• #love
    #love
    Like
    Love
    Haha
    Wow
    14
    · 7 Kommentare ·0 Anteile ·194 Ansichten
  • #love
    #love
    Like
    Love
    Haha
    Sad
    21
    · 147 Kommentare ·0 Anteile ·523 Ansichten
  • hello #socialApp family
    😍 hello #socialApp family
    Love
    2
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·914 Ansichten
  • Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·255 Ansichten
  • Love
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·271 Ansichten
  • Bich

    Tsh500
    In stock ·Used
    Tanzanian
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • #love

    #FAMILIA #IMEPOA #SANAAAA
    #love #FAMILIA #IMEPOA #SANAAAA🥱🥱🥱🥱
    Like
    Love
    19
    · 6 Kommentare ·0 Anteile ·432 Ansichten
  • Habari wanafamilia
    Habari wanafamilia
    0 Kommentare ·0 Anteile ·540 Ansichten
  • 𝗧𝗛𝗔𝗡𝗞 𝗬𝗢𝗨

    Klabu ya Azam FC imeachana na Beki Wake wa Kati Malickou Ndoye Kwa Makubaliano ya Pande Zote Mbili.

    Ameudumu katika Timu hiyo Kwa msimu miwili majerhaa yalimuandama Sana.
    🚨 𝗧𝗛𝗔𝗡𝗞 𝗬𝗢𝗨 Klabu ya Azam FC imeachana na Beki Wake wa Kati Malickou Ndoye 🇸🇳 Kwa Makubaliano ya Pande Zote Mbili. Ameudumu katika Timu hiyo Kwa msimu miwili majerhaa yalimuandama Sana.
    Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·544 Ansichten
  • ..... DJUMA SHABAN NA SAFARI ILIYOJAA MACHUNGU KWAKE.

    Djuma Shaban wakati anakuja Tanzania Mipango yake ilikuwa ni kujiunga na klabu ya Young Africans Yes ilitiki na alicheza kwa mafanikio sana

    Baadae akaja omba kuachana na klabu ya Yanga kitu ambacho kiliketa Machafuko ndani ya klab ya Yanga ila mwisho wa siku waliketi pande zote mbili na wakakubaliana kuachana nae , wakati huo Djuma Shaban alikuwa na Mipango ya kwenda kujiunga na klabu ya Azam, licha ya kukaa na kikosi hicho pamoja kwa miezi kadhaa Mpaka mwisho safari hakufanikiwa kwakuwa kocha wasasa Dabo hakuona ulazima wake huo, dili hakikufanikiwa

    Djuma Shaban akasikika akiwa na Mipango Mipya ya baadae kujiunga na klabu ya Simba ikitajwa akienda kuchukua nafasi ya Shomari kapombe ambaye mkataba wake unaelekea ukingoni Mkataba wake klabuni hapo , dili halikufanikiwa

    Sasa Mlinzi wa kulia huyo raia wa Congo DR anakaribia kujiunga na klabu ya Coastal Union ya Tanga ambayo msimu ujao itacheza kombe la Shirikisho barani Afrika (CAFCC) Dili lipo katika hatua za mwisho
    .....🧠 DJUMA SHABAN NA SAFARI ILIYOJAA MACHUNGU KWAKE. Djuma Shaban wakati anakuja Tanzania Mipango yake ilikuwa ni kujiunga na klabu ya Young Africans Yes ilitiki na alicheza kwa mafanikio sana ✔️ Baadae akaja omba kuachana na klabu ya Yanga kitu ambacho kiliketa Machafuko ndani ya klab ya Yanga ila mwisho wa siku waliketi pande zote mbili na wakakubaliana kuachana nae , wakati huo Djuma Shaban alikuwa na Mipango ya kwenda kujiunga na klabu ya Azam, licha ya kukaa na kikosi hicho pamoja kwa miezi kadhaa Mpaka mwisho safari hakufanikiwa kwakuwa kocha wasasa Dabo hakuona ulazima wake huo, dili hakikufanikiwa ❌ Djuma Shaban akasikika akiwa na Mipango Mipya ya baadae kujiunga na klabu ya Simba ikitajwa akienda kuchukua nafasi ya Shomari kapombe ambaye mkataba wake unaelekea ukingoni Mkataba wake klabuni hapo , dili halikufanikiwa ❌ Sasa Mlinzi wa kulia huyo raia wa Congo DR anakaribia kujiunga na klabu ya Coastal Union ya Tanga ambayo msimu ujao itacheza kombe la Shirikisho barani Afrika (CAFCC) Dili lipo katika hatua za mwisho ⏳✔️
    Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·709 Ansichten