Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.

    Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
    Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.

    #Luka 5:5
    [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

    Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.

    #Luka 5:6-7
    [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
    .
    [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

    Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.

    Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.

    Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .

    Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.

    Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.

    Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.

    Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa

    NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa sylvester Mwakabende
    Build new eden ministry
    0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    IMANI KUBWA. Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana. #Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo. Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona. Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi. Akida alikuwa mfano wa jambo hili. #Luka 7:7 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone. Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo. #Luka 7:7,9 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha. Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote. #Zaburi 107:20 [20]Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote. Mfano mwingine . Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki . Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua. Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini, Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu. #Luka 5:5 [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika. #Luka 5:6-7 [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; . [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya. Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako. Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote . Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika. Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote. Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa. Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU. Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa sylvester Mwakabende Build new eden ministry 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England

    David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu.

    Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham.

    Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto:

    Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp.

    Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024.

    UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024.

    Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja.

    Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo

    Usinisahau kunifollow basi familia yangu -----follow Csmahona update
    🚨 Habari Mbaya kutoka Ligi Kuu ya England David Coote, mwamuzi wa zamani wa Ligi Kuu ya England, ameashitakiwa kwa kutengeneza video ya utovu wa nidhamu wa mtoto (Category A) tarehe 2 Januari 2020. Category A ni kiwango cha juu zaidi cha uhalifu huu. Coote, mwenye umri wa 43, atafikishwa mahakamani Alhamisi, 11 Septemba 2025, katika Mahakama ya Manispaa ya Nottingham. Hii inakuja baada ya historia yake ya changamoto: Juni 2024: Alipigwa suspension ya wiki 8 baada ya kutumia maneno ya kudhalilisha kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp. Novemba 2024: Alisimamishwa kwa kudumu na PGMOL kumfukuza kazi Desemba 2024. UEFA: Amepigwa marufuku kuongoza mechi za Ulaya hadi 30 Juni 2026 kutokana na tukio jingine linalohusisha dawa za kulevya kwenye Euro 2024. Coote ameeleza majonzi makubwa kwa matendo yake na changamoto alizokabiliana nazo kama mwamuzi na pia kutokana na uraia wake wa jinsia moja. Marefa kama hawa ndyo tunawatakaga Sana wanajifanya vichwa vigumu Alfu kina vichwa vigumu zaidi Yake, Alfu hawa marefarii WA Ueingereza Sijui wanashida gani hawaeleweki hata kidogo 🤕 Usinisahau kunifollow basi familia yangu 👉-----follow Csmahona update
    Like
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu.

    Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini.

    #warumi 10:8-10.

    Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri.

    Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda.

    Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda .

    # 2 Corinth 4:4

    Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa.

    Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay.

    #mathayo 28:18

    Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka.

    Nikutakie jion njema
    Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    #restore men position
    #build new eden
    Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu. Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini. #warumi 10:8-10. Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri. Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda. Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda . # 2 Corinth 4:4 Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa. Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay. #mathayo 28:18 Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka. Nikutakie jion njema Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #restore men position #build new eden
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!

    Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.

    "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.

    "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."

    Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.

    #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal

    #SportsElite
    Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Commentarii 0 Distribuiri 3K Views
  • Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi!

    Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad!

    Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana."

    Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo."

    Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio!

    #SportsElite
    Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi! 🔴⚪ Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad! Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana." Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo." Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio! #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 765 Views
Sponsorizeaza Paginile