0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·3 Visualizações
-
OFFICIAL - Klabu y Bournemouth imethibitisha kukamilisha usajili Amine Adli kutoka Leverkusen kwa ada ya £29m na mkataba hadi June 20230.
#SportsElite🚨 OFFICIAL - Klabu y Bournemouth imethibitisha kukamilisha usajili Amine Adli kutoka Leverkusen kwa ada ya £29m na mkataba hadi June 20230.🇲🇦🔴 #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·13 Visualizações -
BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand..
Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030.
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🏴🚨 BREAKING - Eberechi Eze atafanyiwa Vipimo vya Afya kesho Ijumaa baada ya kucheza mchezo wa mwisho leo wa Crystal Palace dhidi ya Fredrikstand.. Kesho Ijumaa Eze atafanyiwa Vipimo kama mchezaji mpya wa Arsenal kwa ada ya £68m na mkataba 2030. Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·17 Visualizações -
Winga wa Brighton Julio Enciso sasa yuko njiani kuelekea Uingereza kukamilisha usajili wa kujiunga na BlueCo kisha msimu ujao atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2031 na nyongeza hadi June 2032
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🚨 Winga wa Brighton Julio Enciso sasa yuko njiani kuelekea Uingereza kukamilisha usajili wa kujiunga na BlueCo kisha msimu ujao atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2031 na nyongeza hadi June 2032 Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·11 Visualizações -
Tottenham sasa wako tayari kuwasilisha ofa mpya ya £80m kwa Manchester City ili kumsajili Savinho.
Source Cahe Mota.
#SportsElite🚨 Tottenham sasa wako tayari kuwasilisha ofa mpya ya £80m kwa Manchester City ili kumsajili Savinho.💰 Source Cahe Mota. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·9 Visualizações -
OFFICIAL : Baada ya Kufanyiwa Upasuaji wa Goti sasa Romelu Lukaku atakuwa njee kwa miezi minne.
Source Sky Sports
#SportsElite🚨 OFFICIAL : Baada ya Kufanyiwa Upasuaji wa Goti sasa Romelu Lukaku atakuwa njee kwa miezi minne. Source Sky Sports #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·10 Visualizações -
Fahamu Arsenal na Crystal Palace wanakamilisha Kila kitu leo kuhusu Nyaraka zote za Eberechi Eze na Kisha kesho Ijumaa Atafanyiwa Vipimo vya afya kwa ada ya £68m na mkataba wa miaka mitano hadi 2030.
Source Sacha Tavolieri
#SportsElite🚨Fahamu Arsenal na Crystal Palace wanakamilisha Kila kitu leo kuhusu Nyaraka zote za Eberechi Eze na Kisha kesho Ijumaa Atafanyiwa Vipimo vya afya kwa ada ya £68m na mkataba wa miaka mitano hadi 2030. Source Sacha Tavolieri #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·10 Visualizações -
𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 Julio Enciso to Strasbourg/Chelsea
Kikundi cha BlueCo Kimefikia makubaliano kamili na Brighton kumsajili winga Julio Enciso kwa jumla ya ada ya £20m na mkataba wa miaka Saba hadi 2032.
Julio Enciso atajiunga na Strasbourg msimu 2025-26 kisha atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2032.
Enciso Atafanyiwa vipimo vya Afya Kesho #herewego
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 Julio Enciso to Strasbourg/Chelsea 🚨Kikundi cha BlueCo Kimefikia makubaliano kamili na Brighton kumsajili winga Julio Enciso kwa jumla ya ada ya £20m na mkataba wa miaka Saba hadi 2032. Julio Enciso atajiunga na Strasbourg msimu 2025-26 kisha atajiunga na Chelsea kwa mkataba hadi 2032. Enciso Atafanyiwa vipimo vya Afya Kesho #herewego Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·9 Visualizações -
Mshambuliaji Rasmus Højlund ameziweka wazi klabu zote zinazomtaka Kuwa yuko tayari Kuondoka kwa mkopo wenye kipengele cha kununuliwa mazima.
Rasmus Højlund alikuwa alitaka kubakia Man United lakini ikibidi yuko tayari kuondoka na hakikisho la Kununuliwa moja kwa moja kwa klabu zinazomtaka.
Source Fabrizio Romano
#SportsElite🚨 Mshambuliaji Rasmus Højlund ameziweka wazi klabu zote zinazomtaka Kuwa yuko tayari Kuondoka kwa mkopo wenye kipengele cha kununuliwa mazima. Rasmus Højlund alikuwa alitaka kubakia Man United lakini ikibidi yuko tayari kuondoka na hakikisho la Kununuliwa moja kwa moja kwa klabu zinazomtaka. Source Fabrizio Romano #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·10 Visualizações -
Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League
🎙"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu"
Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani.
Hii inaonyesha tu kujitolea kwake."
Humble N'golo
#SportsElite😄📱🏴Siku Jamie Vardy alipompigia simu N'Golo Kanté baada ya kushinda Champions League 🎙"Siku moja baada ya fainali ya Champions League, nilijaribu kumpigia Simu ili nimpongeze, lakini hakupokea simu yangu" Baada ya saa chache, alinipigia akiniomba msamaha kwa kutopokea, na kusema alikuwa nje akikimbia na hakuwa nyumbani. Hii inaonyesha tu kujitolea kwake." Humble N'golo #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·16 Visualizações