• BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·295 Views
  • BREAKING

    Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake.

    Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M.

    Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2.

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake. Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M. Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·225 Views
  • Arsenal wanapanga kumsajili Eberechi Eze (27) mara baada ya kukamilisha dili la Gyökeres, kwa mujibu wa @MiguelDelaney.

    #SportsElite
    🚨🚨Arsenal wanapanga kumsajili Eberechi Eze (27) mara baada ya kukamilisha dili la Gyökeres, kwa mujibu wa @MiguelDelaney. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·165 Views
  • Arsenal wameweka wazi kuwa hawako tayari kulipa mshahara wa juu unaodaiwa na kambi ya Rodrygo.

    #SportsElite
    Arsenal wameweka wazi kuwa hawako tayari kulipa mshahara wa juu unaodaiwa na kambi ya Rodrygo. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·158 Views
  • Arsenal inapanga kumuongeza mkataba William Saliba ambae anawindwa na Real Madrid.

    (Source: Football Transfers)

    #SportsElite
    🚨 Arsenal inapanga kumuongeza mkataba William Saliba ambae anawindwa na Real Madrid. (Source: Football Transfers) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·119 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Cristhian Mosquera (21) kutoka Valencia.

    @Enoch_Arthur34

    #SportsElite
    🚨🇪🇸 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Cristhian Mosquera (21) kutoka Valencia. @Enoch_Arthur34 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·113 Views
  • Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi!

    Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad!

    Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana."

    Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo."

    Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio!

    #SportsElite
    Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi! 🔴⚪ Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad! Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana." Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo." Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio! #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·287 Views
  • Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu.

    Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka.

    #SportsElite
    🚨 Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu. Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·236 Views
  • Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo

    #SportsElite
    Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·207 Views
  • Real Madrid inaendelea kumtupia jicho kiungo wa ukabaji wa Arsenal William Saliba kwaajili ya kumsajiri

    #SportsElite
    Real Madrid inaendelea kumtupia jicho kiungo wa ukabaji wa Arsenal William Saliba kwaajili ya kumsajiri #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·157 Views
  • USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND

    MANCHESTER UNITED
    Matheus Cunha
    Diego Leon
    Bryan MBEUMO
    Emi Martinez Dibu

    Liverpool -
    Wirtz
    Frimpong
    Mamardashvilli
    Hugo Etikite
    Isak

    Manchester City
    Reijnders
    Cherki
    Ait Nouri

    Chelsea:
    Gittens
    Joao Pedro
    Delap

    Arsenal -
    Zubimendi
    Madeueke
    Norgaard
    Kepa
    Gyokeres

    Tottenham Hotspur Spurs
    Gibbs White
    Kudus

    Newcastle United-
    Elanga
    Ekitike

    #SportsElite
    USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND 🔴MANCHESTER UNITED 🇧🇷 Matheus Cunha 🇵🇾 Diego Leon 🇨🇲Bryan MBEUMO ⏳Emi Martinez Dibu 🔴Liverpool - ✅ Wirtz ✅ Frimpong ✅ Mamardashvilli ✅Hugo Etikite ⏳ Isak 🔵Manchester City ✅ Reijnders ✅ Cherki ✅ Ait Nouri 🔵Chelsea: ✅ Gittens ✅ Joao Pedro ✅ Delap 🔴Arsenal - ✅ Zubimendi ✅ Madeueke ✅ Norgaard ✅ Kepa ⏳ Gyokeres ⚪Tottenham Hotspur Spurs ✅ Gibbs White ✅ Kudus ⚪Newcastle United- ✅ Elanga ⏳ Ekitike #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·326 Views
  • Wachezaji wa Kiingereza Walio Wahi Kuvaa Jezi ya FC Barcelona!

    1️⃣ Gary Lineker – Mshambuliaji wa nguvu, aliichezea Barça kati ya 1986 hadi 1989, akifunga zaidi ya magoli 40!

    2️⃣ Marcus McGuane – Alisajiliwa kutoka Arsenal mwaka 2018, akawa Mwingereza wa kwanza baada ya miaka 29 kuonekana kwenye kikosi cha wakubwa!

    3️⃣ Louie Barry – Alijiunga na La Masia mwaka 2019 akiwa na miaka 16. Alikuwa Mwingereza wa kwanza La Masia lakini hakufika kikosi cha kwanza.

    4️⃣ Marcus Rashford – (2025) Sasa ni rasmi! Ametua Barcelona kwa mkopo kutoka Man Utd.

