Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .
1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*
#Mathayo 25:14-30.
Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.
2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.
#Wafalme 4:1-7
Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.
3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa
#waamuzi 6:14
4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .
#2wafalme 4:2
Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.
5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.
#Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.
6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.
Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.
Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
#Malaki 3:10
7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.
#Mithali 10:22
8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .
Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.
9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.
Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.
Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.
#isaya 43:4
10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .
#Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
#yeremia 29:11
Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340
Ili uendelee kujifunza katika group zetu .
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
#build new eden
#Restore men position
1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*
#Mathayo 25:14-30.
Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.
2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.
#Wafalme 4:1-7
Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.
3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa
#waamuzi 6:14
4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .
#2wafalme 4:2
Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.
5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.
#Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.
6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.
Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.
Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
#Malaki 3:10
7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.
#Mithali 10:22
8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .
Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.
9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.
Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.
Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.
#isaya 43:4
10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .
#Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
#yeremia 29:11
Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340
Ili uendelee kujifunza katika group zetu .
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
#build new eden
#Restore men position
Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .
1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*
#Mathayo 25:14-30.
Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.
2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.
#Wafalme 4:1-7
Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.
3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa
#waamuzi 6:14
4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .
#2wafalme 4:2
Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.
5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.
#Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.
6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.
Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.
Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
#Malaki 3:10
7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.
#Mithali 10:22
8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .
Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.
9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.
Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.
Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.
#isaya 43:4
10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .
#Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.
All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
#yeremia 29:11
Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340
Ili uendelee kujifunza katika group zetu .
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
#build new eden
#Restore men position
0 Комментарии
·0 Поделились
·54 Просмотры