Upgrade to Pro

  • SIMBA na YANGA ndiyo timu pekee kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki ambazo zimefuzu hatua ya Makundi.
    SIMBA na YANGA ndiyo timu pekee kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki ambazo zimefuzu hatua ya Makundi.
    Like
    Love
    8
    1 Comments ·310 Views
  • Like
    Love
    6
    ·241 Views
  • .*TANGAZO TANGAZO!*

    SHULE YA MSINGI PIYAYA ILIYOPO TARAFA YA SALE KILOMETA 98 KUTOKA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI NGORONGORO INAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA KIMEANZISHA KITENGO CHA KUTOA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM NA MASOMO YAMEANZA RASMI JANUARI MWAKA HUU 2024.
    HIVYO WANAFUNZI WANAOHITAJIKA NI KAMA WAFUATAO:-
    1. VIZIWI (me/ke)
    2. BUBU (me/ke)
    3. WASIOONA (me/ke)
    4. ALBINO (me/ke)
    5. WALEMAVU WA VIUNGO (me/ke)
    √ SHULE NI YA SERIKALI
    √ SHULE NI YA BWENI NA KUTWA INA MAZINGIRA NA MIUNDOMBINU RAFIKI KWA WANAFUNZI WENYE CHANGAMOTO MBALIMBALI KUJIFUNZA
    √ WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM LAZIMA AKAE BWENI
    √ HAKUNA ADA YOYOTE
    √ KUNA NAFASI YA KUHAMIA KWA WANAOHITAJI
    √ WATOTO WANAPATA CHAKULA BORA NA YA KUTOSHA SHULENI BILA MALIPO YOYOTE
    √ KWA TARAFA YA SALE NA LOLIONDO MNAKARISHWA KUWAHI NAFASI NI CHACHE
    √ KWA WATAKAO WAHI UTAPATIWA GODORO NA SHUKA BURE KABISA HAPA SHULENI

    MLETE MTOTO MWENYE MAHITAJI MAALUM APATE ELIMU KWANI NI HAKI YAKE YA MSINGI SAWA NA WATOTO.

    Kwa Masiliano zaidi 0622488033
    Namba ya WhatsApp 0786808033 (Mwl Mkuu)
    0787357679 (AEK)
    0767313995 (DPSNEO)

    Ukipata TANGAZO hii sambaza kadri Uwezavyo ili kwa pamoja tuwasaidie watoto wenye mahitaji maalum wapate haki yao ya msingi
    .*TANGAZO TANGAZO!* SHULE YA MSINGI PIYAYA ILIYOPO TARAFA YA SALE KILOMETA 98 KUTOKA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI NGORONGORO INAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA KIMEANZISHA KITENGO CHA KUTOA ELIMU KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM NA MASOMO YAMEANZA RASMI JANUARI MWAKA HUU 2024. HIVYO WANAFUNZI WANAOHITAJIKA NI KAMA WAFUATAO:- 1. VIZIWI (me/ke) 2. BUBU (me/ke) 3. WASIOONA (me/ke) 4. ALBINO (me/ke) 5. WALEMAVU WA VIUNGO (me/ke) √ SHULE NI YA SERIKALI √ SHULE NI YA BWENI NA KUTWA INA MAZINGIRA NA MIUNDOMBINU RAFIKI KWA WANAFUNZI WENYE CHANGAMOTO MBALIMBALI KUJIFUNZA √ WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM LAZIMA AKAE BWENI √ HAKUNA ADA YOYOTE √ KUNA NAFASI YA KUHAMIA KWA WANAOHITAJI √ WATOTO WANAPATA CHAKULA BORA NA YA KUTOSHA SHULENI BILA MALIPO YOYOTE √ KWA TARAFA YA SALE NA LOLIONDO MNAKARISHWA KUWAHI NAFASI NI CHACHE √ KWA WATAKAO WAHI UTAPATIWA GODORO NA SHUKA BURE KABISA HAPA SHULENI MLETE MTOTO MWENYE MAHITAJI MAALUM APATE ELIMU KWANI NI HAKI YAKE YA MSINGI SAWA NA WATOTO. Kwa Masiliano zaidi 0622488033 Namba ya WhatsApp 0786808033 (Mwl Mkuu) 0787357679 (AEK) 0767313995 (DPSNEO) Ukipata TANGAZO hii sambaza kadri Uwezavyo ili kwa pamoja tuwasaidie watoto wenye mahitaji maalum wapate haki yao ya msingi
    Like
    Love
    8
    1 Comments ·633 Views
  • Like
    Love
    Yay
    6
    1 Comments ·218 Views ·94 Views
  • Like
    5
    1 Comments ·214 Views
  • " Kabla ya mimi kusajili Simba nilipata ofa kutoka Yanga ila kwangu mimi nilichagua kuja kucheza Simba,nilikua naifahamu Simba pekee yake Tanzania tofauti na timu zingine, Yanga nawafahamu ila sio sana Kama Simba SC, mchezaji wa Yanga niliyekuwa namfahamu ni Aziz Ki, Azam siwafahamu"