    #SportsElite
    🇬🇧🟦 Wachezaji wa Kiingereza Walio Wahi Kuvaa Jezi ya FC Barcelona! 🏟️🔥 1️⃣ Gary Lineker – Mshambuliaji wa nguvu, aliichezea Barça kati ya 1986 hadi 1989, akifunga zaidi ya magoli 40! ⚽ 2️⃣ Marcus McGuane – Alisajiliwa kutoka Arsenal mwaka 2018, akawa Mwingereza wa kwanza baada ya miaka 29 kuonekana kwenye kikosi cha wakubwa! 🔁 3️⃣ Louie Barry – Alijiunga na La Masia mwaka 2019 akiwa na miaka 16. Alikuwa Mwingereza wa kwanza La Masia lakini hakufika kikosi cha kwanza. 🧠 4️⃣ Marcus Rashford – (2025) Sasa ni rasmi! Ametua Barcelona kwa mkopo kutoka Man Utd. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·189 Views
  • Club ya Chelsea na Arsenal wapo kwenye vita kubwa ya kumuwania kumsajiri mchezaji wa RB Leipzig Xavi Simons

    #SportsElite
    Club ya Chelsea na Arsenal wapo kwenye vita kubwa ya kumuwania kumsajiri mchezaji wa RB Leipzig Xavi Simons #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·172 Views
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Noni Madueke kutoka Chelsea kwa ada ya £50M. Mkataba hadi 2030.

    (Source: Arsenal)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Noni Madueke kutoka Chelsea kwa ada ya £50M. Mkataba hadi 2030. (Source: Arsenal) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·203 Views
  • Inataarifiwa kuwa Jakub Kiwior ataondoka Arsenal dirisha hili.
    🚨💣 Inataarifiwa kuwa Jakub Kiwior ataondoka Arsenal dirisha hili. 💯🔐
    0 Comments ·0 Shares ·183 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal iko kwenye majadiliano na Valencia ili kuinasa saini ya beki wa Kati Cristhian Mosquera, tayari mazungumzo na mchezaji yamekamilika..

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal iko kwenye majadiliano na Valencia ili kuinasa saini ya beki wa Kati Cristhian Mosquera, tayari mazungumzo na mchezaji yamekamilika.. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·195 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Viktor Gyokeres ameuambia uongozi wa Sporting CP nia yake ya kwenda Arsenal, tayari Vilabu vyote viwili viko kwenye majadiliano na dili €80M.

    Gyokeres amekuwa chaguo la Arsenal tangu September mwaka Jana..

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Viktor Gyokeres ameuambia uongozi wa Sporting CP nia yake ya kwenda Arsenal, tayari Vilabu vyote viwili viko kwenye majadiliano na dili €80M. 🔴⚪🇸🇪⌛ Gyokeres amekuwa chaguo la Arsenal tangu September mwaka Jana.. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·163 Views
  • Kocha wa Fenerbahçe José Mourinho yuko mawindoni kumsaka Leandro Trossard, na Arsenal imefungua milango kwa Trossard (30)..

    (Source: Fotospor)

    #SportsElite
    🚨 Kocha wa Fenerbahçe José Mourinho yuko mawindoni kumsaka Leandro Trossard, na Arsenal imefungua milango kwa Trossard (30).. (Source: Fotospor) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·200 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nicolas Jackson ananafasi ya kuondoka Chelsea kwenye dirisha hili la uhamisho 👋🏾

    Baada ya Noni Madueke kwenda Arsenal…ndio yatafuata kama ikipatikana ofa kwa timu itakayo muhitaji..

    AC Milan imeulizia uhamisho huo wa Jackson.. Ijapo kuwa Chelsea imetoa gharama za uhamisho huo lakini AC kwao ni kiasi kikubwa.. .

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nicolas Jackson ananafasi ya kuondoka Chelsea kwenye dirisha hili la uhamisho 👀👋🏾 Baada ya Noni Madueke kwenda Arsenal…ndio yatafuata kama ikipatikana ofa kwa timu itakayo muhitaji.. AC Milan imeulizia uhamisho huo wa Jackson.. Ijapo kuwa Chelsea imetoa gharama za uhamisho huo lakini AC kwao ni kiasi kikubwa.. . 🇬🇧 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·203 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze Anatarajia kujiunga Arsenal, baada ya mchezaji kukubali kusaini mkataba hadi 2029 na chaguo la nyongeza hadi 2030.

    Arsenal iko kwenye mazungumzo na Crystal Palace ili kukamilisha uhamisho huo.

    #Ads

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze Anatarajia kujiunga Arsenal, baada ya mchezaji kukubali kusaini mkataba hadi 2029 na chaguo la nyongeza hadi 2030. ⚪🔴👀 Arsenal iko kwenye mazungumzo na Crystal Palace ili kukamilisha uhamisho huo. #Ads #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·231 Views
More Results