Upgrade to Pro


  • Mliosoma Boading Mnaifahamu Hii.!
    #paulswai
    Mliosoma Boading Mnaifahamu Hii.! 😂🏃‍♀️ #paulswai
    Like
    Haha
    2
    ·97 Views ·36 Views
  • Mkiambiwa Bange Ni Mbaya Muelewe
    #paulswai
    Mkiambiwa Bange Ni Mbaya Muelewe 🤔 #paulswai
    Haha
    Like
    3
    ·99 Views ·40 Views
  • “Yusuph Kagoma hapaswi kuomba msamaha mtu au klabu yoyote kwa kilichotokea kwenye usajili wake kwani hakuwa mchezaji huru, ”

    “ Kagoma hana kosa lolote, kila alilokuwa akifanya yalikuwa maelekezo ya klabu yake ya Fountain Gate hata Yanga kuongea na Kagoma walianza kuongea na klabu yake ili kupata baraka ya kuongea naye ila kinachoendelea kwa sasa ni kumdhalilisha tu mchezaji. ” Mwenyekiti wa Chama cha wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania, (SPUTANZA) - Mussa Kisoki
    #paulswai
    “Yusuph Kagoma hapaswi kuomba msamaha mtu au klabu yoyote kwa kilichotokea kwenye usajili wake kwani hakuwa mchezaji huru, ” “ Kagoma hana kosa lolote, kila alilokuwa akifanya yalikuwa maelekezo ya klabu yake ya Fountain Gate hata Yanga kuongea na Kagoma walianza kuongea na klabu yake ili kupata baraka ya kuongea naye ila kinachoendelea kwa sasa ni kumdhalilisha tu mchezaji. ” Mwenyekiti wa Chama cha wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania, (SPUTANZA) - Mussa Kisoki #paulswai
    Like
    2
    ·169 Views
  • 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 || Mahojiano ya Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba SC na waandishi wa habari kabla ya kuondoka Nchini kuelekea Libya

    Mwandishi : "Suala la Lameck Lawi limeishaje?"

    Ahmed : "Lameck Lawi ni mchezaji HALALI wa Simba SC, HALALI kabisa zingatia neno Halali kabisa"

    Mwandishi : Mbona hatumuoni katika Kikosi chenu na mlimtambulisha?

    Ahmed : " Suala lake lipo katika kamati na mtapatiwa majibu soon"

    Mwandishi : "Kwanini mmekua na sintofahamu nyingi za mikataba kwa wachezaji wazawa safari hii?"

    Ahmed : " Hiyo ndio maana halisi ya UBAYA UBWELA"

    Mwandishi : "Kwa Yusufu Kagoma, Awesu?"

    Ahmed : "Ubaya ubwela tu"

    Mwandishi : "Inaonekana hamfuati taratibu za kusaini wachezaji"

    Ahmed : "Kusema ukweli Simba tuko smart sana na mikataba na tunajua tunachokifanya ila kuna watu wanajitoa akili"

    Ahmed Ally akizungumza na Waandishi Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
    #paulswai
    🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 || Mahojiano ya Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba SC na waandishi wa habari kabla ya kuondoka Nchini kuelekea Libya Mwandishi : "Suala la Lameck Lawi limeishaje?" Ahmed : "Lameck Lawi ni mchezaji HALALI wa Simba SC, HALALI kabisa zingatia neno Halali kabisa" Mwandishi : Mbona hatumuoni katika Kikosi chenu na mlimtambulisha? Ahmed : " Suala lake lipo katika kamati na mtapatiwa majibu soon" Mwandishi : "Kwanini mmekua na sintofahamu nyingi za mikataba kwa wachezaji wazawa safari hii?" Ahmed : " Hiyo ndio maana halisi ya UBAYA UBWELA" Mwandishi : "Kwa Yusufu Kagoma, Awesu?" Ahmed : "Ubaya ubwela tu" Mwandishi : "Inaonekana hamfuati taratibu za kusaini wachezaji" Ahmed : "Kusema ukweli Simba tuko smart sana na mikataba na tunajua tunachokifanya ila kuna watu wanajitoa akili" 🗣️Ahmed Ally akizungumza na Waandishi Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere #paulswai
    Like
    1
    ·984 Views
  • #everyone
    #everyone
    Like
    Love
    2
    ·272 Views
  • Kikosi cha SIMBASC kimefika salama Tripoli, Libya
    #paulswai
    Kikosi cha SIMBASC kimefika salama Tripoli, Libya 🇱🇾 #paulswai
    Like
    1
    ·215 Views
  • Hivi hii inaukweli gani.....??
    #paulswai
    Hivi hii inaukweli gani.....?? 😂🤣🤣🤣🤣🤣 #paulswai
    Like
    1
    2 Yorumlar ·161 Views
  • Pachamondtz Official Ambassodor wa socialPop
    Pachamondtz Official Ambassodor wa socialPop
    Like
    Love
    Haha
    Wow
    Angry
    Yay
    287
    190 Yorumlar ·11K Views ·15067 Views ·25 hisse senetleri
  • WADAU mnasemaje …!!
    #paulswai
    WADAU mnasemaje …!!👇 #paulswai
    Like
    2
    ·77 Views
  • DAH ! KUMBE MKATABA UNAONYESHA YANGA WAMEMUUZA KAGOMA KWENDA FOUNTAIN GATE
    #paulswai
    DAH ! KUMBE MKATABA UNAONYESHA YANGA WAMEMUUZA KAGOMA KWENDA FOUNTAIN GATE 😂 #paulswai
    Like
    Haha
    3
    2 Yorumlar ·122 Views