Mise à niveau vers Pro

  • Wiki ya kimataifa.
    #paulswai
    Wiki ya kimataifa. #paulswai
    Like
    1
    ·68 Vue

  • Ubaya Ubwela mpaka Libya ni Ubaya Ubwela tu
    #paulswai
    Ubaya Ubwela mpaka Libya ni Ubaya Ubwela tu #paulswai
    Like
    1
    ·117 Vue ·10 Vue
  • “Tumechukua mwalimu mwenye uwezo mkubwa kweli kweli, ukiiangalia Simba inavyocheza hivi sasa inacheza kinoma noma, kuna wakati unatamani tukahamie tucheze Laliga.

    Namna ambavyo timu yetu ina posses mpira, tunashambulia,namna tunavyotengeneza mashambulizi, tunalinda vizuri unaiangalia… unasema hii Simba inatastahili kucheza mbali zaidi.

    Sasa nani yupo chini ya hayo mafanikio ni kocha Fadlu Davids”

    Amesema Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally.
    #paulswai

    ✍🏾️|| TimesFM
    🗣️“Tumechukua mwalimu mwenye uwezo mkubwa kweli kweli, ukiiangalia Simba inavyocheza hivi sasa inacheza kinoma noma, kuna wakati unatamani tukahamie tucheze Laliga. 🔊Namna ambavyo timu yetu ina posses mpira, tunashambulia,namna tunavyotengeneza mashambulizi, tunalinda vizuri unaiangalia… unasema hii Simba inatastahili kucheza mbali zaidi. Sasa nani yupo chini ya hayo mafanikio ni kocha Fadlu Davids” 📌Amesema Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally. #paulswai ✍🏾️|| TimesFM
    Like
    1
    ·586 Vue
  • Tunaondoka kwenda Kimataifa namba zetu zipo vizuri !

    Mpaka sasa tunaongoza kwa kila kitu!

    Crédit to ( @liveball.io)
    #paulswai
    🚨Tunaondoka kwenda Kimataifa namba zetu zipo vizuri !🔥 📌Mpaka sasa tunaongoza kwa kila kitu!😁 📊Crédit to ( @liveball.io) #paulswai
    Like
    1
    ·132 Vue
  • 𝗠𝗘𝗖𝗛𝗜 𝗭𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗭𝗜 𝗛𝗨𝗨
    #paulswai
    𝗠𝗘𝗖𝗛𝗜 𝗭𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗭𝗜 𝗛𝗨𝗨 🗓️🔝 #paulswai
    Like
    1
    ·94 Vue
  • Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!!

    Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..?

    Embu nisaidieni majibu.
    Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!! 🔗Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..? Embu nisaidieni majibu.
    Like
    1
    ·146 Vue
  • Je unazani benchi hili la ufundi la Taifa Stars chini ya makocha wazawa Hemed Suleiman 'Morocco', Juma Mgunda, Jamhuri Kiwelu 'Julio' na Amri Kiemba litatuvusha leo?

    Kila la kheri Taifa Stars.

    #paulswai
    Je unazani benchi hili la ufundi la Taifa Stars chini ya makocha wazawa Hemed Suleiman 'Morocco', Juma Mgunda, Jamhuri Kiwelu 'Julio' na Amri Kiemba litatuvusha leo? Kila la kheri Taifa Stars. #paulswai
    Like
    2
    ·293 Vue ·13 Vue
  • Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr', Moussa Camara, Ally Salim na Edwin Balua baada ya mchezo kati ya Guinea dhidi ya Taifa Stars wataondokea hapa Ivory Coast kwenda Libya .

    Simba imewakatia wachezaji wake tiketi Egyptian Air na wanatarajia kuondoka Alfajiri ya Sept 11 kwenda Libya.
    #paulswai
    Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr', Moussa Camara, Ally Salim na Edwin Balua baada ya mchezo kati ya Guinea dhidi ya Taifa Stars wataondokea hapa Ivory Coast kwenda Libya 🇱🇾. Simba imewakatia wachezaji wake tiketi Egyptian Air na wanatarajia kuondoka Alfajiri ya Sept 11 kwenda Libya. #paulswai
    Like
    2
    ·909 Vue
  • Kagoma yupo kwenye safari ya kikosi cha wachezaji Ishirini na Mbili wa Simbasc wanaoifuata Al Hilal Tripoli ya Sudan.
    #paulswai
    Kagoma yupo kwenye safari ya kikosi cha wachezaji Ishirini na Mbili wa Simbasc wanaoifuata Al Hilal Tripoli ya Sudan. #paulswai
    Like
    2
    ·283 Vue