Upgrade to Pro

  • CAF CONFEDERATION CUP
    .
    SIMBA SC AL AHLI TRIPOLI
    16:00
    Machinjioni kwa Mkapa
    .
    Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu.
    .
    Kila la Kheri @SimbaSCTanzania
    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🏆 . 🇹🇿 SIMBA SC 🆚 AL AHLI TRIPOLI 🇱🇾 ⏰ 16:00 🏟️ Machinjioni kwa Mkapa . Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu. . Kila la Kheri @SimbaSCTanzania 🇹🇿 #paulswai
    Like
    4
    1 Comments ·812 Views
  • Like
    3
    ·634 Views
  • Like
    3
    ·627 Views
  • Siku ya #Kuwakaanga imefika. #CAFCC #WenyeNchi #NguvuMoja
    #paulswai
    Siku ya #Kuwakaanga imefika. #CAFCC #WenyeNchi #NguvuMoja #paulswai
    Like
    4
    ·2K Views
  • Like
    2
    1 Comments ·309 Views
  • Like
    Love
    5
    1 Comments ·207 Views ·75 Views
  • Like
    Love
    5
    2 Comments ·218 Views ·88 Views
  • Kuelekea mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Barani Afrika kati ya Simba na Al Ahly Tripoli ya Libya, lango la Simba lipo mikono salama.

    Simba itahitaji kupata ushindi wa aina yoyote ili kujihakikishia nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Barani Afrika, na imekuwa kawaida kwa timu hiyo kufika hatua ya makundi.

    Je, utabiri wako kuelekea mchezo wa leo kati ya Simba na Al Ahly Tripoli ukoje _______?
    #paulswai
    Kuelekea mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Barani Afrika kati ya Simba na Al Ahly Tripoli ya Libya, lango la Simba lipo mikono salama. Simba itahitaji kupata ushindi wa aina yoyote ili kujihakikishia nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Barani Afrika, na imekuwa kawaida kwa timu hiyo kufika hatua ya makundi. Je, utabiri wako kuelekea mchezo wa leo kati ya Simba na Al Ahly Tripoli ukoje _______? #paulswai
    Like
    Love
    3
    2 Comments ·156 Views
  • Hiki hapa kikosi cha SIMBA kamili kilichopangwa:
    .
    Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Che Malone (20), Abdulrazack Hamza (14), Yusuph (21), Kibu Denis (38), Deborah Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Jean Charles Ahoua (10), Joshua Mutale (26).
    .
    Wachezaji wa Akiba
    .
    Ally Salim (1), Kelvin Kijili (33), Valentine Nouma (29), Karaboue Chamou (2), Fabrice Ngoma (6), Awesu Awesu (23), Augustine Okajepha (25), Steve Mukwala (11), Edwin Balua (37)

    #paulswai
    Hiki hapa kikosi cha SIMBA kamili kilichopangwa: . Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Che Malone (20), Abdulrazack Hamza (14), Yusuph (21), Kibu Denis (38), Deborah Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Jean Charles Ahoua (10), Joshua Mutale (26). . Wachezaji wa Akiba . Ally Salim (1), Kelvin Kijili (33), Valentine Nouma (29), Karaboue Chamou (2), Fabrice Ngoma (6), Awesu Awesu (23), Augustine Okajepha (25), Steve Mukwala (11), Edwin Balua (37) #paulswai
    Like
    Love
    3
    2 Comments ·624 Views
  • Like
    Love
    Haha
    8
    3 Comments ·210 Views