Passa a Pro

  • *1. Siku Moja Utastaafu.*
    Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa!
    Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara.

    *2. Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.*
    Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.Kama unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu.

    *3. Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.*
    Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki kama benki yako. Utapoteza heshima na utu wako.

    *4. Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia* wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi)

    *5. Utastaafia Wapi?.*
    Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba.
    Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali.

    @PM SPORTS
    #PM96
    *1. Siku Moja Utastaafu.* Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa! Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara. *2. Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.* Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.Kama unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu. *3. Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.* Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki kama benki yako. Utapoteza heshima na utu wako. *4. Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia* wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi) *5. Utastaafia Wapi?.* Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba. Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali. @PM SPORTS #PM96
    Like
    1
    1 Commenti ·970 Views
  • MECHI YETU YA LEO KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

    Al ALLY TRIPOLI vs SIMBA SC

    TRIPOLI INTERNATIONAL STADIUM
    SAA 2:00 USIKU
    MECHI YETU YA LEO KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA Al ALLY TRIPOLI 🇱🇾 vs 🇹🇿 SIMBA SC 🏟️ TRIPOLI INTERNATIONAL STADIUM ⏰ SAA 2:00 USIKU
    Like
    1
    ·115 Views
  • KIKOSI CHA SIMBASC KINACHOANZA LEO

    Camara
    Kapombe
    Hussein
    Hamza
    Che Malone
    Kagoma
    Balua
    Fernandes
    Ateba
    🇨🇮 Ahoua
    Mutale
    🚨 KIKOSI CHA SIMBASC KINACHOANZA LEO 🇬🇳 Camara 🇹🇿 Kapombe 🇹🇿 Hussein 🇹🇿 Hamza 🇨🇲 Che Malone 🇹🇿 Kagoma 🇹🇿 Balua 🇬🇳 Fernandes 🇨🇲 Ateba 🇨🇮 Ahoua 🇿🇲 Mutale
    Like
    Love
    2
    1 Commenti ·292 Views
  • Data Usage for SocialApp.
    Toa maoni kuhusu utumiaji wa MB wa App ya#Socialpop
    Data Usage for SocialApp. Toa maoni kuhusu utumiaji wa MB wa App ya#Socialpop
    Like
    Love
    11
    1 Commenti ·1K Views
  • #HALFTIME Ahly Tripoli 0-0 Simba 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

    #paulswai
    #HALFTIME Ahly Tripoli 0-0 Simba 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿 #paulswai
    Love
    Like
    3
    ·271 Views ·27 Views
  • Beki ya mpira CHE MALONE akisahihisha makosa aliyoyafanya yeye mwenyewe
    #paulswai
    Beki ya mpira CHE MALONE akisahihisha makosa aliyoyafanya yeye mwenyewe #paulswai
    Like
    Love
    3
    2 Commenti ·92 Views ·27 Views
  • 𝗠𝗣𝗔𝗞𝗔 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗛𝗨𝗬𝗨 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗠𝗔𝗡 𝗢𝗙 𝗧𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛, 𝗣𝗟𝗔𝗡 𝗬𝗔𝗞𝗘 𝗜𝗠𝗘𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗔𝗦𝗜 𝗞𝗜𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗔𝗠 𝗜𝗡𝗔𝗖𝗛𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗘𝗥𝗬 𝗢𝗥𝗚𝗔𝗡𝗜𝗭𝗘𝗗 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗨𝗟𝗜𝗡𝗭𝗜
    #paulswai
    𝗠𝗣𝗔𝗞𝗔 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗛𝗨𝗬𝗨 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗠𝗔𝗡 𝗢𝗙 𝗧𝗛𝗘 𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛, 𝗣𝗟𝗔𝗡 𝗬𝗔𝗞𝗘 𝗜𝗠𝗘𝗙𝗔𝗡𝗜𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗔𝗦𝗜 𝗞𝗜𝗞𝗨𝗕𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗔𝗠 𝗜𝗡𝗔𝗖𝗛𝗘𝗭𝗔 𝗩𝗘𝗥𝗬 𝗢𝗥𝗚𝗔𝗡𝗜𝗭𝗘𝗗 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗨𝗟𝗜𝗡𝗭𝗜✅ #paulswai
    Like
    Love
    4
    2 Commenti ·152 Views
  • UBAYA UBWELA
    #paulswai
    UBAYA UBWELA 🦁🔥 #paulswai
    Like
    3
    ·175 Views ·41 Views
  • You can contact us through this message box here and get a prompt reply
    #socialpop
    You can contact us through this message box here and get a prompt reply #socialpop
    Like
    Love
    9
    11 Commenti ·1K Views
  • Kalibu upate kufanyiwa kazi nzuri na yenye ubora
    Napatikana manzese Argentina pembeni ya chaula pharmacy kalibu sana
    Kalibu upate kufanyiwa kazi nzuri na yenye ubora Napatikana manzese Argentina pembeni ya chaula pharmacy kalibu sana
    Like
    1
    ·808 Views