    Leonel Ateba mbele ya waandishi wa habari kwenye Simba Media Day.
    #paulswai
    " Kabla ya mimi kusajili Simba nilipata ofa kutoka Yanga ila kwangu mimi nilichagua kuja kucheza Simba,nilikua naifahamu Simba pekee yake Tanzania tofauti na timu zingine, Yanga nawafahamu ila sio sana Kama Simba SC, mchezaji wa Yanga niliyekuwa namfahamu ni Aziz Ki, Azam siwafahamu" 🗣️ Leonel Ateba mbele ya waandishi wa habari kwenye Simba Media Day. #paulswai
    Like
    3
    ·851 Views
  • 𝐉𝐔𝐌𝐋𝐀 𝗬𝗔𝗣𝗢 𝑴𝑨𝑻𝑨𝑻𝑼 𝙀𝙇𝙁𝙐 𝙆𝙐𝙈𝙄 𝙉𝘼𝙉𝘼𝙉𝙀 UBAYA UBWELA
    #paulswai
    𝐉𝐔𝐌𝐋𝐀 𝗬𝗔𝗣𝗢 𝑴𝑨𝑻𝑨𝑻𝑼 𝙀𝙇𝙁𝙐 𝙆𝙐𝙈𝙄 𝙉𝘼𝙉𝘼𝙉𝙀 UBAYA UBWELA 😂😂🤣 #paulswai
    Like
    1
    ·183 Views ·23 Views
  • SIMBA QUEENS WAPATA MWALIMU MWINGINE AKICHUKUA NAFASI YA KOCHA JUMA MGUNDA....!!
    #paulswai
    SIMBA QUEENS WAPATA MWALIMU MWINGINE AKICHUKUA NAFASI YA KOCHA JUMA MGUNDA....!! #paulswai
    Like
    3
    ·342 Views
  • Katika mechi ninazo penda kucheza ni DHIDI ya Yanga huwa napata mizuka mingi sana alafu huwa nafurahi sana nikiwafunga.

    ✍🏻 Kibu Denis
    #paulswai
    Katika mechi ninazo penda kucheza ni DHIDI ya Yanga huwa napata mizuka mingi sana alafu huwa nafurahi sana nikiwafunga. ✍🏻 Kibu Denis #paulswai
    Like
    3
    ·148 Views
  • HIZI HAPA MECHI TATU ZA SIMBA ZIJAZO ZA NBC PRIMER LEAGUE

    Kulingana na maboresho ya ratiba, Simba atacheza mechi tatu za ligi kuu katika kipindi cha wiki moja kabla ya mapumziko ya kalenda ya FIFA.

    Baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc, kikosi cha kocha Fadlu Davids kitaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Septemba 29 na Oktoba 04 Simba itakuwa Dar es salaam kuikabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa KMC Complex.
    #paulswai
    HIZI HAPA MECHI TATU ZA SIMBA ZIJAZO ZA NBC PRIMER LEAGUE ⛳ 🔗 Kulingana na maboresho ya ratiba, Simba atacheza mechi tatu za ligi kuu katika kipindi cha wiki moja kabla ya mapumziko ya kalenda ya FIFA. Baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc, kikosi cha kocha Fadlu Davids kitaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Septemba 29 na Oktoba 04 Simba itakuwa Dar es salaam kuikabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa KMC Complex. #paulswai
    Like
    3
    ·653 Views